mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Wakati Marekani ikiwa katika harakati za kuishirikisha China ikubali kudhulumu mafuta ya Urusi, ikidai kuwa hilo ndilo takwa la "jumuia ya kimataifa", China imeikebehi Marekani kwa kuweka ramani mbili za dunia zinazoonesha jumuiya ya kimataifa: Moja ambayo ndiyo jumuiya halisi ya kimataifa, mataifa yote yamepakwa rangi nyekundu.
Ya pili ambayo ndiyo jumuiya ya kimataifa kwenye ufahamu wa Marekani, ni mataifa ya Magharibi tu yamepakwa rangi nyekundu ikiwemo pia Japan, Australia, New Zealand na Korea ya kusini!! Mataifa mengine kwa mujibu wa marekani siyo sehemu ya jumuiya ya kimataifa ikiwemo China yenyewe!
Picha ya kwanza: Jumuiya halisi ya kimataifa. Picha ya pili hapo chini ni sehemu ile nyekundu tu ndio jumuiya ya kimataifa kwa mujibu wa marekani na nchi za magharibi!!
A United Nations General Assembly session in New York City, US, April 2022. Michael M. Santiago / Getty Images
When the Western mainstream media talks about the ‘international community,’ it actually means only the West and its allies, Chinese Foreign Ministry spokesman Zhao Lijian has said.
“What does ‘International Community’ mean?” Zhao wrote on Twitter on Wednesday as he posted a picture of two maps.
The first map, titled ‘The International Community,’ has all the countries of the world painted red.
On the second map, only the US, Canada, the European states, Australia, New Zealand, Japan and South Korea are highlighted in red. The Middle East and the rest of Asia, as well as the whole of Africa, Central and South America, and Russia are gray. Zhao described the map as: “‘The International Community’ according to Western mainstream media.”
Ya pili ambayo ndiyo jumuiya ya kimataifa kwenye ufahamu wa Marekani, ni mataifa ya Magharibi tu yamepakwa rangi nyekundu ikiwemo pia Japan, Australia, New Zealand na Korea ya kusini!! Mataifa mengine kwa mujibu wa marekani siyo sehemu ya jumuiya ya kimataifa ikiwemo China yenyewe!
Picha ya kwanza: Jumuiya halisi ya kimataifa. Picha ya pili hapo chini ni sehemu ile nyekundu tu ndio jumuiya ya kimataifa kwa mujibu wa marekani na nchi za magharibi!!
Beijing explains what Western media means by ‘international community’
China’s Foreign Ministry spokesman posted a map depicting the mainstream media’s perception of the world
A United Nations General Assembly session in New York City, US, April 2022. Michael M. Santiago / Getty Images
When the Western mainstream media talks about the ‘international community,’ it actually means only the West and its allies, Chinese Foreign Ministry spokesman Zhao Lijian has said.
“What does ‘International Community’ mean?” Zhao wrote on Twitter on Wednesday as he posted a picture of two maps.
The first map, titled ‘The International Community,’ has all the countries of the world painted red.
On the second map, only the US, Canada, the European states, Australia, New Zealand, Japan and South Korea are highlighted in red. The Middle East and the rest of Asia, as well as the whole of Africa, Central and South America, and Russia are gray. Zhao described the map as: “‘The International Community’ according to Western mainstream media.”