Aisee [emoji3][emoji3]Mainjinia wako Dar tech hao wa mlimani ni vilaza Watupu [emoji23]
We utakua uli tatuliwa Malinda na PCMHukusikiw au ulikuwa monchwari. Au ulikuwa unaugulia dudu
Mwanangu Lucas unamjua mwandishi ni nani?Andika vitu kwa kutumia akilia na siyo kuandika vitu kama mlevi wa gongo.
Prof yuko busy kudownload App za mapambo ya Kipaimara!!Mnamaprof wa mechanical engineering
Inasikitisha sana kwakweliProf yuko busy kudownload App za mapambo ya Kipaimara!!
Makonda hakusoma UDSM rekebisha hapo Kwanza.Kuna yeyote anaweza kutukumbusha kuhusu CV ya Makonda?
Alikwenda UDSM ,alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi,and what else?
Tunaweza kuipata CV yake apart from his illustrious political career?
Makonda hakusoma UDSM rekebisha hapo Kwanza.Kuna yeyote anaweza kutukumbusha kuhusu CV ya Makonda?
Alikwenda UDSM ,alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi,and what else?
Tunaweza kuipata CV yake apart from his illustrious political career?