Kama klabu haiwezi kugharamia gharama za klabu then akaja mtu mwenye pesa zake bila shaka itafanikiwa.....
TP mazembe & AS vita.! Zingatia hizi klabu.
Simaanishi Mafanikio ya Yanga SC yameletwa na Manji. La hasha, bali uwepo wake umeongeza ubora zaidi kwa klabu.
Yule ni binadami ipo siku atakufa, Yanga kama taasisi ina mikakati ipi ya kujitegemea? Mtu anayekujenga kwenye misingi ya kuwa tegemezi hakusaidii.Tunachokitaka kutoka kwake ni kuona timu inafanya vyema kwenye michuano mbalimbali kama ilivyokuwa mwaka huu.
Biashara zake hazituhusu.
Chochote kitacho tokea ni cha ziada tu... au mbwembwe!
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Kuna vimtu duni visivyo hata na kumi mfukoni huwa vinadumaza sana hizi klabu zetu. Umefikia wakati vijana kureplace wazee kwenye hizi klabu ndio tutaona tija. Haiwezekani klabu iwe na mwenyekiti anatinga mkutanoni na makubazi hata kusoma hajui anaongea mate yanamtoka mdomoni staha hana kazi ushirikina.
Azam ile pale, hamna majungu makubwa sababu hamna njaa. Simba imefeli sababu ya njaa. Tusibishe kwenye hili, ni Manji ndio kaileta hii Yanga ya kimataifa
Yule ni binadami ipo siku atakufa, Yanga kama taasisi ina mikakati ipi ya kujitegemea? Mtu anayekujenga kwenye misingi ya kuwa tegemezi hakusaidii.
Kama Manji ndiye analipa hadi viongozi wengine mnaogopa nini kummilikisha timu ?Nani amewadanganya klabu kumilikiwa na mtu ndio inapata mafanikio ?
Tumpe timu .Kama klabu haiwezi kugharamia gharama za klabu then akaja mtu mwenye pesa zake bila shaka itafanikiwa.....
TP mazembe & AS vita.! Zingatia hizi klabu.
Simaanishi Mafanikio ya Yanga SC yameletwa na Manji. La hasha, bali uwepo wake umeongeza ubora zaidi kwa klabu.
......... mifano ni mingi sana ! Hapo jirani DRC , PDG Katumbi hakuna asiyeujua mchango wake kwenye harakati za TP MAZEMBE kutawala soka la Africa .
Shime wana Yanga wakati ni huu , yale mambo ya kudai " nilichangia tofali au sijui nilibeba mchanga " yamepitwa na wakati .
Pointi tupu mkuu! Umeongea kisomi sana!kuna kipindi Manji alitaka kuinunua Yanga kwa bilioni tatu miaka kumi ishapita mpaka sasa kama angefanikiwa angemiliki hisa asilimia sitini na kuwakopesha wanachama asilimia arobaini,sijui kilitokea nini baadae katika uongozi wake nilisikia wametoa mapendekezo yakuifanya Yanga kuwa kampuni mapendekezo hayo yatarudishwa kwa wananchi iliyaweze kupigiwa kura
Naunga mkono hizi timu mbili simba na yanga kuendeshwa na watu binafsi alafu sisi wanachama na mashabiki tununue hisa huu ndo utakuwa umiliki wa kweli wa timu tutakuwa na haki yakuhoji mwenendo wa timu sio kama saivi tumekuwa wanasiasa kelele tuu,timu hatujui inaendeshwa vipi,wachezaji wanalipwa vipi,mauzo ya jezi n.k
Iliweza kushindana na vitimu uchwara kama KMKM , MALINDI , SC VILLA na sofa paka .Kabla ya Manji Yanga haikuwepo ?
Unataka watu wamalizane kwa kulogana kugombea hela ya pango ? Uliza jengo la mtaa wa mafia nani anachukua kodi !Itabidi MANJI azungumze na waliochangia Tofali na kubeba mchanga ili awarudishie pesa zao au hata awaachie jengo yeye achukue timu kisha timu ipange hapo jangwani. Au mnasemaje wana wa Jangwani?????? Sio kila siku tunasikia mimi Yanga damu, wakati hata mlo mmoja kwa siku ni shida. tehe teheteheeee he kho!
Kwi! Kwi! Kwi!Hayo maneno ukiyaongea pale Jangwani lazima wazee wakushushe busha kama ndoo ya maji......
Azam ina mafanikio gani mkuu?imefika wakati hizi timu mbili (Simba na Yanga) zisonge mbele kiuchumi ili soka la nchi yetu liende hatua moja zaidi mbele. njia pekee ni kuondoa Uswahili kwenye hizi klabu na kuzi-commercialise. wafanya biashara walio interested wapewe nafasi ya ku-bid for the majority shareholding. Waswahili wa-retain some shares for loyalty.
kibiashara these are very attractive brands. nionavyo mimi ziko much stronger than Manji, Mo & Bakhresa all rolled into one.
so, Yanga wanaweza kuanza na the Manji's of this world. Simba kuna Mo ambaye tayari ameonyesha interest kubwa.
Chelsea, Liverpool, ManCity, Man U, Arsenal, TP Mazembe au hata Azam - oneni zinavyoendeshwa kwa mafaninikio na kuwafurahisha wapenzi wao.
wito kwa ninyi wanachama wa hizi timu 2: chukueni hii ajenda (seriously) muende nayo kwenye mkutano mkuu. ama sivyo kutoka hapo mlipo ni ndoto ya alinacha!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Manara akishangilia goli la pili la Yanga dhidi ya Simba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hayo maneno ukiyaongea pale Jangwani lazima wazee wakushushe busha kama ndoo ya maji......
Nani anapokea mkuu?Unataka watu wamalizane kwa kulogana kugombea hela ya pango ? Uliza jengo la mtaa wa mafia nani anachukua kodi !
Azam ina mafanikio gani mkuu?