Wakati wa uongozi Profesa Juma, Mahakama ilishindwa kusimama na wananchi dhidi ya udhalimu wa awamu ya 5

Wakati wa uongozi Profesa Juma, Mahakama ilishindwa kusimama na wananchi dhidi ya udhalimu wa awamu ya 5

Alikaa kwa majaribio akiwa 'kaimu jaji mkuu' kwa miezi kadhaa ndipo akaapishwa Ila huu muhimili ulivurugika kabisa enzi yake. Ila katiba yetu pia ilichangia pakubwa hili.

Namna kesi ya Mbowe ilivyoendeshwa na kutolewa uamuzi ilionyesha mapungufu makubwa kwenye huu muhimili.

Pascal Mayalla zitto junior
You are out of your depth my friend, best place for you is Kenya yenye tumehuru. Judges don't grow on trees, Professors even less so. It's a pity siyo field yako but Professor Juma has made incisive epoch-making judgments in the field of mercantile low. Wawekezaji walikuwa wanachezea Tanzania, wanatoa dividends kwao huku hata kodi hawalipi wakudai ni loss making.

Hii inahitaji uwe na cutting edge ya law na the workings of financial markets and international business. You should feel ashamed, TRA wamemshukuru na kumshukuru, na Watanzania wote wazalendo kwa Nji yao hawatomsahau. Afadhali iseme astaghafirullah! Nenda zako Kenya ukakae na wenziyo mtafute tumehuru.
 
Je, unaujua mitandao wa Tanzil?. Unajua maagizo yote ya CJ yanawekwa kule Tanzil?. Sijawahi kuona agizo hilo, kama kweli kuna agizo kama hilo please share!.

I don't believe this!, thibitisha!.

Aende wapi wakati his time is up?.
NB. Leo ni siku ya sheria, tumfuatilie atazumgumza kutokea Dodoma, Mgeni rasmi ni Samia

P
Wewe ni mwanahabari. Nilitarajia usingeikosa hotuba ile ya CJ. Haikuwa siri, ilikuwa hotuba ya wazi wakati wa uapishwaji wa mawakili. Sikumbuki tarehe, lakini vyombo vya habari vilitangaza, na humu JF watu waliijadili kauli ile.

Ushiriki wake kwenye vikao vya siri vya chama, siwezi kuweka hapa ushahidi kwa sababu itakuwa ni kumwanika mtoa habari. Lakini nina uhakika wa 100% kwa sababu mtoa habari alikuwa ni mmoja wa wahudhuriaji wa kile kikao. Kikao kimojawapo kilikuwa na ajenda kuu ya amna ya kumwondoa Assad, japo baadaye alijifanya ni sympathizer.

Lakini ni ukweli pia huyu bwana alitendewa kitendo ambacho hakuna mwingine aliwahi kutendewa kwenye nafasi hiyo.

Alipewa uteuzi wa kukaimu bila ya kuambiwa sababu. Lakini aliambiwa kuwa uteuzi wake ungethibitishwa baada ya mteuzi wake kuridhishwa kwa 100%, anaendana na agenda zake. Na agenda kubwa aliambiwa. Nadhani ni kwa sababu ya kukipenda cheo, ikambidi afanye kama mteuzi wake anavyotaka. Alipomfurahisha, ukaimu wake ukathibitishwa kuwa uteuzi kamili.

Kipindi chake chote, mahakama ikawa tu kama idara ya ofisi ya Rais.
 
Huyo Juma, kwa kweli ni aibu tupu. Hana cha kujivunia kwenye hiyo nafasi.

Huyu ndiye aliyeziagiza mahakama kuwa zitoe hukumu kwa kuangalia majukumu na malengo ya Serikali. Alishiriki vikao vya siri na viongozi wa CCM dhidi ya upinzani na dhidi ya Musa Assad, huku kwa unafiki akijifanya ni rafiki yake. Ndiye aliyefanya makubaliano na Jiwe, Assad atolewe kwenye nafasi yake, ndiye alishirikiana na Ndugi kumwomba Jiwe na wao wawe na kinga ya kutoshtakiwa ili wawe huru kutenda chochote hata kilicho kinyume na katiba na sheria za nchi bila ya kuwa na hofu ya kutokuja kushtakiwa.

Aondoke haraka sana.
Unamlaumu bure Professor Juma. Muda wa kazi wa Professor Assad ulikuwa umekwisha. CAG ni ajira tu, nzuri na muhimu lakini ni ajira tu. Siyo muhimili. Assad alisahau miiko ya Wahasibu kutimbadmouth Client wako, alijitakia mwenyewe. La Mbowe ni bahati kubwa (kwa Mbowe), angenyongwa. Mtu wa tigopesa alithibitisha mbowe kawalipa makomandoo. Afande Urio katoa ishahidivl ilikuwa waje kumuua ole Sabaya na kuleta taharuki nchini kwa kulipua sheli za Temeke na Oysterbay. Ingekuwa siyo Kamanda Jumanne na Afande Kingai kuwakamata makomando wakinywa mbege na machangudoa, wangemuua ole Sabaya na wangenyongwa na aliyewatuma angenyingwa. Ni msahama tu wa Mama ndiyo umemwokoa mbowe na magaidi wenziye kumbuka Judge alikuwa ametoa initial ruling ya CASE TO ANSWER. Hii yote inamhusuje Professor Juma hadi unamtukana nayo bila utafiti. Hayo msjengo unsysona majengo kwa sababu hijui tulikotoka. Njii hii tulishinda vita vya Kagera kwa kuongozwa na Police Marines kuvuka myo Kagera. Nenda kaine nyumba za Polisi wakati huo linganisha na leo. Angalia mahakama zilivyokuwa zamani li ganisha na leo. Wewe ni Kafiri, asiyeshukuru ni kafiri.
 
Unamlaumu bure Professor Juma. Muda wa kazi wa Professor Assad ulikuwa umekwisha. CAG ni ajira tu, nzuri na muhimu lakini ni ajira tu. Siyo muhimili. Assad alisahau miiko ya Wahasibu kutimbadmouth Client wako, alijitakia mwenyewe. La Mbowe ni bahati kubwa (kwa Mbowe), angenyongwa. Mtu wa tigopesa alithibitisha mbowe kawalipa makomandoo. Afande Urio katoa ishahidivl ilikuwa waje kumuua ole Sabaya na kuleta taharuki nchini kwa kulipua sheli za Temeke na Oysterbay. Ingekuwa siyo Kamanda Jumanne na Afande Kingai kuwakamata makomando wakinywa mbege na machangudoa, wangemuua ole Sabaya na wangenyongwa na aliyewatuma angenyingwa. Ni msahama tu wa Mama ndiyo umemwokoa mbowe na magaidi wenziye kumbuka Judge alikuwa ametoa initial ruling ya CASE TO ANSWER. Hii yote inamhusuje Professor Juma hadi unamtukana nayo bila utafiti. Hayo msjengo unsysona majengo kwa sababu hijui tulikotoka. Njii hii tulishinda vita vya Kagera kwa kuongozwa na Police Marines kuvuka myo Kagera. Nenda kaine nyumba za Polisi wakati huo linganisha na leo. Angalia mahakama zilivyokuwa zamani li ganisha na leo. Wewe ni Kafiri, asiyeshukuru ni kafiri.

Crap.

Hata kama siyo mwanasheria au huna upeo mkubwa, unashindwa hata kusikia tu? Hata kuandika tu sentensi ya Kiswahili iliyonyooka, ni tatizo. Sijui shida ni elimu duni au uwezo wa kuelewa!!

Hukumu ya mahakama kuu juu ya kesi aliyofungua Zito juu ya ukiukwaji wa sheria katika kumwondoa Assad kwenye nafasi aliyokuwa akiishikilia wakati anaondolewa, inasemaje? Maana yawezekana tukawa tunabishana na watu ambao pengine kwa bahati mbaya wana ulemavu wa kutosikia au kutokumbuka!
 
Umeandika takataka tu hapa za kutishia watu wewe MATAGA mwenye roho nyeusi kama chungu
Hivi mbachokitafuta ni nini nchi hii mpaka sasa?

Mauaji ya kimbari au watu waliowaweka kijiweni wauwawe au nini??

Kila siku kumamayo zenu nyinyi,ni kuendekeza visasi tuuu!

Hivi mbajua kwamba kama likitiuka,hata hizo simu mnatumia kuandika ujinga wenu hamtaoata nafasi ya kubofya tena!

Halafu mbasahau kwamba kila uongozi una ukomo?

Kwamba 8ko siku watarudi wengine,nao wakaamua kudeal na nyinyi itakuwaje m* wa nyie??
 
Matajiri wawili waligombana hadharani. Mmoja anamwomba mwenzie amfanyie hisani amtoe kwenye mkataba, mwenzie kakomaa anamuambia fuata masharti ya kutoka kwenye mkataba.

Kwa sababu wale matajiri wawili wote bahati mbaya hawana upeo mzuri wa civic education, or any education period, walikuwa katika mabishano yao wanatishiana nani anamjua nani serikalini, sio nani anajua mahakama ziko mtaa gani na anajuana na wanasheria wangapi.

Basi kweli bana, mmoja akashuka uwanja wa ndege D'Salaam amevaa makoti mazito ya baridi la Antarctica, akachukua maiki akalihutubia taifa, bila aibu akasema kesi imeamuliwa na Rais kwa simu kwa waziri mwenye dhamana ya biashara zao na vyombo vya dola idara ya customs wanaodhibiti binadamu kutoka na kuingia nchini. Hukumu ilisema mmoja hatatoka nchi hii milele mpaka amuachie mwenzake atoke mkatabani.

Kama mdau wa Sheria moyoni nikaona hii ni aibu kwa Jaji Juma na mahakama zake. Kama luminaries wenye nguvu kuliko wote nchini hawawezi kupata haki mahakamani, wanazikimbia hawataki kuzisikia, sisi tusio na namba ya simu ya Rais tutazipata wapi ?????
 
I don't believe this!, thibitisha
Kitendo cha aliyekuwa CJ Augustino Ramadhani kugombea Urais kwenye mchujo wa Ccm muda mfupi tu baada ya kustaafu inathibitisha pasipo na shaka yoyote kwamba Maji Augustino Ramadhani alikuwa ni kama mzuri wa Ccm na alitudhihirishia hilo Kwa vitendo.

Ni Kwa vile tu Wabongo hawana kawaida ya kukomalia sensitive issues na kujikita kwenye mambo mepesi kama ya Dr Mwaka na wake zake, lakini hicho kitendo kulikuwa ni aibu kubwa Kwa mahakama na ndio sababu hata kwenye court of appeal ilipokaa full bench kesi ya mgombea binafsi ni Augustino Ramadhani aliyetumika kuipa favour Ccm na serikali yake ambao ndio hawataki kabisa kusikia swala la mgombea binafsi maana lina madhara makubwa Kwa Ccm.
 
Huyu hayupo salama, kuna siku tutamburuza mahakamani kujitu tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi ya umma.
 
Unamlaumu bure Professor Juma. Muda wa kazi wa Professor Assad ulikuwa umekwisha. CAG ni ajira tu, nzuri na muhimu lakini ni ajira tu. Siyo muhimili. Assad alisahau miiko ya Wahasibu kutimbadmouth Client wako, alijitakia mwenyewe. La Mbowe ni bahati kubwa (kwa Mbowe), angenyongwa. Mtu wa tigopesa alithibitisha mbowe kawalipa makomandoo. Afande Urio katoa ishahidivl ilikuwa waje kumuua ole Sabaya na kuleta taharuki nchini kwa kulipua sheli za Temeke na Oysterbay. Ingekuwa siyo Kamanda Jumanne na Afande Kingai kuwakamata makomando wakinywa mbege na machangudoa, wangemuua ole Sabaya na wangenyongwa na aliyewatuma angenyingwa. Ni msahama tu wa Mama ndiyo umemwokoa mbowe na magaidi wenziye kumbuka Judge alikuwa ametoa initial ruling ya CASE TO ANSWER. Hii yote inamhusuje Professor Juma hadi unamtukana nayo bila utafiti. Hayo msjengo unsysona majengo kwa sababu hijui tulikotoka. Njii hii tulishinda vita vya Kagera kwa kuongozwa na Police Marines kuvuka myo Kagera. Nenda kaine nyumba za Polisi wakati huo linganisha na leo. Angalia mahakama zilivyokuwa zamani li ganisha na leo. Wewe ni Kafiri, asiyeshukuru ni kafiri.
Rubbish.
 
Huyo biswalo kapewa ujaji na mama samia

Kama anajua alikuwa na makandokando ya wizi why kampa ujaji?

Si angempiga chini tu
Kuna watu ubongo wenu una kaswende, unapomuondoa DPP unampa Ujaji iko hivyo.

Na DPP mpya alipoingia ofisini akaagizwa na mama watu wote walioporwa pesa zao warudishiwe, ndio DPP mpya alipoanza kazi ya kuzitrace pesa ili walioporwa warudishiwe pesa zao ndio anakuja kugunduwa huu ujambazi wa Magufuli na majizi wenzake kina Biswalo kufunguwa offshore account China.

Umeelewa wewe tutusa?
 
Tusimlaum JUMA professor, Jiwe alielekea kumtisha hata MUNGU
 
Hivi mbachokitafuta ni nini nchi hii mpaka sasa?

Mauaji ya kimbari au watu waliowaweka kijiweni wauwawe au nini??

Kila siku kumamayo zenu nyinyi,ni kuendekeza visasi tuuu!

Hivi mbajua kwamba kama likitiuka,hata hizo simu mnatumia kuandika ujinga wenu hamtaoata nafasi ya kubofya tena!

Halafu mbasahau kwamba kila uongozi una ukomo?

Kwamba 8ko siku watarudi wengine,nao wakaamua kudeal na nyinyi itakuwaje m* wa nyie??
Umeandika nini wewe! [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kuna watu ubongo wenu una kaswende, unapomuondoa DPP unampa Ujaji iko hivyo.

Na DPP mpya alipoingia ofisini akaagizwa na mama watu wote walioporwa pesa zao warudishiwe, ndio DPP mpya alipoanza kazi ya kuzitrace pesa ili walioporwa warudishiwe pesa zao ndio anakuja kugunduwa huu ujambazi wa Magufuli na majizi wenzake kina Biswalo kufunguwa offshore account China.

Umeelewa wewe tutusa?

Ww ndio kilaza ambae hujui hata mfumo ukoje

Unaongea story za vijiweni tu

Maamuzi ya kumpa ujaji ni ya rais kama angeamua asingempa

Mbona bashiru katoka kuwa katibu mkuu kiongozi mpaka Mbunge wa kawaida?

Mbona hakumpa ubalozi?


Poyoyo ww
 
Ww ndio kilaza ambae hujui hata mfumo ukoje

Unaongea story za vijiweni tu

Maamuzi ya kumpa ujaji ni ya rais kama angeamua asingempa

Mbona bashiru katoka kuwa katibu mkuu kiongozi mpaka Mbunge wa kawaida?

Mbona hakumpa ubalozi?


Poyoyo ww
Uteuzi wa Bashiru ni batili from first place, hujui lolote wewe zezeta.

Yule chizi wa Chato wala hakufuata utaratibu wa kumteuwa Katibu mkuu kiongozi.

Bashiru ni msomi PhD lakini hana sifa za post hiyo, hata mama kumuondowa na kumpa ubunge ni huruma yake tu.
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
Unatuchosha tu
 
Hivi mbachokitafuta ni nini nchi hii mpaka sasa?

Mauaji ya kimbari au watu waliowaweka kijiweni wauwawe au nini??

Kila siku kumamayo zenu nyinyi,ni kuendekeza visasi tuuu!

Hivi mbajua kwamba kama likitiuka,hata hizo simu mnatumia kuandika ujinga wenu hamtaoata nafasi ya kubofya tena!

Halafu mbasahau kwamba kila uongozi una ukomo?

Kwamba 8ko siku watarudi wengine,nao wakaamua kudeal na nyinyi itakuwaje m* wa nyie??
Mbona umekuja kwa jazba hivi?

Ukiona mtu anakimbilia kutukana ujue uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana.
 
Back
Top Bottom