Simba ipi hiyo maskini iliyokua inasajili vizuri na usajili wao uliifikisha wapi simba?.kwasababu mafanikio yote makubwa ya miaka ya karibuni ni mkono wa Mwekezaji.Mpira wa Tanzania umebadilika unafikiri kwanini mo alikataa Simba isipokee pesa za Azam kwa mkataba wa miaka 10, Simba masikini ilikuwa inasajili vizuri kuliko hii tunayoambiwa Ina pesa.
Kumbe alitamka haya maneno na sisi wanalunyasi tumetulia kabisa!Mimi niliwaonya nilikuwa nao kazini,wakawa wanatuita timu bakuli .Tukawaambia Bora bakuli kuliko kuwa mke mdogo ,na Dewj alitamka yeye kwamba Simba ni mke mdogo wake.Hawakuelewa.Sasa Nasemaje! Nnasemaje " MPAKA WaSEME,naa WATASEMA.
Mnataka Mzee wa watu afe kwa presha.Sisi mashabiki wa simba tuna imani kubwa na Mwanachama mzalendo wa kweli kabisa, Mzee Kilomoni. Kama vipi akabidhiwe timu aisimamie.
Silaha kubwa ni kufanya vizuriSwadakta na GSM waliliona hili mapema ,nadhani wale la liga waliwasaidia jinsi ya kudeal na hizi team za umma
Huu ndio utahira wa kitanzania na mashabiki wa simba?!!, Kwahiyo unaamini kuwa Mo anatoa msaada Simba?. Kwamba bila Mo hakuna wakuendesha timu?, Simba sio Ihefu Wala namungo punguza kufikiri kupitia pua.Hivi hiyo timu angepewa mzee Kilomoni angeweza kulipa hata jezi ya mchezaji mmoja?
Timu ina gharama zake,safari za ndege na mafuta ya gari kila mechi misimu yote,hoteli za kulala,malazi na vyakula .
Halafu unaanza kuleta mada za futuhi kabla ya kufikiri
Ndo hivo ndo maana hataki kutoka akaanza kutengeneza uwanja fasta ingawa aliupachika jina lake,huyu jamaa anafanya mambo yake ndani ya Simba, nadhani hata hela za mashindano ya CAF asilimia kubwa inaenda kwake,anatuliza viongozi kwa bahasha halafu promo inafanywa wanaleta wachezaji wazuri mwisho wa siku ni magarasaMo dewji akiondoka sahivi simba hawawezi kosa mwemezaji matajiri wengi sana wanaitamani ile timu
Mkuu ni kweli mambo ya kupinga upigaji wa Mo ni ya Magungu,kama mwenyekiti anajielewa Mo hawezi kukaa hapoMambo ya mangungu kutokua na mamlaka hilo ni lake,na kama ni hivyo ajiuzulu sasa ili tuone tatizo la Moo.Wanachama wana haki yakumpigia kelele mangungu kwasababu yeye ndiye anayehusika kuwaunganisha wanachama na Moo.Mapungufu ya Moo yeye ndiye aliyetakiwa ayaelezee kwa wanachama ili ufumbuzi upatikane.Kama hawajibiki awapishe wanaoweza.Ni rahisi kumuwajibisha mangungu kuliko kumtoa Moo simba.Hizo kauli za kusema kuna wafanyabiashara wengi wanaitamani simba uko ni kutaka kubet.Waulize yanga baada ya Manji kuondoka waliishije na imewachukua miaka mingapi kumpata Gsm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafir..waHuu ndio utahira wa kitanzania na mashabiki wa simba?!!, Kwahiyo unaamini kuwa Mo anatoa msaada Simba?. Kwamba bila Mo hakuna wakuendesha timu?, Simba sio Ihefu Wala namungo punguza kufikiri kupitia pua.
Njoo nikukarishe na dudu la yuyu... Na ulivyo na mqkundu mapana.Unafir..wa
Manji alipoondoka yanga nani alitegemea angekuja GSM!?Hivi hiyo timu angepewa mzee Kilomoni angeweza kulipa hata jezi ya mchezaji mmoja?
Timu ina gharama zake,safari za ndege na mafuta ya gari kila mechi misimu yote,hoteli za kulala,malazi na vyakula .
Halafu unaanza kuleta mada za futuhi kabla ya kufikiri