Wakati Mama mwenye nyumba akinunua goli kwa milioni 5, wananchi Ubungo wakosa daraja la milioni 12

Wakati Mama mwenye nyumba akinunua goli kwa milioni 5, wananchi Ubungo wakosa daraja la milioni 12

Papasa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2018
Posts
2,619
Reaction score
5,780
Baadhi ya wanawake katika mtaa wa Maramba Mawili kata ya Msigani katika manispaa ya Ubungo wanalazimika kupitia kwa kutambaa katika kivuko kinachotenganisha mtaa wa Zebra na Azimio kufuatia kivuko hicho kutokuwa salama wakati wa kuvuka

Inaelezwa kuwa hali hiyo wamedumu nayo kwa zaidi ya miaka mitatu sasa
Wakizungumza na #EATV leo wanawake hao wamesema hali ya kivuko hicho imekuwa ni mbaya na kimeshasababisha watu kuanguka na kuvunjika hivyo wameiomba serikali kusaidia kukijenga kwa viwango ambavyo vitawawezesha kupita bila hofu

Kwa upande wao wananchi wanaoishi jirani na daraja hilo wamesema jamii ya watu wenye ulemavu wanaopita katika kivuko hicho wanalazimika kubebwa na wananchi ili kuwavusha kutokana na hatari inayoweza kuwapata kama watavuka wenyewe

Naye mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Maramba mawili Idd Shabani Mgweno akizungumzia changamoto hiyo amesema tayari watalaam wa TARURA wameshafika katika eneo hilo na kufanya tathmini na zinahitajika shilingi milioni 12.8 ili kukamilika kwake lakini mpaka sasa hakuna utekelezaji #EastAfricaRadio

1681141118716.jpg
 
Acha mambo yako, hivyo haviingiliani,kujitolea mtu kutoka mapato ya mfuko wake haviingiliani na mambo ya kitaasisi🤔
Wewe ni mjinga kweli yule mama hawezi kata mshahara wake anunue magoli hata akitoa kwake anajua anaweza rudisha Mara 100 kwenye ndege la mizigo au ma treni hayo kupitia hizo hizo Kodi zenu
 
Hakuna watendaji, diwani wala mbunge huko? Tena wote ni wa CCM kwanini wasitatue kero hiyo? Upuuzi mwingine bwana.
Mkuu siku hizi kila kitu ni shariti atengeneze Mh Rais ili wao aendelee na mapambio ya kusifia; sasa sijui wanalipwa mishahara kwa kazi gani wakati fedha zipo kwenye bajeti.
 
Hakuna watendaji, diwani wala mbunge huko? Tena wote ni wa CCM kwanini wasitatue kero hiyo? Upuuzi mwingine bwana.
Kwani ukipita kimya na kuficha ujinga ni kosa? Au kuna malipo kila comment?
 
The Ghanian philosophy.

"let them it because it's their time ours will come"
 
U
Acha mambo yako, hivyo haviingiliani,kujitolea mtu kutoka mapato ya mfuko wake haviingiliani na mambo ya kitaasisi🤔
Una uhakika zilitoka mfukoni kwake🤔🤔
 
Mama anafanya hivyo ili nchi isogee sogee kwenye namba ya mwanzoni mwanzoni kwa nchi za watu wenye furaha? Napo hampendi bajameni!!!
🤔
 
Baadhi ya wanawake katika mtaa wa Maramba Mawili kata ya Msigani katika manispaa ya Ubungo wanalazimika kupitia kwa kutambaa katika kivuko kinachotenganisha mtaa wa Zebra na Azimio kufuatia kivuko hicho kutokuwa salama wakati wa kuvuka

Inaelezwa kuwa hali hiyo wamedumu nayo kwa zaidi ya miaka mitatu sasa
Wakizungumza na #EATV leo wanawake hao wamesema hali ya kivuko hicho imekuwa ni mbaya na kimeshasababisha watu kuanguka na kuvunjika hivyo wameiomba serikali kusaidia kukijenga kwa viwango ambavyo vitawawezesha kupita bila hofu

Kwa upande wao wananchi wanaoishi jirani na daraja hilo wamesema jamii ya watu wenye ulemavu wanaopita katika kivuko hicho wanalazimika kubebwa na wananchi ili kuwavusha kutokana na hatari inayoweza kuwapata kama watavuka wenyewe

Naye mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Maramba mawili Idd Shabani Mgweno akizungumzia changamoto hiyo amesema tayari watalaam wa TARURA wameshafika katika eneo hilo na kufanya tathmini na zinahitajika shilingi milioni 12.8 ili kukamilika kwake lakini mpaka sasa hakuna utekelezaji #EastAfricaRadio

View attachment 2583486
KWANI MBUNGE WAO TENA PROF .MKUMBO ANASHINDWA KUZITOA HIZO FEDHA?
 
Baadhi ya wanawake katika mtaa wa Maramba Mawili kata ya Msigani katika manispaa ya Ubungo wanalazimika kupitia kwa kutambaa katika kivuko kinachotenganisha mtaa wa Zebra na Azimio kufuatia kivuko hicho kutokuwa salama wakati wa kuvuka

Inaelezwa kuwa hali hiyo wamedumu nayo kwa zaidi ya miaka mitatu sasa
Wakizungumza na #EATV leo wanawake hao wamesema hali ya kivuko hicho imekuwa ni mbaya na kimeshasababisha watu kuanguka na kuvunjika hivyo wameiomba serikali kusaidia kukijenga kwa viwango ambavyo vitawawezesha kupita bila hofu

Kwa upande wao wananchi wanaoishi jirani na daraja hilo wamesema jamii ya watu wenye ulemavu wanaopita katika kivuko hicho wanalazimika kubebwa na wananchi ili kuwavusha kutokana na hatari inayoweza kuwapata kama watavuka wenyewe

Naye mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Maramba mawili Idd Shabani Mgweno akizungumzia changamoto hiyo amesema tayari watalaam wa TARURA wameshafika katika eneo hilo na kufanya tathmini na zinahitajika shilingi milioni 12.8 ili kukamilika kwake lakini mpaka sasa hakuna utekelezaji #EastAfricaRadio

View attachment 2583486

Maji Ubungo ni muhimu na kuhamasisha wachezajai washinde mechi ni muhimu pia.

Brazil wanatumia mabilioni ya pesa kila mwaka kwa ajili ya timu yao ya taifa ambayo haijawahi kukosa kushiriki kombe la dunia, ina maana wameumaliza umaskini wote unaowakabili wabrazil milioni 200 na ushee?.

Haya ni mawazo ya kimaskini sana yenye upeo mdogo na hayafai kupewa kipaumbele na kiongozi yoyote wa kiserikali atakayepitia huu uzi.
 
Maji Ubungo ni muhimu na kuhamasisha wachezajai washinde mechi ni muhimu pia.

Brazil wanatumia mabilioni ya pesa kila mwaka kwa ajili ya timu yao ya taifa ambayo haijawahi kukosa kushiriki kombe la dunia, ina maana wameumaliza umaskini wote unaowakabili wabrazil milioni 200 na ushee?.

Haya ni mawazo ya kimaskini sana yenye upeo mdogo na hayafai kupewa kipaumbele na kiongozi yoyote wa kiserikali atakayepitia huu uzi.

Maji Ubungo ni muhimu na kuhamasisha wachezajai washinde mechi ni muhimu pia.

Brazil wanatumia mabilioni ya pesa kila mwaka kwa ajili ya timu yao ya taifa ambayo haijawahi kukosa kushiriki kombe la dunia, ina maana wameumaliza umaskini wote unaowakabili wabrazil milioni 200 na ushee?.

Haya ni mawazo ya kimaskini sana yenye upeo mdogo na hayafai kupewa kipaumbele na kiongozi yoyote wa kiserikali atakayepitia huu uzi.
Kama angekua na Nia ya kuukuza mpira za Tz basi angewekeza kwenye namna nzuri ya kupata wachezaji kama wanavyo fanya walio endelea kwenye mpira, na usije ukajidanganya kwamba zile hela zake ndio sababu ya hizi timu kufuzu robo fainali
 
Back
Top Bottom