Wewe ndio bumunda namba 1 kwa kuamini mwandishi ya mtoa madaHii dini na wafuasi wake Elimu ya utambuzi ni finyu.
Wengi wao wanafanya mambo kwa mihemko, wanajifanya wanamuabudu MUNGU MUUMBA kwa dhati kipindi hiki huku ndani wamefuga misukule na majini bila kusahau ufirauni.
Huwezi kuta upuuzi huu kwa Buddha, Christians au Shinto.
Kwahiyo nawewe unaamini kuna mama amekamatwa na kutozwa faini?Kosa la huyo mama hapo ni lipi?
Source: trust me brooHili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda...
Hizi imani nyingine zinalindwa kwa mtu wa bunduki!Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua...
SHeria mpaka iwe dolazenj sio dola la kiislam , Zanzibar haiendeshwi na sharia
ni ujinga wa wanasiasa tu
Ustaarabu na busara kila myu anaweza tafsiri tofautiUhuru binafsi anayetaka ale.. asietaka asile. Huo ndio ustarabu na busara
Hakuna Sheria ya namna hiyo Zanzibar.Hadi anatozwa faini inamaana kunasheria amevunja ambayo adhabu yake ni tshs elfu 50,000 mwenye uelewa wa sheria hii aiweke hapa ilikuepusha lawama kwa pande zote
Luqman, ila kuna jamaa walivamia wakawachoma visu watu waliokuwa wanakula pale mwaka fulani.Pale Mjini, kuna mgahawa uko sawia na lile kanisa la Anglican its only local place you can get food in Zanzibar kipindi hiki cha mwezi mtukufu.
Ipo, nenda kafanye wakuone.Hakuna Sheria ya namna hiyo Zanzibar.
Hakuna Sheria ya kumzuia mtu kupika ndani kwake.Ipo, nenda kafanye wakuone.
Nenda mbweni Kwa mama hakimu ana bar na kitimoto inalika hapo muda wote, Wazenj wanamuogopa balaa, hatii puwa yake hapo mfia dini yeyote.Pale Mjini, kuna mgahawa uko sawia na lile kanisa la Anglican its only local place you can get food in Zanzibar kipindi hiki cha mwezi mtukufu.
Sema ukiwa Mtanzania Mweusi mbona Watalii wanagonga menu kama kawaida.Nipo Zanzibar aiseh kama ujafunga na upo Zanzibar make sure unanunua chakula unaweka ndani la si hivyo utakufa njaa. Nachukia sana kuona watu wakiheshimu mwezi fulani kuliko kuheshimu Mungu
Nipo Zanzibar aiseh kama ujafunga na upo Zanzibar make sure unanunua chakula unaweka ndani la si hivyo utakufa njaa. Nachukia sana kuona watu wakiheshimu mwezi fulani kuliko kuheshimu Mungu
Hoteli za Kitalii nazo zinatozwa faini?Hadi anatozwa faini inamaana kunasheria amevunja ambayo adhabu yake ni tshs elfu 50,000 mwenye uelewa wa sheria hii aiweke hapa ilikuepusha lawama kwa pande zote
Duh..Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=
Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
- Mimi nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
- Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?