Abilria 20 ni hasara!Huyu jamaa mpuuzi kweli, uwanja wa chato ndege zinatua mara nne kwa wiki, hata mm nlishawahi kwenda dar mwanza kupitia chato tulishusha abiria zaidi ya 20 na wakapanda zaidi ya 18, hivo mtoa mada acha kukalili
Bunge limetoa azimio la kununua ndege mpya kwa ajili ya viongozi wakati ziko tatu kwaajili hiyo ya kubeba viongozi wakati kuna shule wanatumia tundu moja wanafunzi 1500,hizo habari mpelekeeeNi hapo hapo Chato. Aliwajengea uwanja wa ndege ambazo hata nauli hawana, bado wanatumia punda. Pia baada ya kuwajengea uwanja huo, watoto wa wana chato wanaknya vichakani.
Kalemani atupishe, tangu JPM aondoke,hakuna alilofanya
View attachment 2903903
Miaka 3 tangu Magufuli amekufa inamaana Magufuli aliondoka na fedha zote za Serikali mpaka uongozi au viongozi wameshindwa kuutatua tatizo la matundu ya choo? Kweli Watanganyika ni watu wa hovyo mpaka mnamkumbuka marehemu kwa ajili ya ya kujenga matundu ya choo,Bora Magufuli alijenga uwanja wa ndege chato itakuwa kumbukumbu vizazi ha vizazi kuliko Samia Yeye kila kukicha yuko ulaya,utafikiri matatizo ya watanganyika yanatatuliwa ulaya.Ni hapo hapo Chato. Aliwajengea uwanja wa ndege ambazo hata nauli hawana, bado wanatumia punda. Pia baada ya kuwajengea uwanja huo, watoto wa wana chato wanaknya vichakani.
Kalemani atupishe, tangu JPM aondoke,hakuna alilofanya
View attachment 2903903
Yule alikuwa ni mnyapara sio RaisNi hapo hapo Chato. Aliwajengea uwanja wa ndege ambazo hata nauli hawana, bado wanatumia punda. Pia baada ya kuwajengea uwanja huo, watoto wa wana chato wanaknya vichakani.
Kalemani atupishe, tangu JPM aondoke,hakuna alilofanya
View attachment 2903903
Unakurupuka kama yule Jamaa wenu.Wewe ni Mwendawazimu! Kwahiyo chato hakuna watu wanaishi? Chato haiko Tanzania? Weee utakuwa ni CHADEMA!
Hata maji alishindwa kuyapelekea yanakenua tuu.Huyo jei pi em usimtaje hovyo ni mungu wao.
Wajinga watakutukana ukimtaja kwa ubaya huyo Mungu wao.
Hiyo picha itume tena vizuri
JPM alikuwa mtu wa hovyo, watu wanakata gogo porini, kwa nini asiwajengee sehemu ya knya kwanza? Kama choo hawana, nauli ya ndege watatoa wapi?Bunge limetoa azimio la kununua ndege mpya kwa ajili ya viongozi wakati ziko tatu kwaajili hiyo ya kubeba viongozi wakati kuna shule wanatumia tundu moja wanafunzi 1500,hizo habari mpelekeee
Miaka 3 tangu Magufuli amekufa inamaana Magufuli aliondoka na fedha zote za Serikali mpaka uongozi au viongozi wameshindwa kuutatua tatizo la matundu ya choo? Kweli Watanganyika ni watu wa hovyo mpaka mnamkumbuka marehemu kwa ajili ya ya kujenga matundu ya choo,Bora Magufuli alijenga uwanja wa ndege chato itakuwa kumbukumbu vizazi ha vizazi kuliko Samia Yeye kila kukicha yuko ulaya,utafikiri matatizo ya watanganyika yanatatuliwa ulaya.
Kila mwamba ngoma.....
Kesi za vyeti feki,mishahara hewa, wanalipa kisasi Kwa marehemu labda hawajui kuwa Keshafariki.all in all RIP shujaa wetu ulituonyesha Kwa vitendo.Hiyo shule haina kamati ya shule? haina uongozi wa kata? Hao watoto/wanafunzi hawana wazazi?
Kuna vitu vingine ni kujidekeza tu havina haja eti kuililia serikali
Punguza upumbavu.Wewe ni Mwendawazimu! Kwahiyo chato hakuna watu wanaishi? Chato haiko Tanzania? Weee utakuwa ni CHADEMA!
Kwani kuwa chadema ni kosa?? Unaonaje ukafungua mashitaka.Wewe ni Mwendawazimu! Kwahiyo chato hakuna watu wanaishi? Chato haiko Tanzania? Weee utakuwa ni CHADEMA!
Wanapanda ndege??Wewe ni Mwendawazimu! Kwahiyo chato hakuna watu wanaishi? Chato haiko Tanzania? Weee utakuwa ni CHADEMA!
Ndege zipi zinatua kwa week?? Nitajie mashirika sasa kama mara 4 si angejenga manyara kibaoni pale ndege angalau 5 kwa siku zinatuaHuyu jamaa mpuuzi kweli, uwanja wa chato ndege zinatua mara nne kwa wiki, hata mm nlishawahi kwenda dar mwanza kupitia chato tulishusha abiria zaidi ya 20 na wakapanda zaidi ya 18, hivo mtoa mada acha kukalili