Wakati Mama mwenye nyumba akinunua goli kwa milioni 5, wananchi Ubungo wakosa daraja la milioni 12

Manispaa ya Ubungo unaingiza mabilioni ya kadi hiyo ndio kazi yao.Madiwqni na wabunge wote ni CCM hivyo wanawajibu katika hilo.
 
Wewe akili hauna, hayo madaraja ya vichochoroni ni kazi ya diwani na mwenyekiti wa kijiji

Serikali kuu inahusika na madaraja makuu yaliyopo chini ya Tanroads

Kws mwendo huu mtamlaumu hata Rais kwa ofisi ya kijiji chenu kukosa choo
 
Kama angekua na Nia ya kuukuza mpira za Tz basi angewekeza kwenye namna nzuri ya kupata wachezaji kama wanavyo fanya walio endelea kwenye mpira, na usije ukajidanganya kwamba zile hela zake ndio sababu ya hizi timu kufuzu robo fainali
Pesa ni hamasa tu, mipango ta timu ndio kila kitu. Ile ni kuinua morali ya ushindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…