Wakati tunafurahia mawakili wanavyooneshana uwezo wakutafsiri sheria''

Wakati tunafurahia mawakili wanavyooneshana uwezo wakutafsiri sheria''

nyembela

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2020
Posts
413
Reaction score
525
kuna jambo la kutafakari kuna mshindi alieshinda kabla ya kushindwa kwake na endapo atashinda sasa atakuwa hana chakupoteza, na pili kuna alieshindwa kabla ya kushinda kwake endapo atashinda atakuwa amepoteza tangu mwanzo.

Kama kanuni yamafanikio nimuda basi aliyeshinda mwanzo amefanikiwa na aliyeshindwa mwanzo amepoteza, hivyo kabla ya kufikiria ushindi wa jumla nakufurahia.

Je, muda wako unakupa taarifa gani?
 
kuna jambo la kutafakari kuna mshindi alieshinda kabla ya kushindwa kwake na endapo atashinda sasa atakuwa hana chakupoteza, na pili kuna alieshindwa kabla ya kushinda kwake endapo atashinda atakuwa amepoteza tangu mwanzo.

Kama kanuni yamafanikio nimuda basi aliyeshinda mwanzo amefanikiwa na aliyeshindwa mwanzo amepoteza, hivyo kabla ya kufikiria ushindi wa jumla nakufurahia.

Je, muda wako unakupa taarifa gani?
Tulia na utupe mawazo kwa utulivu, kama ulikuwa mbio hivi!
 
kuna jambo la kutafakari kuna mshindi alieshinda kabla ya kushindwa kwake na endapo atashinda sasa atakuwa hana chakupoteza, na pili kuna alieshindwa kabla ya kushinda kwake endapo atashinda atakuwa amepoteza tangu mwanzo.

Kama kanuni yamafanikio nimuda basi aliyeshinda mwanzo amefanikiwa na aliyeshindwa mwanzo amepoteza, hivyo kabla ya kufikiria ushindi wa jumla nakufurahia.

Je, muda wako unakupa taarifa gani?
JF hatuna hulka ya kuweka vitu vya wazi kwa mafumbo mafumbo. Huku siyo twitter...
 
Wavivu wa kufikiri hii thread ndogo inawapa shida mshaanza kupaniki. Nendeni jukwaa la celebrity mkapunguze makasiriko.
 
Back
Top Bottom