Wakati nchi iko kwenye changamoto lukuki, Rais, Makamu wa Rais na Waziri mkuu wako nje ya nchi

Wakati nchi iko kwenye changamoto lukuki, Rais, Makamu wa Rais na Waziri mkuu wako nje ya nchi

Ila nimefuatilia misafara ya mapokezi ya Waziri Mkuu kule Japan na Korea na Rais Samia kule Uchina,Cha kushangaza sijaona Landcruiser VX V8 au viongozi wa uko hawapendi ilihali ni matajiri kuliko sisi?
Miafrika imelaaniwa, hasa mitanzania!
 
Mimi natamani sana hata sasa, wakiwa huko nje, wakirudi tu wakute viti wanavyokalia kuanzia Rais, VP na huyo PM vimechukuliwa na nchi imepata serikali nyingine...!!!

Hamjanielewa bila shaka. OK...

Nina maana wakute SAMIA SULUHU HASSAN AMESHA PINDULIWA na mtu mwingine amekalia kiti chake..!!!

Unajua inachosha sana kuwa na viongozi wasio na akili wala maarifa ktk maamuzi yao...

Ifike muda tukubali tu kupitia njia ngumu na ya maumivu ili kuleta mabadiliko ya kiuongozi na kimfumo ktk nchi hii...

Honestly, let's say ENOUGH is ENOUGH.. Nchi hii si vyema tena iendelee kuwa na Rais picha tu. Rais Samia ni picha tu. Hatuna Rais...

Yaani ni afadhali ya yule aliyekwisha kufa, yaani John P. Magufuli. Alikuwa anaumiza, lakini kuna maeneo lilikuwa vizuri sana...

Lakini huyu mama huyu, hakuna kitu. Yaani kawakabidhi nchi wakora na yeye ni mtia saini tu na muhuri...!
Aisee, una uchungu Sana, ila wewe ni mkweli Sana!
 
viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.
Acha uongo.
Hawaelekezi lawama kwa mungu bali kwa marehemu Magufuli.
Eti alikula fedha za mikopo ya elimu ya juu miaka ya 2016/2018 ndiyo maana wao hawana pesa ya kuwakopesha vijana wengine wengi.
Alitumia miundombinu ya umeme bila matengenezo ndiyo maana tangu afe na January Makamba kuwa waziri wa nishati umeme umekuwa wa shida.
Alifungia nchi ndiyo maana mwaka 1 toka afe tukaanza kukosa pesa za kuwalipa watumishi wa umma mishahara yao kuanzia tarehe ishirini na kitu.
Na mengine mengi ....
Sijui alifanya nini hadi ukame umezidi, kuna mdau humu JF kasema kisa mradi wa umeme wa Bwawa la Nyerere kule Selous.
 
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
 

Attachments

  • IMG-20221103-WA0822.jpg
    IMG-20221103-WA0822.jpg
    131 KB · Views: 2
UONGOZI NI PAMOJA NA KUPATA EXPOSURE KUBADILISHANA MAWAZO NA WENZAO MLITAKA WAKAE HUMU NCHINI KAMA YULE, NENDENI VIONGOZI WETU TUNAAMINI MTAJIFUNZA KWA WENGINE NA SIO KUJIFUNGIA NDANI KAMA WANAWALI.
Kichwani mwako wwe ni empty na ww unajiona eti mtu Jf humu kumbe kuna vilaza kama ww mbumbu mkubwa ww
 
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
Wanatafuta pesa za kutatua changamoto,kuegesha makanyagio yako ndani na kutoa matako sio kutatua,kutatua ni pesa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221104-063644.png
    Screenshot_20221104-063644.png
    263.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221103-180550.png
    Screenshot_20221103-180550.png
    138.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221104-063621.png
    Screenshot_20221104-063621.png
    286.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221103-223336.png
    Screenshot_20221103-223336.png
    97 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221103-223319.png
    Screenshot_20221103-223319.png
    236.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221103-122356.png
    Screenshot_20221103-122356.png
    121.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221103-110418.png
    Screenshot_20221103-110418.png
    299.9 KB · Views: 2
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
Watakwambia wameenda KUHEMEA.

Akili zimefikia ukomo. Hao viongozi wamegoka CCM, na hivyo jamii ijue status ya chama kwa sasa imefikia ukomo. Hakuna jipya ni maigizo
 
Kichwani mwako wwe ni empty na ww unajiona eti mtu Jf humu kumbe kuna vilaza kama ww mbumbu mkubwa ww
😇😇😇 point pro empties brains, someni jifunzeni kutoka kwa wengine, "binadamu atakapojiona yeye ndio alfa na omega fahari huyo ni AMNAZO!
 
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.
 

Attachments

  • 1976905A-0FCC-4FF1-9B56-020962E77640.jpeg
    1976905A-0FCC-4FF1-9B56-020962E77640.jpeg
    27.4 KB · Views: 2
Wakati nchi ikiwa kwenye changamoto lukuki, mfumuko wa bei, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna mikopo watoto wa vyuo hawajalipwa pesa cha ajabu viongozi wakuu na mawaziri waandamizi wako nje ya nchi kwa inayoitwa mialiko ya kitaifa.

Rais wa nchi yuko China, Makamu wa Rais yuko Ivory Coast, Waziri mkuu yuko Korea Kusini, mwanziri wengine wako Misri, wengine Kenya, wengine ulaya.

Kusafiri ni jambo jema lakini kusafiri safiri sio jambo jema.

Sielewi, viongozi wetu akili zao zinawaza kwamba tutatatua changamoto zetu kwa wao kusafiri safiri kweli? Kikwete alitumia miaka 2 ya uongozi wake kua nje ya nchi lakini bado tuko masikini.

Ingekua safari za nje zinaleta maendeleo kwa safari za Kikwete Tanzania ingekua kama California ama Texas kwa maendeleo ama hata kama Ujerumani maana kwa kikwete viongozi wote wakubwa Duniani walikuja Tanzania lakini mwisho wake tuliishia kuibiwa kwa mikataba ya hovyo.

Rais ni mfariji mkuu wa nchi lakini wakati huu ambao taifa linakabiliwa na changamoto kibao, viongozi wetu wao ni safari na kumtupia lawama mungu kwamba ndio ameyaleta haya sio wao.

Tanzania alieturoga alituweza.

waache, hata wakitoka nje ya sayari.
 
Back
Top Bottom