Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Miafrika imelaaniwa, hasa mitanzania!Ila nimefuatilia misafara ya mapokezi ya Waziri Mkuu kule Japan na Korea na Rais Samia kule Uchina,Cha kushangaza sijaona Landcruiser VX V8 au viongozi wa uko hawapendi ilihali ni matajiri kuliko sisi?
Aisee, una uchungu Sana, ila wewe ni mkweli Sana!Mimi natamani sana hata sasa, wakiwa huko nje, wakirudi tu wakute viti wanavyokalia kuanzia Rais, VP na huyo PM vimechukuliwa na nchi imepata serikali nyingine...!!!
Hamjanielewa bila shaka. OK...
Nina maana wakute SAMIA SULUHU HASSAN AMESHA PINDULIWA na mtu mwingine amekalia kiti chake..!!!
Unajua inachosha sana kuwa na viongozi wasio na akili wala maarifa ktk maamuzi yao...
Ifike muda tukubali tu kupitia njia ngumu na ya maumivu ili kuleta mabadiliko ya kiuongozi na kimfumo ktk nchi hii...
Honestly, let's say ENOUGH is ENOUGH.. Nchi hii si vyema tena iendelee kuwa na Rais picha tu. Rais Samia ni picha tu. Hatuna Rais...
Yaani ni afadhali ya yule aliyekwisha kufa, yaani John P. Magufuli. Alikuwa anaumiza, lakini kuna maeneo lilikuwa vizuri sana...
Lakini huyu mama huyu, hakuna kitu. Yaani kawakabidhi nchi wakora na yeye ni mtia saini tu na muhuri...!
Acha uongo.viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.
Ah yupo tu kama hayupoWaziri mkuu mbona yupo???
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.
Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.
Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.
Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.
Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.
Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.
Tanzania alieturoga alituweza.
Kichwani mwako wwe ni empty na ww unajiona eti mtu Jf humu kumbe kuna vilaza kama ww mbumbu mkubwa wwUONGOZI NI PAMOJA NA KUPATA EXPOSURE KUBADILISHANA MAWAZO NA WENZAO MLITAKA WAKAE HUMU NCHINI KAMA YULE, NENDENI VIONGOZI WETU TUNAAMINI MTAJIFUNZA KWA WENGINE NA SIO KUJIFUNGIA NDANI KAMA WANAWALI.
Wanatafuta pesa za kutatua changamoto,kuegesha makanyagio yako ndani na kutoa matako sio kutatua,kutatua ni pesa πWakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.
Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.
Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.
Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.
Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.
Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.
Tanzania alieturoga alituweza.
Watakwambia wameenda KUHEMEA.Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.
Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.
Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.
Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.
Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.
Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.
Tanzania alieturoga alituweza.
ziara za raisi hazipangwi kama wewe unavyopanga kwenda kwa bibi yako mganga kule kijijini,soma jifunze elewa. kama hujui ulizaAkisafiri kuna faida gani? Angewaambia waje hapa! Hakuna lolote!
πππ point pro empties brains, someni jifunzeni kutoka kwa wengine, "binadamu atakapojiona yeye ndio alfa na omega fahari huyo ni AMNAZO!Kichwani mwako wwe ni empty na ww unajiona eti mtu Jf humu kumbe kuna vilaza kama ww mbumbu mkubwa ww
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.
Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.
Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.
Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.
Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.
Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.
Tanzania alieturoga alituweza.
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.
Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.
Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.
Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.
Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.
Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.
Tanzania alieturoga alituweza.