Wakati wa uongozi Profesa Juma, Mahakama ilishindwa kusimama na wananchi dhidi ya udhalimu wa awamu ya 5

Wakati wa uongozi Profesa Juma, Mahakama ilishindwa kusimama na wananchi dhidi ya udhalimu wa awamu ya 5

Nampongeza kwa Utumishi wake, amejenga majengo mengi ya Mahakama ila Mwenye any landmark Case with its Judgement or with of full bench sitting together, I read his books on the Law of Evidence Act at University, but I have not yet crossed his pen to any relevant Judgement setting a Present for other Jurists...

Samatta is well known for his Judgement on interpretation of Constitution or the case of Mwl Paul John Mhozya v.AG no.1 of 1996 TLR 130 HCT page 133when he said.......the notion =,apparently harboured by some people in this country, that the President is above the law is subversive of the Constitution and the laws.All Governmrnt leaders,including the President, are like humble citizens,bound to comply with the laws ofthis country.

The maxim 'the King can do no wrong ' has no place in our law even if the word President is subsituted for the word King' Everyone and every institution or organization in this country is enjoined to pay respectto the principle of supremacy of the Law,see article 26(1) of the constitution.....Samatta 1994

Mwenye Judgement ya Juma kama aiweke humu isomwe na watu wote
 
Kwa kweli hakuna cha kujivunia kwa huyu jaji nadhani naye hakuwa na cha kufanya maana mteuaji wake ambaye sasa amelala usingizi wa mauti alimtisha kwanza kwa kutomuidhinisha awe jaji mkuu kwa kipindi fulani awe kaimu ili kumpa maelekezo kama akiyakubali ndiyo ampromote na kwa kuwa wanadamu tunapenda madaraka na pesa hakuwa na namna hata kama alikuwa anaamini tofauti

Ikabidi akazane tu na majengo na teknohama maana ndiyo yalikuwa mahubiri yake tu kwenye haki anamaliza na sifuri
 
Je, unaujua mitandao wa Tanzil?. Unajua maagizo yote ya CJ yanawekwa kule Tanzil?. Sijawahi kuona agizo hilo, kama kweli kuna agizo kama hilo please share!.

I don't believe this!, thibitisha!.

Aende wapi wakati his time is up?.
NB. Leo ni siku ya sheria, tumfuatilie atazumgumza kutokea Dodoma, Mgeni rasmi ni Samia

P

Hana chochote cha kudhibitisha kwako, udhaifu wa mahakama na Uduni wa katiba yetu ulikuwa wazi kipindi chote cha utawala wa kidhalimu wa Magufuli.
 
Huyu Judge ni mmoja wa ma judge wa hovyo kabisa kuwahi kutokea hapa nchini!
Hana cha kujivunia ktk utawala wake zaidi ya aibu aliyoiacha nyuma yake na hastahili kabisa kupewa heshima ktk jamii ya Tz.
 
Hana chochote cha kudhibitisha kwako,
Niliwahi kushauri humu, apart from whistleblowing, tusituhumu jambo lolote bila ushahidi, ili tusichafue bure watu!.
udhaifu wa mahakama na Uduni wa katiba yetu ulikuwa wazi kipindi chote cha utawala wa Magufuli.
Kama udhaifu na uduni wa katiba yetu ulikuwepo wakati wote, kosa la Magufuli ni nini?. Kwani ndie aliyesababisha katiba duni?.
utawala wa kidhalimu wa Magufuli.
Ni lini tutaacha kumsema vibaya marehemu?. Lini tutamuacha Magufuli apumzike kwa amani?. Jee wajua saw hizi yuko peponi kwa baba yake?.
P
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
Apumzike kwa Aman atakapo pumzika mamajukumu
 
Sasa kwani pamoja na kuwa huyo jiwe hayupo, huko mahakamani nini kimebadilika?
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
WACHA AKAPUMZIKE KTK AWAMU ambazo MAHAKAMA ZILITUMIKA VIBAYA NI AWAMU ya Huyu PROF. Mahakama zilikuwa zinaelekezwa cha KUFANYA
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.

Hawa wengine mnawaonea tu

Itoshe kusema kama magu alikuwa na madhaifu basi ni serikali yote ya awamu ya tano

Na sio mnachagua mara huyu mara huyu sio sawa

85% ya watendaji wa serikali ya awamu ya tano bado wapo serikalini mpaka leo

Bado wanakula pesa kama kawaida,

Sisi tunaumiza vidole kubishana jf
 
Niliwahi kushauri humu, apart from whistleblowing, tusituhumu jambo lolote bila ushahidi, ili tusichafue bure watu!.

Kama udhaifu na uduni wa katiba yetu ulikuwepo wakati wote, kosa la Magufuli ni nini?. Kwani ndie aliyesababisha katiba duni?.

Ni lini tutaacha kumsema vibaya marehemu?. Lini tutamuacha Magufuli apumzike kwa amani?. Jee wajua saw hizi yuko peponi kwa baba yake?.
P

Viongozi karibia wote waliona udhaifu wa katiba yetu, lakini kwa sehemu kubwa walikuwa na busara ambayo Magufuli hakuwa nayo. Hii ndio sababu aliishia kuinajisi Mihimili ya nchi. Ww hata ukipewa ushahidi utafanya nini. Kwa mfano hivi sasa mama Samia kasema fedha za plea bargaining zilifunguliwa account China, ww kama mwanasheria utachukua hatua gani?
 
Hawa wengine mnawaonea tu

Itoshe kusema kama magu alikuwa na madhaifu basi ni serikali yote ya awamu ya tano

Na sio mnachagua mara huyu mara huyu sio sawa

85% ya watendaji wa serikali ya awamu ya tano bado wapo serikalini mpaka leo

Bado wanakula pesa kama kawaida,

Sisi tunaumiza vidole kubishana jf
Hakuna Jiwe lililokuwa na jiwe,litabaki juu ya jiwe bila kuinuliwa
 
Nampongeza kwa Utumishi wake, amejenga majengo mengi ya Mahakama ila Mwenye any landmark Case with its Judgement or with of full bench sitting together, I read his books on the Law of Evidence Act at University, but I have not yet crossed his pen to any relevant Judgement setting a Present for other Jurists...Samatta is well known for his Judgement on interpretation of Constitution or the case of Mwl Paul John Mhozya v.AG no.1 of 1996 TLR 130 HCT page 133when he said.......the notion =,apparently harboured by some people in this country, that the President is above the law is subversive of the Constitution and the laws.All Governmrnt leaders,including the President, are like humble citizens,bound to comply with the laws ofthis country.
The maxim 'the King can do no wrong ' has no place in our law even if the word President is subsituted for the word King' Everyone and every institution or organization in this country is enjoined to pay respectto the principle of supremacy of the Law,see article 26(1) of the constitution.....Samatta 1994

Mwenye Judgement ya Juma kama aiweke humu isomwe na watu wote
Kwa jinsi uoivyoandika hapa, nakushauri uachane na masomo ya sheria chuo kikuu, unapoteza Hela za mzazi wako na Serikali.
 
Hakuna Jiwe lililokuwa na jiwe,litabaki juu ya jiwe bila kuinuliwa

Huyo biswalo kapewa ujaji na mama samia

Kama anajua alikuwa na makandokando ya wizi why kampa ujaji?

Si angempiga chini tu
 
Huyo biswalo kapewa ujaji na mama samia

Kama anajua alikuwa na makandokando ya wizi why kampa ujaji?

Si angempiga chini tu
Kula mtori, nyama ziko chini
 
Hivi mbachokitafuta ni nini nchi hii mpaka sasa?

Mauaji ya kimbari au watu waliowaweka kijiweni wauwawe au nini??

Kila siku nyinyi, ni kuendekeza visasi tuuu!

Hivi mnajua kwamba kama likitiuka, hata hizo simu mnatumia kuandika ujinga wenu hamtapata nafasi ya kubofya tena!

Halafu mnasahau kwamba kila uongozi una ukomo?

Kwamba iko siku watarudi wengine, nao wakaamua kudeal na nyinyi itakuwaje nyie?
 
Back
Top Bottom