kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
[emoji2]Upo huko Mapogoro na unaona hasara ambayo USA ataitapa huko Ukraine ila agents wa USA waliopo Kyiv na Kremlin bado hawajaiona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2]Upo huko Mapogoro na unaona hasara ambayo USA ataitapa huko Ukraine ila agents wa USA waliopo Kyiv na Kremlin bado hawajaiona.
Nimeiona hii CNN mkuu aisee huyu mnyama ni hatarHii VAMPIRE ina uwezo wa kufungashwa kwenye magari ya kawaida tu na ikafanya mashambulizi makali, na haihitaji wanajeshi wengi, mwanajeshi mmoja tu ametosha kusababisha maangamizi kwa kuitumia......
The VAMPIRE system can fit in almost any pickup or vehicle with a cargo bed. (Courtesy of L3Harris)![]()
WASHINGTON — The U.S. is sending Ukraine “Vampire” kits that transform pickup trucks and other non-tactical vehicles into highly portable missile launchers.
As part of a $3 billion package for Ukraine that the Pentagon announced Wednesday, the Vehicle-Agnostic Modular Palletized ISR Rocket Equipment system is a portable kit that can be installed on most vehicles with a cargo bed for launching the Advanced Precision Kill Weapons System or other laser-guided munitions.
Source: ARMY TIMES
Angemheshimu tu mkubwa! Kama wanavyofanya baadhi ya majirani zake. Putin asingekubali kirahisi tu Ukraine kuwa mwanachama wa NATO.Tate; hebu tupe opinions zako; yule mchekeshaji alitakiwa afanye nini ili kuepusha vita?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upo huko Mapogoro na unaona hasara ambayo USA ataitapa huko Ukraine ila agents wa USA waliopo Kyiv na Kremlin bado hawajaiona.
Us huenda ana silaha ambazo hazijulikani majina na madhara yake.Hii VAMPIRE ina uwezo wa kufungashwa kwenye magari ya kawaida tu na ikafanya mashambulizi makali, na haihitaji wanajeshi wengi, mwanajeshi mmoja tu ametosha kusababisha maangamizi kwa kuitumia......
The VAMPIRE system can fit in almost any pickup or vehicle with a cargo bed. (Courtesy of L3Harris)![]()
WASHINGTON — The U.S. is sending Ukraine “Vampire” kits that transform pickup trucks and other non-tactical vehicles into highly portable missile launchers.
As part of a $3 billion package for Ukraine that the Pentagon announced Wednesday, the Vehicle-Agnostic Modular Palletized ISR Rocket Equipment system is a portable kit that can be installed on most vehicles with a cargo bed for launching the Advanced Precision Kill Weapons System or other laser-guided munitions.
Source: ARMY TIMES
Jipeni moyo Israel anawaita🤣Nikadhani wanatuma malaika mtoa roho kabisa kumbe ni yale yale mavyuma yao chakavu?
Putin shikilia hapo hapo.
Endelea kunywa maziwa kwa bibi yako kijijini huku ukilamba makamasi😂😂😂Propaganda Propaganda Propaganda
Mkuu unateseka?🤣Urusi atupe muhogo mmoja wa Nyuklia tu humo, mpaka uwe na masalia ya nuclear tuone kama Ukraine atapita juu ya Nuclear particles
Nateseka mno kumuona kamanda in chief anahangaishwa na Himars za kindeziMkuu unateseka?🤣
Hapana .mrusi anajifanya .kama vita imemshinda .hii si kweli ebu jaribu kufikiria toka wa magharibu watume machuma yao ukrein nn kimebadilika? Mrusi anakuambia silaha anazotumia sasa nizile toka vita kuu ya pili. Zana zake mpya hajazigusa kabisa anasubiri wa magharibi wamalize kutoa zakwao ndiyo muone mrusi anafanya nn ukrain .Simpendi mmarekani kabisa lakini urusi imeyumba sana inapigana kizamani imeniangusha, nasema uongo MK254
Daaa yaani uchambuzi mwingine huu!!yaani wewe uliyopo matombo huko, umeliona hilo kuliko hao maprof.wa duniani!!!hahaaaSio kwa Urusi! Hapo Marekani atatoa mikopo mingi kwa Ukraine ila akija kushtuka Ukraine yenyewe haitokuwepo tena.
Yani kwa kifupi Marekani atakula hasara kubwa itakayopelekea anguko lake
Hiki ndicho kitu Marekani anakipenda siku zote. Kutengeneza migogoro ya kivita duniani kote, ili wamiliki wa viwanda vya silaha wa Kimarekani wapate soko la kuuzia bidhaa zao.
Na wakati huo huo tenda za kuijenga upya hiyo nchi iliyo haribiwa na vita lazima yapewe makampuni ya Kimarekani!
Kiufupi tu Marekani ni Taifa la kijinga sana. Kamwe huwezi kuona vita inapiganwa nchini kwake! Yenyewe inapenda kuchochea vita kwenye nchi nyingine, halafu wakati mnauana, yenyewe inawauzia silaha na kuchukua yenda za ujenzi! Na kama kuna mafuta, inabeba kupeleka Marekani.
Yule Mchekeshaji Zelenysky anatumika pasipo yeye mwenyewe kujua.
Mbona hajawahi kuwa mwanachama wa NATO. Putin hata alipoitwaa Crimea 2014 Ukraine bado haikuwa NATO. Labda kitu pekee Ukraine angefanya ni kutulia aingiziwe vidole...Angemheshimu tu mkubwa! Kama wanavyofanya baadhi ya majirani zake. Putin asingekubali kirahisi tu Ukraine kuwa mwanachama wa NATO.
Usiwe unadanganyika kirahisi,,hizo S.3000 na S.4000,jumlisha hypersonic mesiles alikuwa nazo kwenye nyakati za vita ya pili ya dunia!? Warusi ni mabigwa wa propaganda pia. Wakati Putin anaanzisha huo upuuzi wake alitarajia kazi ingeisha ndani ya siku tatu hadi wiki moja.Hapana .mrusi anajifanya .kama vita imemshinda .hii si kweli ebu jaribu kufikiria toka wa magharibu watume machuma yao ukrein nn kimebadilika? Mrusi anakuambia silaha anazotumia sasa nizile toka vita kuu ya pili. Zana zake mpya hajazigusa kabisa anasubiri wa magharibi wamalize kutoa zakwao ndiyo muone mrusi anafanya nn ukrain .
Jamaa hajui kitu huyo ndo maana mimi nikampuuzia. Russia ametumia mpaka laser weapons ili kupambana na dronea za ukraine. Masilaha yote hayo wasemaje ni ya WW II? ni kumsamehe tu.Usiwe unadanganyika kirahisi,,hizo S.3000 na S.4000,jumlisha hypersonic mesiles alikuwa nazo kwenye nyakati za vita ya pili ya dunia!? Warusi ni mabigwa wa propaganda pia. Wakati Putin anaanzisha huo upuuzi wake alitarajia kazi ingeisha ndani ya siku tatu hadi wiki moja.
Sasa amekuwa kama sangara aliyenaswa na mfupa wa gogogo, kuumeza hawezi na kuutema hali kadhalika!
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sasa mzigo mpya unaingia mkuu jiandae kuteseka zaidi🤣Nateseka mno kumuona kamanda in chief anahangaishwa na Himars za kindezi
Marekani na NATO waliokua wanapigana kisasa na watalaban kwa miaka 20 lkn mwisho wake wakakimbiaSimpendi mmarekani kabisa lakini urusi imeyumba sana inapigana kizamani imeniangusha, nasema uongo MK254
Mwaka huu wa 2022 huyo Zelenysky alipanga kuiingiza Ukraine kwenye Umoja wa Ulaya na NATO! Jambo ambalo Putin alishalipinga tangu mwanzo. Ila sasa kwa sababu huyo Zelenysky alishajazwa upepo na Marekani, akajifanya mkaidi.Mbona hajawahi kuwa mwanachama wa NATO. Putin hata alipoitwaa Crimea 2014 Ukraine bado haikuwa NATO. Labda kitu pekee Ukraine angefanya ni kutulia aingiziwe vidole...
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app