Wakati Urusi inaendelea kuugulia kibano cha HIMARS, Ukraine wapata aina mpya nyingine ya silaha - M270 system

Wakati Urusi inaendelea kuugulia kibano cha HIMARS, Ukraine wapata aina mpya nyingine ya silaha - M270 system

Nani kukudanganya Russia imepunguza offensive mpaka muda huu wanajeshi wa urusi wamekaribia umbari wa kilometers 50kutoka jiji kuu la kharkiv Kumbuka Russia hana mipango ya kulichukua jiji hilo ila ilikuwa kama jibu kwa Ukraine

Urusi imebakisa umbari mchache mno kuingia mykolaiv kama Russia ikimalizana na doneskty basi kharkiv na mykolaiv ndio vituo vinavyo fata
Russia kapunguza offensive sasa hivi anafanya holding her positions. Mashambulizi makali kwa infantry hamna sasa hivi
 
Leo asubuhi Ukraine ilimwaga mvua ya makombora ya HIMARS huko kherson yalitunguliwa mengi
Ukraine inapendelea kufanya mashambulizi usiku. Jeshi la Urusi halina performance nzuri ikiwa usiku na night vision gears hawana za kutosha na zilivyo expensive zile wakati nyingi wanaagiza nje.

Mara nyingi sana HIMARS zinafanya kazi usiku kwa sababu hii. Jambo lingine ndio movements zinakuwa zimepungua kwahiyo wakishambulia command post wana probability ya kukuta watu wengi humo kuliko ikiwa mchana. Depots hizo muda wowote
 
Malizeni njaa kwanza hustler
20220717_121204.jpg
 
Wakati jana ni anniversary ya separatists kudondosha ndege ya Malaysia kwa BUK missile na kuua watu zaidi ya 200. Russia jana usiku imedondosha ndege yake Su-34 kwenye anga lake. Hii ni friendly fire, ndege huwa na IFF (identification of friend or foe) ambayo husaidia kuitambulisha kwa air defence systems za nyumbani ikiwa angani. IFF ikifeli ndio inatokea kama hivi, si jambo la ajabu kwenye vita.
Iran mwaka juzi sijui ilikuwa ndio walidondosha ndege ya Ukraine iliyokuwa inaruka mjini Tehran na kuua wote. Siku hiyo walikuwa wametoka kufyatua makombora kwenye kambi ya Marekani kwahiyo roho ilikuwa juu
Kwa kile kiwewe basi Iran akivamiwa na squadron 4 anapigwa mapema
 
One HIMARS MLRS is now under Russian control

Morogoro kaskazini taarifa yako hiyo hapo,Mpaka sasa hawajachapisha picha yoyote au kutoa evidence yoyote kwamba wameikamata!
Lakini swalii la kujiuliza,wameikamata vipi wakati the range of the HIMARS is by far away from the front lines?!
Au walinunua kutoka Washington moja Kwa moja?!
Unawajibu watu wajinga wasiojielewa, waliowekeza dini mbele ya uhalisia
Pro Russia wengi ni ......
 
Ukraine inapendelea kufanya mashambulizi usiku. Jeshi la Urusi halina performance nzuri ikiwa usiku na night vision gears hawana za kutosha na zilivyo expensive zile wakati nyingi wanaagiza nje.

Mara nyingi sana HIMARS zinafanya kazi usiku kwa sababu hii. Jambo lingine ndio movements zinakuwa zimepungua kwahiyo wakishambulia command post wana probability ya kukuta watu wengi humo kuliko ikiwa mchana. Depots hizo muda wowote
Russia wanaagiza viona usiku kutoka kwa nchi gani?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Hili suala huenda ni propaganda tu za Vita, sio rahisi Ukraine kuiuzia Urusi HIMARS au silaha zingine za magharibi huku Marekani ikibaki kimya.
T14 Armata
Jamaa nilikuwa namheshimu ila kwa sasa hapana kwa kweli, yaani Ukraine akauiuzie HIMARS russia? Wakati kwa sehemu kubwa hii mitambo itakuwa inaendeshwa na westerns wenyewe.
 
Hili suala huenda ni propaganda tu za Vita, sio rahisi Ukraine kuiuzia Urusi HIMARS au silaha zingine za magharibi huku Marekani ikibaki kimya.
T14 Armata
Mkuu,nikukumbushe kitu? Mnacho sahau ni kwamba Maafisa wengi wa vyeo vya juu kwenye jeshi la Ukraine wamesoma kwenye military academies zile zile walizo somea wanajeshi wa Urusi, hivyo wengi wao wanafahamiana kwa karibu kutokana ku-attend same colleges enzi za Soviet Union - hata Zelensky anajuwa kujieleza vizuri kwenye lugha ya Kirusi kuliko Kiukraine, alianza maisha mjini Moscow huko ndiko alikuwa ameajiliwa enzi za ujana wake.
 
Hili suala huenda ni propaganda tu za Vita, sio rahisi Ukraine kuiuzia Urusi HIMARS au silaha zingine za magharibi huku Marekani ikibaki kimya.
T14 Armata
Russia anapigana na HIMARS kwa maneno, mpaka sasa vitendo bado. Kwanza tuwaulize wale makamanda 50 wa Ukraine waliouwawa kwenye shambulizi ni kina nani. Humu wanatuletea porojo tu, Ukraine ikiua kamanda inaweka na picha yake na biography ikiwekezekana. Mkibisha mtaona rafiki zake wanapost picha za msiba na tunazipata.

Russia wao wanajua idadi ya waliokufa, wanajua walivyoua makamanda ila hawajui jina la mmoja tu kati ya 50. Meli yao ilivyopigwa wakabisha, Ukraine ikaonesha footage ila Russia wakadai meli imepata hitilafu ya moto, wakatuma tug boat iivute meli ikalala upande mmoja ikazama. Waturuki hawana adabu wakaipiga picha ilivyo na tundu la kombora ubavuni karibu na waterline. Hapo Russia wakadai kimetokea kimbunga ikazama, wapi uliona warship yenye tani zaidi ya 10,000 inazama kwa kimbunga ambacho hata boat ndogo za watu watatu zilikuwa bahari hiyo.

Mwanzo kabisa Russian MoD ilisema wameangamiza air force ya Ukraine. Kumbe CIA ishatoa taarifa usiku kabla na ndege nyingi zikahamisha, zikabaki ambazo zilikosekana vifaa na zilihitaji maintenance. Warusi walishambulia airbases wakaamini ndege zote kwisha.

Bayraktars zilivyosumbua wakafanya mashambulizi makali na Warusi wakasema kwamba imefanya shambulizi na kuharibu Bayraktars kadhaa. Kampuni ya Baykar inayozitengeza ikakanusha kwamba idadi iliyotajwa ni nyingi kuliko zilizowahi tengenezwa zote, hapo ujumlishe zilizo Ukraine, Uturuki, Azerbaijan, Ethiopia na kwingine.

Wana trolls kibao mtandaoni usipokuwa makini unadanganywa. Kama huyu
20220719_002828.jpg
 
Back
Top Bottom