Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe akili hauna, hayo madaraja ya vichochoroni ni kazi ya diwani na mwenyekiti wa kijijiBaadhi ya wanawake katika mtaa wa Maramba Mawili kata ya Msigani katika manispaa ya Ubungo wanalazimika kupitia kwa kutambaa katika kivuko kinachotenganisha mtaa wa Zebra na Azimio kufuatia kivuko hicho kutokuwa salama wakati wa kuvuka
Inaelezwa kuwa hali hiyo wamedumu nayo kwa zaidi ya miaka mitatu sasa
Wakizungumza na #EATV leo wanawake hao wamesema hali ya kivuko hicho imekuwa ni mbaya na kimeshasababisha watu kuanguka na kuvunjika hivyo wameiomba serikali kusaidia kukijenga kwa viwango ambavyo vitawawezesha kupita bila hofu
Kwa upande wao wananchi wanaoishi jirani na daraja hilo wamesema jamii ya watu wenye ulemavu wanaopita katika kivuko hicho wanalazimika kubebwa na wananchi ili kuwavusha kutokana na hatari inayoweza kuwapata kama watavuka wenyewe
Naye mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Maramba mawili Idd Shabani Mgweno akizungumzia changamoto hiyo amesema tayari watalaam wa TARURA wameshafika katika eneo hilo na kufanya tathmini na zinahitajika shilingi milioni 12.8 ili kukamilika kwake lakini mpaka sasa hakuna utekelezaji #EastAfricaRadio
View attachment 2583486
Pesa ni hamasa tu, mipango ta timu ndio kila kitu. Ile ni kuinua morali ya ushindi.Kama angekua na Nia ya kuukuza mpira za Tz basi angewekeza kwenye namna nzuri ya kupata wachezaji kama wanavyo fanya walio endelea kwenye mpira, na usije ukajidanganya kwamba zile hela zake ndio sababu ya hizi timu kufuzu robo fainali