bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Zanzibar ni kama mkoa kivipi? Mbona wana Raisi wana Bunge wana Bendera wana wimbo wa Taifa ni Mkoa gani mwengine wenye mambo kama hayo?Tanganyika ndio Nini sisi wayanzania hata tukivunja muungano bado tutajiita TZ
Kuoigania maslahi ya tanganyika sawa na kusema tuunde chombo Cha kusimamia maslahi ya mwanaume kamanilivyo kwa wanawake, au maslahi ya Mzungu zidi ya mwafrika, au maslahi na haki ya Mume Kama ilivyo mke nk
Tanganyika ni GIANT kwenye muungano na Zanzibar ni mtoto so haki yakuoiganiwa ni yamtoto ukisema Giant udai haki ni kujizalilisha Zanzibar ni kama mkoa ti kwa Tanganyika/Tz
Naunga mkono hoja kwa 💯/=Ukiangalia kwa makini utaona kwamba wakati Sasa umefika wa kuwa na Serikali itakayosimamia maslahi ya watanganyika pekee.
Kama maslahi ya wanzibari yanasimamiwa na Serikali ya Zanzibar ni kwa nini basi kusiwe na Serikali itakayosimamia maslahi ya Tanganyika?
Naunga mkono hojaUkiangalia kwa makini utaona kwamba wakati Sasa umefika wa kuwa na Serikali itakayosimamia maslahi ya watanganyika pekee.
Kama maslahi ya wanzibari yanasimamiwa na Serikali ya Zanzibar ni kwa nini basi kusiwe na Serikali itakayosimamia maslahi ya Tanganyika?
yes, Zanzibar waongoze Zanzibar na Mtanganyika ndio aingoze Tanzania...lasivyo inakua kama hivi sasa ambavyo tunamarasi wa zanzibari wawili mmoja anatawala Tanzania ambayo ni pamoja na Zanzibar na mwingine anatawala Zanzibar.Marufuku hayo vipi? Na hiyo Tanzania ni pamoja na zanzibar bila zanzibar hakuna hiyo Tanzania
Nje ya Muungano hakuna Zanzibar, kuna Unguja na Pemba....likewise hakuna Tanganyika, kuna: zones: Lake, South, North Central, Western, Coast etc....Kwani Zanzibar Kuna Serikali ya watumbatu na waamidu!!??
Hayo maccm inaogopa Tanganyika itakuwa kifo chaoKwani kujiita watanganyika Kuna shida gani??
Lazima utoe sababu za kimantiki tena za kisayansi.Nje ya Muungano hakuna Zanzibar, kuna Unguja na Pemba....likewise hakuna Tanganyika, kuna: zones: Lake, South, North Central, Western, Coast etc....
Kwa nini hakuna mtu anayeitwa mtanganyika.Hakuna mtu anaitwa Mtanganyika acheni upotoshaji.
Hayo ni mawazo yako una haki ya kuwaza unavopenda wazanzibari ni wamojaNje ya Muungano hakuna Zanzibar, kuna Unguja na Pemba....likewise hakuna Tanganyika, kuna: zones: Lake, South, North Central, Western, Coast etc....
Kama ni hivo hapo kwenye Tanzania isomeke Tanganyika lakini ukiweka tu Tanzania basi ni pamoja na zanzibar bila ya zanzibar hakuna Tanzaniayes, Zanzibar waongoze Zanzibar na Mtanganyika ndio aingoze Tanzania...lasivyo inakua kama hivi sasa ambavyo tunamarasi wa zanzibari wawili mmoja anatawala Tanzania ambayo ni pamoja na Zanzibar na mwingine anatawala Zanzibar.
Kwa mujibu wa katiba na sheria za Zanzibar si Wazanzibari.Ndogo kivipi?
Maelfu ya wanzibari wanaozaliwa kila siku Tanganyika siyo wazanzibari wale?
Tuanze na serikali moja hapa Tanzania.Pamoja na kuunga mkono hoja yako. Mimi deep inside naamini katika serikali moja tu yenye nguvu na mamlaka kamili iitawale Afrika nzima kuan?ia Cairo mpaka Cape Town. Uwepo Tanganyika ni fikra finyu sana kwa mawazo ya kuunda serikali moja ya kidikteta yenye uwezo wa kuziondosha serikali hizi uchwara tunazohangaika nazo.
Hayo mawazo yako wazanzibari wanaita ni ndoto za Ali NachaTuanze na serikali moja hapa Tanzania.
Hiki jambo lazima liendelee kujadiliwaHayo mawazo yako wazanzibari wanaita ni ndoto za Ali Nacha
Hili ni muhimu sana sana kwani tunapoeleka ni kubaya sana sana!Ukiangalia kwa makini utaona kwamba wakati Sasa umefika wa kuwa na Serikali itakayosimamia maslahi ya watanganyika pekee.