Wakati USAID Ikipotea, Tutegemee Vifo na Maambukizi Mapya ya HIV makubwa haijawahi tokea, Tusipochukua hatua ;it is really a timing Bomb!

Wakati USAID Ikipotea, Tutegemee Vifo na Maambukizi Mapya ya HIV makubwa haijawahi tokea, Tusipochukua hatua ;it is really a timing Bomb!

Ngoja kwanza. Ukipima ukimwi leo ukakutwa -ve utaambiwa uje baada ya miezi mitatu. Ukipima tena baada miezi mi3 ukakutwa ni -ve utaambiwa tena njoo baada ya miezi 3. Nini huwa ni hitima ya upimaji huo. ARVs inaweza ikazibwa pengo lake na vitu vingine kabisa kama elimu itatolewa kwa usahihi. HIV ni kitu kingine kabisa wala hakisababishi ukimwi kama tunavyofundishana. Ugonjwa uliouwa watu miaka ya 80_90 huko kagera ya kaskazini mashariki ulikuwa ni kifua kikuu ila akatwishwa HIV hiyo kesi na ndo anapambana nayo mpaka leo. Tukifanikiwa kumuangamiza kifua kikuu kesho basi ukimwi anajizika leo usiku
Duh!!,,kwa hiyo watengeneza ARvs lengo ni kuuza ili wapige hela au ni mradi,na je kama hivyo ndivyo, kwanini sisi afrika tusitengeneze dawa za kifua kikuuu tukamaliza hili tatizo??na tusiwe wategemezi wa hizo ARvs tangu awali!!!?nini tatizo letu ??
 
Hizi ndio siku za mwisho. Shika sana ulichonacho. Vijana walijiachia kwa ngono uzembe sana na hawakutaka kusikia cha nani wala nani. Makufuru yalisimama na watu wakatetea ushoga na usagaji...... vilio vitaziba masikio yetu... theruth itateketea. Mwenye sikio na asikie
 
Unaamini hakutakuwa na maambukizi mapya?
Yatakuwepo na wataagua watakufa na baadae miili yetu itatengeneza kinga bila kutegemea madawa,pia naamin huu ugonjwa sio kwamba waafrika wasingeweza kuuzui kabisa kama sio mzungu kuingilia mapema naamin tungeweza kupambana nao
 
📌KAMA UNAJUA WEWE NI DUNGADUNGA WEWE NI HARAMU JIWE YAANI WEWE JIWE TU NDO UNASAMEHE.

WEWE KAZI MBOVU KAZI SAFI TWENDE HUU NI WAKATI WA KUFUNGA KUNGONOKA ANGALAU MPAKA JUNI.

WATU WENGI WALIKUWA WANACHAPA ILALE ALAFU FRESH TU KWA HISANI YA ARV MAANA WATU WANAOTUMIA HIZO MBAGA WALIKUWA WANAMEZA DAWA VIZURI.

📌📌SASA THIS TIME, KWA HILI SEKESEKE LA TRUMP MAMBO NI 50/50 HAPO NI KUBET KAENI MKAO WA KIMASTER WAZEE WA KUCHOVYA MIXER MIX THE NYASH ACHENI HIZO.TRUMP BAADA YA KUMALIZANA NA REPORT ZA UKAGUZI HATABIRIKI ATACHUKUA HATUA GANI🙌🙌🙌🙌
 
Bora wafute kabisa misaada yote
Pamoja na umuhimu wake lakini vyama tawala Afrika walikuwa wakitumia pesa za misaada kujijenga wao kama chama na familia zao.
Ila waafrika ni kama matahira hivi.
Neno starehe humaanisha pombe na kujamiiana tu.
Wafe wagonjwa wote wa HIV tupate kizazi kipya
 
USAID ilikuwa inapunguzaje maambukizi?

Maambukizi yanatokana na mtu asiye na maambukizi kushiriki tendo la ndoa na mtu mwenye maambukizi bila kinga.

Sasa hapo USAID inahusikaje?
Humu namo kumbe Elimu bado😅😅😅
 
Hakuna atakayefanya kosa kuzuia arvs. Maana hasara ya marekani ni kubwa kuliko afrika. Kuzuia kwa misaada ya ARVs ni kuizika AIDs Afrika. Huu ndo mwisho wa ukimwi. Wachague wao sasa. Wasitishe misaada wa kuusaidia ukimwi uendeleww kuishi ama wautelekeze ukimwi ufie huku afrika. Kumbuka ARVs ipo kwa kuunusuru ukimwi. Siyo kunusuru binadamu
Unazingatia hasara kwa USA , kwahyo huoni hasara kwetu kabisa?
 
Waache wafanye uzembe kwani wao watabaki salama,si wana watoto,wana ndugu ambapo humo na sisi kajambanani tumo,nina matumaini mipango inaendelea na soon itatangazwa.Hofu tu ni kwa zile nchi zenye vita ambpo hakuna uratibu wa kutosha...
duh! Kama hapo congo kwa waasi wa m23, sudan kwa wale majenerali
 
Back
Top Bottom