gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Simba ipi hiyo maskini iliyokua inasajili vizuri na usajili wao uliifikisha wapi simba?.kwasababu mafanikio yote makubwa ya miaka ya karibuni ni mkono wa Mwekezaji.Mpira wa Tanzania umebadilika unafikiri kwanini mo alikataa Simba isipokee pesa za Azam kwa mkataba wa miaka 10, Simba masikini ilikuwa inasajili vizuri kuliko hii tunayoambiwa Ina pesa.
Sent using Jamii Forums mobile app