Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Hii dini na wafuasi wake Elimu ya utambuzi ni finyu.

Wengi wao wanafanya mambo kwa mihemko, wanajifanya wanamuabudu MUNGU MUUMBA kwa dhati kipindi hiki huku ndani wamefuga misukule na majini bila kusahau ufirauni.

Huwezi kuta upuuzi huu kwa Buddha, Christians au Shinto.
Wewe ndio bumunda namba 1 kwa kuamini mwandishi ya mtoa mada
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua...
Hizi imani nyingine zinalindwa kwa mtu wa bunduki!
 
Nipo Zanzibar aiseh kama ujafunga na upo Zanzibar make sure unanunua chakula unaweka ndani la si hivyo utakufa njaa. Nachukia sana kuona watu wakiheshimu mwezi fulani kuliko kuheshimu Mungu
Sema ukiwa Mtanzania Mweusi mbona Watalii wanagonga menu kama kawaida.
 
Autonomy,
Yaani mtatukana, mtaponda, mtachonga na mtaropoka na kuropoka mpendavyo lakini Wazanzibari wana exercise their right of being autonomous.

Ni haki ni halali na sahihi kuamua wafanyeje kwenye baadhi ya mambo na hawawezi kuingiliwa katika hilo si na JMT wala wapiga kelele wasiojua nini maana ya 'position' na Haki zao katika Jamhuri.

Sasa ninyi Vihiyo msiojielewa endeleeni kuimba kama chiriku lakini ukileta ujinga utachapwa hata Bakora, Mijeredi na Mikwaju juu.

Ndio maana mnaambiwa msome, mjifunze muelewe.
Ingekuwa hayo yanafanyika Mwanza, Moro au Arusha ingekuwa sahihi kulalama lakini si Ng'ambo ya pili.

Utake ndio hivyo, usitake ndio hivyo.

Nawasilisha kwa jeuri.
 
Nipo Zanzibar aiseh kama ujafunga na upo Zanzibar make sure unanunua chakula unaweka ndani la si hivyo utakufa njaa. Nachukia sana kuona watu wakiheshimu mwezi fulani kuliko kuheshimu Mungu

Wanamdharauje Mungu mkuu?
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
  • Mimi nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
  • Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Duh..
Hivi hao watu hawajui kuwa hata muislamu mgonjwa anayetumia dozi ya dawa hawezi kufunga, anahitaji chakula?!
 
Back
Top Bottom