🖕🏿Issue gani ya maana ? au ya Mbowe ni gaidi yupo Segerea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🖕🏿Issue gani ya maana ? au ya Mbowe ni gaidi yupo Segerea?
Eti kuogofya wana nchi.sema sisi mafisadi tuliku tuna ogopa sana hapo.tuta kuelewa sawa kengeKwenye kila utawala kuna Viongozi ambao wanawakilisha utawala huo zaidi ya wengine. Na utawala wa Magufuli huyu Prof. Kabudi aliuwakilisha zaidi ya wengine..
- Ubabe..
- Vitisho...
- Amri..
- Na Sura za kuogofya kwa watawaliwa na wananchi...huyu Kabudi alikuwa anawakilisha vyema kabisa.
Alipokuja Samia na kuanza kupotea na wananchi tukaanza tena kulala vizuri bila kuwa na wasiwasi wa sheria ipi inaweza tumika..'kutukomesha'. Ghafla kaibuka na sheria ya kutunza pesa. Na sasa hatujui kesho ataibuka na sheria gani ingine iliyopitwa na wakati ya kuwatishia wananchi...
Pesa ni pesa...pesa sio Qur'an tukufu wala sio Bible takatifu...ni human creations. Other humans wakijisikia kuikejeli iwe kweli au maigizo let them be....
Kwa kubudi kuibuka na vitisho hivi inaonesha bado wazi anaishi in the sixties..ambako na kauli za "mabeberu".
Na siasa za ujamaa na kujitegemea zilizofanana kidogo na siasa za Communism za China ya Mao na USSR ya kina Stalin.
Watu aina walishapitwa na wakati ...wanapaswa kuwekwa museums of history haraka sana....Samia afanye haraka ampumzishe huyu na sheria ya 'kuabudu' pesa kama dini ibadilishwe haraka. kuna watu wengi wanaishi kwa kutegemea pesa za kutunzwa na huwezi zuia watu kuwarushia na kudondoka chini hasa kwenye entertainment industry.
Sheria hizi za ki komunisti zifutwe na hawa wazee kama Kabudi wafutwe haraka ...walishapitwa na wakati kabla hata hawajateuliwa...
Nina video hapa.. technology haiongopi...Acha kuongopa.
...Acha kuongopa.
Hakuna anaemsagia kunguni Kabudi bali ukweli kuwa huyu Profesa wa jalalani ndio alikuwa sura kamili ya utawala wa Jiwe!! Mama Samia ingawa anasema anaendeleza yale ya Magufuli wengine tunaona kuwa sio ukweli bali anajenga legacy yake!! Ili afanikiwe kujenga legacy yake ni lazima awapumzishe wakiwa Kabudi na Lukuvi na wengine wengi ambao ni sura ya utawala wa mabavu wa JIWE!!Duh umejua kumsaigia kunguni mzee
Na Vijana ni type ya wakina Sabaya,Hapi,Kigwa na Bashite?Madingi wakae pembeni,Wana fikra mbovu juu ya uongozi,mamlaka...wanafikra za ufalme zaid
Kwenye kila utawala kuna Viongozi ambao wanawakilisha utawala huo zaidi ya wengine. Na utawala wa Magufuli huyu Prof. Kabudi aliuwakilisha zaidi ya wengine..
- Ubabe..
- Vitisho...
- Amri..
- Na Sura za kuogofya kwa watawaliwa na wananchi...huyu Kabudi alikuwa anawakilisha vyema kabisa.
Alipokuja Samia na kuanza kupotea na wananchi tukaanza tena kulala vizuri bila kuwa na wasiwasi wa sheria ipi inaweza tumika..'kutukomesha'. Ghafla kaibuka na sheria ya kutunza pesa. Na sasa hatujui kesho ataibuka na sheria gani ingine iliyopitwa na wakati ya kuwatishia wananchi...
Pesa ni pesa...pesa sio Qur'an tukufu wala sio Bible takatifu...ni human creations. Other humans wakijisikia kuikejeli iwe kweli au maigizo let them be....
Kwa kubudi kuibuka na vitisho hivi inaonesha bado wazi anaishi in the sixties..ambako na kauli za "mabeberu".
Na siasa za ujamaa na kujitegemea zilizofanana kidogo na siasa za Communism za China ya Mao na USSR ya kina Stalin.
Watu aina walishapitwa na wakati ...wanapaswa kuwekwa museums of history haraka sana....Samia afanye haraka ampumzishe huyu na sheria ya 'kuabudu' pesa kama dini ibadilishwe haraka. kuna watu wengi wanaishi kwa kutegemea pesa za kutunzwa na huwezi zuia watu kuwarushia na kudondoka chini hasa kwenye entertainment industry.
Sheria hizi za ki komunisti zifutwe na hawa wazee kama Kabudi wafutwe haraka ...walishapitwa na wakati kabla hata hawajateuliwa...
Wanatia sana hasila.Hujui chochote kaa kimya nyie ndo vi.laza mnaotuharibia lugha! Kutunzwa ni kuhifadhi au kuweka kitu mahali! Kutuzwa ni kupewa tuzo! Elimu zenu za shule za kata zimekuwa bomu kwa Nchi hii!
Nyie ndo wale wa " bizaa", mirasi, laisi, nizamu nk
Wamekosa kabisa moral audacity ya kusema chochote kwenye jamii...Mkuu hawa kina Kabudi, Bashiru usiwahukumu sana...kumbuka wao walikuwa vitendea kazi vya utawala uliopita na ilibidi wacheze kulingana na mdundo wa ngoma.
Hivyo wanatakiwa kukaa kimya?Wamekosa kabisa moral audacity ya kusema chochote kwenye jamii...
Wachague kukaa kimya au wamfuate mtu wao!Hivyo wanatakiwa kukaa kimya?
Wachague kukaa kimya au wamfuate mtu wao!
Nimemsaidia huyo uliye m-quote!...Acha kuongopa.
Unabisha nini sasa,ukiwa porini huko ukiambiwa kitu kabla kubisha fanya utafiti!...Acha kuongopa