Wakati umefika sasa kuwe na Serikali itakayosimamia maslahi ya watanganyika pekee

Wakati umefika sasa kuwe na Serikali itakayosimamia maslahi ya watanganyika pekee

Tanganyika ndio Nini sisi wayanzania hata tukivunja muungano bado tutajiita TZ

Kuoigania maslahi ya tanganyika sawa na kusema tuunde chombo Cha kusimamia maslahi ya mwanaume kamanilivyo kwa wanawake, au maslahi ya Mzungu zidi ya mwafrika, au maslahi na haki ya Mume Kama ilivyo mke nk

Tanganyika ni GIANT kwenye muungano na Zanzibar ni mtoto so haki yakuoiganiwa ni yamtoto ukisema Giant udai haki ni kujizalilisha Zanzibar ni kama mkoa ti kwa Tanganyika/Tz
Zanzibar ni kama mkoa kivipi? Mbona wana Raisi wana Bunge wana Bendera wana wimbo wa Taifa ni Mkoa gani mwengine wenye mambo kama hayo?
 
Ukiangalia kwa makini utaona kwamba wakati Sasa umefika wa kuwa na Serikali itakayosimamia maslahi ya watanganyika pekee.

Kama maslahi ya wanzibari yanasimamiwa na Serikali ya Zanzibar ni kwa nini basi kusiwe na Serikali itakayosimamia maslahi ya Tanganyika?
Naunga mkono hoja kwa 💯/=
 
Ukiangalia kwa makini utaona kwamba wakati Sasa umefika wa kuwa na Serikali itakayosimamia maslahi ya watanganyika pekee.

Kama maslahi ya wanzibari yanasimamiwa na Serikali ya Zanzibar ni kwa nini basi kusiwe na Serikali itakayosimamia maslahi ya Tanganyika?
Naunga mkono hoja
 
Marufuku hayo vipi? Na hiyo Tanzania ni pamoja na zanzibar bila zanzibar hakuna hiyo Tanzania
yes, Zanzibar waongoze Zanzibar na Mtanganyika ndio aingoze Tanzania...lasivyo inakua kama hivi sasa ambavyo tunamarasi wa zanzibari wawili mmoja anatawala Tanzania ambayo ni pamoja na Zanzibar na mwingine anatawala Zanzibar.
 
Nje ya Muungano hakuna Zanzibar, kuna Unguja na Pemba....likewise hakuna Tanganyika, kuna: zones: Lake, South, North Central, Western, Coast etc....
Lazima utoe sababu za kimantiki tena za kisayansi.

Haya mambo ya kujikaririsha maoni ya watu wengine siyo sawa kabisa.
 
Nje ya Muungano hakuna Zanzibar, kuna Unguja na Pemba....likewise hakuna Tanganyika, kuna: zones: Lake, South, North Central, Western, Coast etc....
Hayo ni mawazo yako una haki ya kuwaza unavopenda wazanzibari ni wamoja
 
yes, Zanzibar waongoze Zanzibar na Mtanganyika ndio aingoze Tanzania...lasivyo inakua kama hivi sasa ambavyo tunamarasi wa zanzibari wawili mmoja anatawala Tanzania ambayo ni pamoja na Zanzibar na mwingine anatawala Zanzibar.
Kama ni hivo hapo kwenye Tanzania isomeke Tanganyika lakini ukiweka tu Tanzania basi ni pamoja na zanzibar bila ya zanzibar hakuna Tanzania
 
Pamoja na kuunga mkono hoja yako. Mimi deep inside naamini katika serikali moja tu yenye nguvu na mamlaka kamili iitawale Afrika nzima kuan?ia Cairo mpaka Cape Town. Uwepo Tanganyika ni fikra finyu sana kwa mawazo ya kuunda serikali moja ya kidikteta yenye uwezo wa kuziondosha serikali hizi uchwara tunazohangaika nazo.
Tuanze na serikali moja hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom