Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Sasa kama mtu kajifungua ndani shida nini? Kwahiyo hata wasio funga au wakristo na wao wanafunga Kwa lazima? Hiyo dini utumwa, mnaheshimu mwezi badala ya Mungu, ujue Mungu mwenyewe si mkatili kiasi hicho! Watu mnapekenyua mpaka vya ndani duu[emoji15][emoji15][emoji15] poleni mlioko huko.
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
- Mm nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
-Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
kuna imani zina mihemko hatari!
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
- Mm nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
-Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Uislam ndo dini ya kishetani kuliko zote!
sijaona wakristu tukilazimisha watu wafunge au wasili !!
Na hii nchi si ya kidini kama ni ya kidini ni sawa lakini bado si ya kidini kadiri ya katiba.

viongozi wenye mlengo wa kidini wote tunyonge tulete viongozi wenye milengo ya viwanda na maendeleo
 
Kila siku mkiambiwa Zanzibar ni nchi tena ya Kiislamu muwe mnaelewa! Acha tukae na nyimbo za Muungano,Tanzania haina dini! Tanganyika ndiyo ambayo haina dini,lakini nchi ya Zanzibar ina dini.
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
- Mm nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
-Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
hapa ndio huwa naamini zanzibar inatakiwa kujitegemea iwe nchi nje kabisa ya Tanganyika.
 
Back
Top Bottom