Wakati mkataba wa Yanga ukimalizika, Bakari Mwamnyeto asaini mkataba wa Tsh milioni 190

Wakati mkataba wa Yanga ukimalizika, Bakari Mwamnyeto asaini mkataba wa Tsh milioni 190

Huyo na Kennedy Juma au Ame Ibrahim yupi bora. Huyu akienda Simba atakaa benchi tu hawezi ingia 11 bora ya akina Onyango na Inonga.

BTW Mambo hayajawekwa hadharani tu maana April 30 2022 ndiyo imeshipita.
Leta takwimu acha porojo
 
Back
Top Bottom