Wakati Urusi inaendelea kuugulia kibano cha HIMARS, Ukraine wapata aina mpya nyingine ya silaha - M270 system

Wakati Urusi inaendelea kuugulia kibano cha HIMARS, Ukraine wapata aina mpya nyingine ya silaha - M270 system

Hujui unachoongea, hao mashoga wenzako NATO Ni mkusanyiko wa nzi tu, Ukraine itaki Kiev eneo lote Ni buffer zone ya mrusi, Russia yengewe tu Ni 17,000,000km za mraba , watu wa Russia sijui Kama wanavuka hata 500 million, ana silaha nyingi na hatari kuliko takataka yoyote ile, akikata gesi tu anaua Ulaya yote kwa baridi na nishati acva,chakula,mbolea etc
Duuu hizo data umetoa wapi sometimes jitahidi kusoma hata elimu ya watu wazima IPO usione aibu
 
Urusi alijitakia mwenyewe kwa kukurupuka, sasa ramani mpya inaonyesha NATO wamefika kwake mpakani na kumzingira maana Finland wameshasepa....

6284b3241aa29100196a281f
Kwa wakenya kuzingira kuna maana gani mkuu?
 
T14 Armata pitia hapa ukipata muda.

Hizi M270 rocket system zipo kama vifaru huenda sio rahisi kukimbia na kujificha zikishashambulia kama HIMARS.
Hizi za UK ni sawa na HIMARS ila hizi zina roketi 12 badala ya 6 za HIMARS. Na zinaweza fyatua roketi zote 12 ndani ya sekunde 40. Pia wanajeshi wa Ukraine walishafundishwa kuzitumia nchini UK na vile ile nchi haichelewi kufanya maamuzi tofauti na ilivyo Ujerumani basi tutarajie muda wowote kuziona.

Sitarajii kama watatoa roketi kubwa za range ya 300km. I hope watatoa zile za 80km range. Sijafatilia zaidi
 
Wakati jana ni anniversary ya separatists kudondosha ndege ya Malaysia kwa BUK missile na kuua watu zaidi ya 200. Russia jana usiku imedondosha ndege yake Su-34 kwenye anga lake. Hii ni friendly fire, ndege huwa na IFF (identification of friend or foe) ambayo husaidia kuitambulisha kwa air defence systems za nyumbani ikiwa angani. IFF ikifeli ndio inatokea kama hivi, si jambo la ajabu kwenye vita.
Iran mwaka juzi sijui ilikuwa ndio walidondosha ndege ya Ukraine iliyokuwa inaruka mjini Tehran na kuua wote. Siku hiyo walikuwa wametoka kufyatua makombora kwenye kambi ya Marekani kwahiyo roho ilikuwa juu
 
Hizi za UK ni sawa na HIMARS ila hizi zina roketi 12 badala ya 6 za HIMARS. Na zinaweza fyatua roketi zote 12 ndani ya sekunde 40. Pia wanajeshi wa Ukraine walishafundishwa kuzitumia nchini UK na vile ile nchi haichelewi kufanya maamuzi tofauti na ilivyo Ujerumani basi tutarajie muda wowote kuziona.

Sitarajii kama watatoa roketi kubwa za range ya 300km. I hope watatoa zile za 80km range. Sijafatilia zaidi
Hizi lakini si kama vifaru tu, yaani rahisi kuzi-locate na kushambulia ?
 
Hizi lakini si kama vifaru tu, yaani rahisi kuzi-locate na kushambulia ?
Hata km lingekua na mfumo km wa gari kitendo cha kuwa na mashine kubwa linakua halina uwezo wa kuchanganya kwa haraka ili likimbie lazima lianze kwa kunyata mpaka lichanganye na ndio maana ni rahis kulilocate muda mchache tangu lishambulie
 
Mrusi alishasema atakayemsaidia Ukraine asubiri matokeo, leo Ukraine wanaendelea kupokea aina mpya ya silaha zinazowatesa Urusi na hamna chochote Putin anaweza kufanya.
========================

Ukraine said Friday it had received its first delivery of a sophisticated rocket-launcher system, adding to a growing arsenal of Western-supplied long-range artillery Kyiv says is changing dynamics on the battlefield.

"The first MLRS M270 have arrived," Ukrainian Defence Minister Oleksiy Reznikov wrote on social media, without mentioning what country had dispatched them.

"They will be good company for HIMARS on the battlefield," he added, referring to US precision rocket systems recently deployed in the conflict.
View attachment 2295223
View attachment 2295216View attachment 2295217View attachment 2295218View attachment 2295219

Ukraine’s ‘foreign legion’ struck by missiles – Russia​

Up to 250 foreign mercenaries were killed in the attack, the Ministry of Defense has claimed
 
Hizi lakini si kama vifaru tu, yaani rahisi kuzi-locate na kushambulia ?
Tracked armour huwa zinasaidia kupita kwenye njia ngumu kupitiwa na matairi ila zinakuwa na speed ndogo na maintenance kubwa na muda mwingi zaidi kufanya maintenance.

Speed ya tracked huwa ni kama 60kmh wakati wheeled huwa inafika hata 100kmh. Sio mbaya kama unavyodhani, wembe ni uleule
 
Russia angeweza kuzichapa hizo nchi sema kagundua kuwa njia anayo tumia sasa ya kuzishinda kwenye uwanja wa vita ukraine inampa tija kubwa kimataifa hadi sasa warusi wao kwa wao wamezidi kumkubali putin tofauti na NATO NA USA ambayo njia wanazo tumia zinazidi kuwafanya wachukiwe na wananchi wao na hata kimataifa wanapoteza thamani ...russia kagundua kuwa nchi za magharibi zinakwenda kupoteza kwenye vita ya uchumi waliyo ianzisha wao wenyewe dhidi ya urusi ..ndiyo maana mrusi anatengeneza fitina ili ionekane kuwe yeye akupenda vikwazo ..kumbe ukweli ni kwamba mrusi anavifurahia vikwazo vya west kama nini ..maana vinakwenda kuzianganiza nchi zao wenyewe .
Mkuu, husipoteze muda ukijaribu kuelimisha watu kama hawa - ambao wanaonekana wazi wazi uelewa wao wa masulaya Geopolitics ni dismal kabisa!!

Hata hajiulizi inakuwaje viongozi wengi wa EU wanao jifanya kumkalia kooni Putin karibu wote wame bwaga manyanga na wengine wako mbioni ku-resign, hii inaleta picha gani - haya compressors za ku-pump gesi zilizo kuwa zimezuiliwa Canada kwa Shinikizo la US/Biden zimeachiliwa kimihujiza saa hizi zinafungwa kwenye pumps huko Urusi, haya juzi hapa Biden kaambiwa na Mfalme wa Saudia kwamba hasiwachagulie marafiki, baadae Saudia ikapeleka Meli kubwa kwenda kununua mafuta kutoka Urusi, sasa tuje kwenye sakata la Lithuania pamoja na ujeuri wa Kiongozi wa Taifa kuiwekea ngumu Urusi hisisafirishe mizigo kwa njia ya train kutoka/kwenda Kaliningrad kwa shinikizo la Biden, hivi sasa Lithuania imenywea-mizigo ya Russia inasafirishwa kama kawa,je,suala la maafisa wa jeshi la Ukraine kuwauzia Warusi silaha wanazopewa na nchi za magharibi mfano: French Ceaser Howitzers, HIMARS, Javelin etc.

Cha hatari zaidi ni hiki kitendo cha Zelensky kuwatimua kazi unceremoniously watu muhimu kwa usalama wa kwake mwenyewe na Taifa lake kiujumla - hii inadhilisha kwamba mambo hayamwendei vizuri Zelensky kadri siku zinavyo kwenda si ajabu akatoroka Nchi, au wanajeshi wake au body guards wakamtoa pumzi ili kunusuru nchi kabla haija haribiwa zaidi kwa vita ambavyo hawezi kushinda.
 
HIMARS uzisikie wapi wakati Russia imepunguza offensive. Subiri mapigano yaibuke ndio utajua zipo
Nani kukudanganya Russia imepunguza offensive mpaka muda huu wanajeshi wa urusi wamekaribia umbari wa kilometers 50kutoka jiji kuu la kharkiv Kumbuka Russia hana mipango ya kulichukua jiji hilo ila ilikuwa kama jibu kwa Ukraine

Urusi imebakisa umbari mchache mno kuingia mykolaiv kama Russia ikimalizana na doneskty basi kharkiv na mykolaiv ndio vituo vinavyo fata
 

Ukraine’s ‘foreign legion’ struck by missiles – Russia​

Up to 250 foreign mercenaries were killed in the attack, the Ministry of Defense has claimed

Source - Russia....
Hata sisi tumejifunza hili neno lenu nyie waarabu wa Bongo... "propaganda"
 
Back
Top Bottom