imefika wakati hizi timu mbili (Simba na Yanga) zisonge mbele kiuchumi ili soka la nchi yetu liende hatua moja zaidi mbele. njia pekee ni kuondoa Uswahili kwenye hizi klabu na kuzi-commercialise. wafanya biashara walio interested wapewe nafasi ya ku-bid for the majority shareholding. Waswahili wa-retain some shares for loyalty.
kibiashara these are very attractive brands. nionavyo mimi ziko much stronger than Manji, Mo & Bakhresa all rolled into one.
so, Yanga wanaweza kuanza na the Manji's of this world. Simba kuna Mo ambaye tayari ameonyesha interest kubwa.
Chelsea, Liverpool, ManCity, Man U, Arsenal, TP Mazembe au hata Azam - oneni zinavyoendeshwa kwa mafaninikio na kuwafurahisha wapenzi wao.
wito kwa ninyi wanachama wa hizi timu 2: chukueni hii ajenda (seriously) muende nayo kwenye mkutano mkuu. ama sivyo kutoka hapo mlipo ni ndoto ya alinacha!