Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Halaf kuna wajuaji wenzako wale bendera kufuata upepounaelewa unchoandika au unashabikia tu viinchi vya watu? Ukubwa wa eneo 17,000,000 Km za mraba? Vijana nendeni shule mnajidharaulisha.
Duuu hizo data umetoa wapi sometimes jitahidi kusoma hata elimu ya watu wazima IPO usione aibuHujui unachoongea, hao mashoga wenzako NATO Ni mkusanyiko wa nzi tu, Ukraine itaki Kiev eneo lote Ni buffer zone ya mrusi, Russia yengewe tu Ni 17,000,000km za mraba , watu wa Russia sijui Kama wanavuka hata 500 million, ana silaha nyingi na hatari kuliko takataka yoyote ile, akikata gesi tu anaua Ulaya yote kwa baridi na nishati acva,chakula,mbolea etc
Kwa wakenya kuzingira kuna maana gani mkuu?Urusi alijitakia mwenyewe kwa kukurupuka, sasa ramani mpya inaonyesha NATO wamefika kwake mpakani na kumzingira maana Finland wameshasepa....
We pro NATO acha uoga yaani jamaa kaegesha kichwa tu kelele zote je akiingiza na mwili itakuaje? Ngoja Putin aendelee kufukua mifereji ya kunduchi ya huko NATO tuheshimianeMatusi ya nini unashindwa hoja unakimbilia matusi... Mat**o yako
Hizi za UK ni sawa na HIMARS ila hizi zina roketi 12 badala ya 6 za HIMARS. Na zinaweza fyatua roketi zote 12 ndani ya sekunde 40. Pia wanajeshi wa Ukraine walishafundishwa kuzitumia nchini UK na vile ile nchi haichelewi kufanya maamuzi tofauti na ilivyo Ujerumani basi tutarajie muda wowote kuziona.T14 Armata pitia hapa ukipata muda.
Hizi M270 rocket system zipo kama vifaru huenda sio rahisi kukimbia na kujificha zikishashambulia kama HIMARS.
Hizi lakini si kama vifaru tu, yaani rahisi kuzi-locate na kushambulia ?Hizi za UK ni sawa na HIMARS ila hizi zina roketi 12 badala ya 6 za HIMARS. Na zinaweza fyatua roketi zote 12 ndani ya sekunde 40. Pia wanajeshi wa Ukraine walishafundishwa kuzitumia nchini UK na vile ile nchi haichelewi kufanya maamuzi tofauti na ilivyo Ujerumani basi tutarajie muda wowote kuziona.
Sitarajii kama watatoa roketi kubwa za range ya 300km. I hope watatoa zile za 80km range. Sijafatilia zaidi
Hata km lingekua na mfumo km wa gari kitendo cha kuwa na mashine kubwa linakua halina uwezo wa kuchanganya kwa haraka ili likimbie lazima lianze kwa kunyata mpaka lichanganye na ndio maana ni rahis kulilocate muda mchache tangu lishambulieHizi lakini si kama vifaru tu, yaani rahisi kuzi-locate na kushambulia ?
Mrusi alishasema atakayemsaidia Ukraine asubiri matokeo, leo Ukraine wanaendelea kupokea aina mpya ya silaha zinazowatesa Urusi na hamna chochote Putin anaweza kufanya.
========================
Ukraine said Friday it had received its first delivery of a sophisticated rocket-launcher system, adding to a growing arsenal of Western-supplied long-range artillery Kyiv says is changing dynamics on the battlefield.
"The first MLRS M270 have arrived," Ukrainian Defence Minister Oleksiy Reznikov wrote on social media, without mentioning what country had dispatched them.
"They will be good company for HIMARS on the battlefield," he added, referring to US precision rocket systems recently deployed in the conflict.
View attachment 2295223
View attachment 2295216View attachment 2295217View attachment 2295218View attachment 2295219
Tracked armour huwa zinasaidia kupita kwenye njia ngumu kupitiwa na matairi ila zinakuwa na speed ndogo na maintenance kubwa na muda mwingi zaidi kufanya maintenance.Hizi lakini si kama vifaru tu, yaani rahisi kuzi-locate na kushambulia ?
HIMARS uzisikie wapi wakati Russia imepunguza offensive. Subiri mapigano yaibuke ndio utajua zipoHIMARS zimepigwa nyingi ndo maana usikii tena kutamba Zelensky kwa hasira kawafuta kazi wakuu wa ujasusi wa Ukraine kwa kutoa taarifa
Kiufupi western weapons haziletagi mabadiliko yoyote vitani
Mkuu, husipoteze muda ukijaribu kuelimisha watu kama hawa - ambao wanaonekana wazi wazi uelewa wao wa masulaya Geopolitics ni dismal kabisa!!Russia angeweza kuzichapa hizo nchi sema kagundua kuwa njia anayo tumia sasa ya kuzishinda kwenye uwanja wa vita ukraine inampa tija kubwa kimataifa hadi sasa warusi wao kwa wao wamezidi kumkubali putin tofauti na NATO NA USA ambayo njia wanazo tumia zinazidi kuwafanya wachukiwe na wananchi wao na hata kimataifa wanapoteza thamani ...russia kagundua kuwa nchi za magharibi zinakwenda kupoteza kwenye vita ya uchumi waliyo ianzisha wao wenyewe dhidi ya urusi ..ndiyo maana mrusi anatengeneza fitina ili ionekane kuwe yeye akupenda vikwazo ..kumbe ukweli ni kwamba mrusi anavifurahia vikwazo vya west kama nini ..maana vinakwenda kuzianganiza nchi zao wenyewe .
Nani kukudanganya Russia imepunguza offensive mpaka muda huu wanajeshi wa urusi wamekaribia umbari wa kilometers 50kutoka jiji kuu la kharkiv Kumbuka Russia hana mipango ya kulichukua jiji hilo ila ilikuwa kama jibu kwa UkraineHIMARS uzisikie wapi wakati Russia imepunguza offensive. Subiri mapigano yaibuke ndio utajua zipo
Ukraine’s ‘foreign legion’ struck by missiles – Russia
Up to 250 foreign mercenaries were killed in the attack, the Ministry of Defense has claimed