Wakati wa Kabudi kupumzishwa ulishafika, Rasi Samia amsaidie tu

Wakati wa Kabudi kupumzishwa ulishafika, Rasi Samia amsaidie tu

Kwenye kila utawala kuna Viongozi ambao wanawakilisha utawala huo zaidi ya wengine. Na utawala wa Magufuli huyu Prof. Kabudi aliuwakilisha zaidi ya wengine..
  • Ubabe..
  • Vitisho...
  • Amri..
  • Na Sura za kuogofya kwa watawaliwa na wananchi...huyu Kabudi alikuwa anawakilisha vyema kabisa.

Alipokuja Samia na kuanza kupotea na wananchi tukaanza tena kulala vizuri bila kuwa na wasiwasi wa sheria ipi inaweza tumika..'kutukomesha'. Ghafla kaibuka na sheria ya kutunza pesa. Na sasa hatujui kesho ataibuka na sheria gani ingine iliyopitwa na wakati ya kuwatishia wananchi...

Pesa ni pesa...pesa sio Qur'an tukufu wala sio Bible takatifu...ni human creations. Other humans wakijisikia kuikejeli iwe kweli au maigizo let them be....

Kwa kubudi kuibuka na vitisho hivi inaonesha bado wazi anaishi in the sixties..ambako na kauli za "mabeberu".

Na siasa za ujamaa na kujitegemea zilizofanana kidogo na siasa za Communism za China ya Mao na USSR ya kina Stalin.

Watu aina walishapitwa na wakati ...wanapaswa kuwekwa museums of history haraka sana....Samia afanye haraka ampumzishe huyu na sheria ya 'kuabudu' pesa kama dini ibadilishwe haraka. kuna watu wengi wanaishi kwa kutegemea pesa za kutunzwa na huwezi zuia watu kuwarushia na kudondoka chini hasa kwenye entertainment industry.

Sheria hizi za ki komunisti zifutwe na hawa wazee kama Kabudi wafutwe haraka ...walishapitwa na wakati kabla hata hawajateuliwa...
Eti kuogofya wana nchi.sema sisi mafisadi tuliku tuna ogopa sana hapo.tuta kuelewa sawa kenge
 
Duh umejua kumsaigia kunguni mzee
Hakuna anaemsagia kunguni Kabudi bali ukweli kuwa huyu Profesa wa jalalani ndio alikuwa sura kamili ya utawala wa Jiwe!! Mama Samia ingawa anasema anaendeleza yale ya Magufuli wengine tunaona kuwa sio ukweli bali anajenga legacy yake!! Ili afanikiwe kujenga legacy yake ni lazima awapumzishe wakiwa Kabudi na Lukuvi na wengine wengi ambao ni sura ya utawala wa mabavu wa JIWE!!

Ameanza kuwapumzisha wengine kama wakina Kalemani na yule mwingine alikuwa waziri wa uchukuzi lakini kama asemavyo MAMA mwenyewe "Kazi iendelee" kujenga safu ya watendaji wenye busara ambao hawakuokotwa jalalani!!!
 
Kwenye kila utawala kuna Viongozi ambao wanawakilisha utawala huo zaidi ya wengine. Na utawala wa Magufuli huyu Prof. Kabudi aliuwakilisha zaidi ya wengine..
  • Ubabe..
  • Vitisho...
  • Amri..
  • Na Sura za kuogofya kwa watawaliwa na wananchi...huyu Kabudi alikuwa anawakilisha vyema kabisa.

Alipokuja Samia na kuanza kupotea na wananchi tukaanza tena kulala vizuri bila kuwa na wasiwasi wa sheria ipi inaweza tumika..'kutukomesha'. Ghafla kaibuka na sheria ya kutunza pesa. Na sasa hatujui kesho ataibuka na sheria gani ingine iliyopitwa na wakati ya kuwatishia wananchi...

Pesa ni pesa...pesa sio Qur'an tukufu wala sio Bible takatifu...ni human creations. Other humans wakijisikia kuikejeli iwe kweli au maigizo let them be....

Kwa kubudi kuibuka na vitisho hivi inaonesha bado wazi anaishi in the sixties..ambako na kauli za "mabeberu".

Na siasa za ujamaa na kujitegemea zilizofanana kidogo na siasa za Communism za China ya Mao na USSR ya kina Stalin.

Watu aina walishapitwa na wakati ...wanapaswa kuwekwa museums of history haraka sana....Samia afanye haraka ampumzishe huyu na sheria ya 'kuabudu' pesa kama dini ibadilishwe haraka. kuna watu wengi wanaishi kwa kutegemea pesa za kutunzwa na huwezi zuia watu kuwarushia na kudondoka chini hasa kwenye entertainment industry.

Sheria hizi za ki komunisti zifutwe na hawa wazee kama Kabudi wafutwe haraka ...walishapitwa na wakati kabla hata hawajateuliwa...

Ila unakuwa mchoyo wa fadhila kutokutambua mabadiliko kwenye mavazi yake husuani suti.

Naona safari hii ananunua suti saizi yake. Enzi za mheshimiwa ‘mungu’ mzee wa watu alikuwa anavaa suti za watu wawili peke yake.
 
Ukisikia mtu ni Prof usifikiri haraka haraka kuwa ana akili. Subiri kwanza aongee. Asilimia zaidi ya 50 ya maprofesa wabongo ni vilaza wakubwa.

Kuna maprof kama Shivji au Janabi unajua kuwa kweli ni maprof. Lakini Kabudi au Lipumba! Walikariri tu shule.
 
Hujui chochote kaa kimya nyie ndo vi.laza mnaotuharibia lugha! Kutunzwa ni kuhifadhi au kuweka kitu mahali! Kutuzwa ni kupewa tuzo! Elimu zenu za shule za kata zimekuwa bomu kwa Nchi hii!
Nyie ndo wale wa " bizaa", mirasi, laisi, nizamu nk
Wanatia sana hasila.
 
Prof. Palamagamba Kabudi anashangaza pamoja ya kuwa anajaribu kuitangaza lugha yetu adhimu, hajui kuwa ktk shughuli za kijamii watu hutuza! Na hii ni sehemu ya kuonesha kujali na kupongeza wala siyo vinginevyo.

Sasa yeye Profesa hili tendo la kutuza kuliona ni kutupa inaleta mashaka kwa balozi wetu huyu maalum wa kueneza lugha ya Kiswahili ktk nchi zote za jumuiya ya SADC .
 
Back
Top Bottom