Wakati naleta Uzi kuwaomba viongozi wa juu CHADEMA kususia uchaguzi na siasa nilisema kuwa viongozi wa chini hawana ulinzi kama nyie

Wakati naleta Uzi kuwaomba viongozi wa juu CHADEMA kususia uchaguzi na siasa nilisema kuwa viongozi wa chini hawana ulinzi kama nyie

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Viongozi wa juu CHADEMA wana ulinzi wa aina 3.
1. Ulinzi kwasababu jumuia za kimataifa wanawafahamu.

Si rahisi kumuua kiongozi wa mkuu wa chama cha upinzani kwakuwa wauaji nao wanahitaji misaada kutoka kwa watu ambao wameruhusu upinzani. Kiongozi wa upinzani ngazi za chini hata akiuwawa jumuia za kimataifa si rahisi kupata taarifa.

2. Ulinzi nyumbani kwao.
Viongozi hawa wakubwa magetini kwao kuna walinzi wenye magobore. Ikumbukwe bunduki ni bunduki tu. Ukishangaa unaweza kuuwawa na gobore au bastola huku una SMS su AK 47.

3. Ulinzi kwenye mikutano, msafara.

Viongozi wa juu wana ulinzi hata kama ni ulinzi dhaifu lakini kitendo cha kuambatana na watu kila mahali watekaji na waviziaji wanakuogopa.

Viongozi wa ngazi za mitaa, kata, wilaya na wengine hawana ulinzi hivyo wao ndio wahanga.

Kama Watanzania wenyewe wamerodhika na maisha haya ni vyema kuwaachia chama chao kimoja inatosha. Au wabaki na vyama mamluki vya kuwaongopea wahisani inatosha.

Shughuli nje ya siasa ziko nyingi.

Watanzania wako mbali sana na siasa na wameridhika na kila hali. Wao kitu ambacho kitawaingiza barabarani ni Simba au Yanga tu.
 
Sijui hizi akili zinatokana na kitu Gani?

Yaani badala ya kuwalaumu watenda maovu, wewe unawalaumu watendewa maovu. Ajabu Sana.
 
Viongozi wa juu CHADEMA wana ulinzi wa aina 3.
1. Ulinzi kwasababu jumuia za kimataifa wanawafahamu.
Si rahisi kumuua kiongozi wa mkuu wa chama cha upinzani kwakuwa wauaji nao wanahitaji misaada kutoka kwa watu ambao wameruhusu upinzani. Kiongozi wa upinzani ngazi za chini hata akiuwawa jumuia za kimataifa si rahisi kupata taarifa.
2. Ulinzi nyumbani kwao.
Viongozi hawa wakubwa magetini kwao kuna walinzi wenye magobore. Ikumbukwe bunduki ni bunduki tu. Ukishangaa unaweza kuuwawa na gobore au bastola huku una SMS su AK 47.
3. Ulinzi kwenye mikutano, msafara.
Viongozi wa juu wana ulinzi hata kama ni ulinzi dhaifu lakini kitendo cha kuambatana na watu kila mahali watekaji na waviziaji wanakuogopa.
Viongozi wa ngazi za mitaa, kata, wilaya na wengine hawana ulinzi hivyo wao ndio wahanga.
Kama Watanzania wenyewe wamerodhika na maisha haya ni vyema kuwaachia chama chao kimoja inatosha. Au wabaki na vyama mamluki vya kuwaongopea wahisani inatosha.
Shughuli nje ya siasa ziko nyingi.
Watanzania wako mbali sana na siasa na wameridhika na kila hali. Wao kitu ambacho kitawaingiza barabarani ni Simba au Yanga tu.
Siyo ulinzi tu bali hujitolea kwa hali na mali
 
Sijui hizi akili zinatokana na kitu Gani?

Yaani badala ya kuwalaumu watenda maovu, wewe unawalaumu watendewa maovu. Ajabu Sana.
Kwa hili wote wanahitaji lawama. Inajulikana kwenye ule uwanja timu pinzani ni watu wa fujo, wanaua wakishirikiana na polisi. Badala ya kugoma kushiriki ligi, wewe unapeleka timu yako ikacheze pale. Una akili kweli?

Kihunihuni ni sawa na mtu anakupaka mafuta makalioni, unasema ngoja tuone kama atani PDiddy.
 
Sijui hizi akili zinatokana na kitu Gani?

Yaani badala ya kuwalaumu watenda maovu, wewe unawalaumu watendewa maovu. Ajabu Sana.
Imagine. Inasikitisha sana hii. Huwa tunawauliza CDM wakisusia uchaguzi itasaidia nini wakati chama tawala itaingiza vyama vyake mamluki na kesho yake viongozi mamluki watatangaza uchaguzi ulikuwa huru na haki?! Sanasana CDM kususia uchaguzi itakuwa inajikomoa yenyewe.
 
Imagine. Inasikitisha sana hii. Huwa tunawauliza CDM wakisusia uchaguzi itasaidia nini wakati chama tawala itaingiza vyama vyake mamluki na kesho yake viongozi mamluki watatangaza uchaguzi ulikuwa huru na haki?! Sanasana CDM kususia uchaguzi itakuwa inajikomoa yenyewe.
Kuna watu CHADEMA kwao ni kama mvua na jua. Jua likiwa Kali wanalaumu, kukiwa na baridi wanalaumu pia kama mvua ikiwa nyingi makelele, isiponyesha malalamiko balaa.
 
Viongozi wa juu CHADEMA wana ulinzi wa aina 3.
1. Ulinzi kwasababu jumuia za kimataifa wanawafahamu.

Si rahisi kumuua kiongozi wa mkuu wa chama cha upinzani kwakuwa wauaji nao wanahitaji misaada kutoka kwa watu ambao wameruhusu upinzani. Kiongozi wa upinzani ngazi za chini hata akiuwawa jumuia za kimataifa si rahisi kupata taarifa.

2. Ulinzi nyumbani kwao.
Viongozi hawa wakubwa magetini kwao kuna walinzi wenye magobore. Ikumbukwe bunduki ni bunduki tu. Ukishangaa unaweza kuuwawa na gobore au bastola huku una SMS su AK 47.

3. Ulinzi kwenye mikutano, msafara.

Viongozi wa juu wana ulinzi hata kama ni ulinzi dhaifu lakini kitendo cha kuambatana na watu kila mahali watekaji na waviziaji wanakuogopa.

Viongozi wa ngazi za mitaa, kata, wilaya na wengine hawana ulinzi hivyo wao ndio wahanga.

Kama Watanzania wenyewe wamerodhika na maisha haya ni vyema kuwaachia chama chao kimoja inatosha. Au wabaki na vyama mamluki vya kuwaongopea wahisani inatosha.

Shughuli nje ya siasa ziko nyingi.

Watanzania wako mbali sana na siasa na wameridhika na kila hali. Wao kitu ambacho kitawaingiza barabarani ni Simba au Yanga tu.
Ushauri wako haufai kabisa. Ni bora hawajaufuata.
 
Kwa hili wote wanahitaji lawama. Inajulikana kwenye ule uwanja timu pinzani ni watu wa fujo, wanaua wakishirikiana na polisi. Badala ya kugoma kushiriki ligi, wewe unapeleka timu yako ikacheze pale. Una akili kweli?

Kihunihuni ni sawa na mtu anakupaka mafuta makalioni, unasema ngoja tuone kama atani PDiddy.
Kweli.
Katiba ya 2019/20 ni ile ile ya mwaka 2024/25, wasimamizi walewale, hulka zao zile .
Sasa inakuwaje unaingia tena kwenye mfumo kijinga.
Je, viongozi wa upinzani ni vilaza au wana shida gani?
 
Kweli.
Katiba ya 2019/20 ni ile ile ya mwaka 2024/25, wasimamizi walewale, hulka zao zile .
Sasa inakuwaje unaingia tena kwenye mfumo kijinga.
Je, viongozi wa upinzani ni vilaza au wana shida gani?

..ungeilaumu Ccm na Serikali kwa kukataa kuweka mfumo bora, unaozingatia haki na usawa, wa uchaguzi ktk nchi yetu.
 
Back
Top Bottom