Wakati Rais Samia akimsifia Waziri wa Maji, huku mtaani hatuna maji siku ya 3 leo

Ukistaajabu ya maji, sikia ya umeme Jijini Mwanza. Sasa tumeanzishiwa mgawo wa umeme wa kimyakimya. Lakini tunashukuru kwakuwa Mama anaupiga mwingi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…