Bunge limetoa azimio la kununua ndege mpya kwa ajili ya viongozi wakati ziko tatu kwaajili hiyo ya kubeba viongozi wakati kuna shule wanatumia tundu moja wanafunzi 1500,hizo habari mpelekeee
Miaka 3 tangu Magufuli amekufa inamaana Magufuli aliondoka na fedha zote za Serikali mpaka uongozi au viongozi wameshindwa kuutatua tatizo la matundu ya choo? Kweli Watanganyika ni watu wa hovyo mpaka mnamkumbuka marehemu kwa ajili ya ya kujenga matundu ya choo,Bora Magufuli alijenga uwanja wa ndege chato itakuwa kumbukumbu vizazi ha vizazi kuliko Samia Yeye kila kukicha yuko ulaya,utafikiri matatizo ya watanganyika yanatatuliwa ulaya.