Wakati wa uongozi Profesa Juma, Mahakama ilishindwa kusimama na wananchi dhidi ya udhalimu wa awamu ya 5

Wakati wa uongozi Profesa Juma, Mahakama ilishindwa kusimama na wananchi dhidi ya udhalimu wa awamu ya 5

Huyo Juma, kwa kweli ni aibu tupu. Hana cha kujivunia kwenye hiyo nafasi.

Huyu ndiye aliyeziagiza mahakama kuwa zitoe hukumu kwa kuangalia majukumu na malengo ya Serikali. Alishiriki vikao vya siri na viongozi wa CCM dhidi ya upinzani na dhidi ya Musa Assad, huku kwa unafiki akijifanya ni rafiki yake. Ndiye aliyefanya makubaliano na Jiwe, Assad atolewe kwenye nafasi yake, ndiye alishirikiana na Ndugi kumwomba Jiwe na wao wawe na kinga ya kutoshtakiwa ili wawe huru kutenda chochote hata kilicho kinyume na katiba na sheria za nchi bila ya kuwa na hofu ya kutokuja kushtakiwa.

Aondoke haraka sana.
Ovyo sn huyu Jaji
 
Huu muhimili wa mahakama ulikuwa compromised kabisa enzi za awamu ya 5.

Nadhani katiba mpya ni muhimu ili kuuokoa huu muhimili wenye Uhuru bandia tu.

econonist JokaKuu Pascal Mayalla
Tangu niwe na akili, kipindi cha huyu jamaa likuwa tatizo. Ukijulikana wewe ni mpinzani una ozea jela, hata kwa kesi zenye dhamana.
Mhimili wa mahakama iligeuka kuwa mhimili wa kupoka haki za watu. Muache aende, Mungu ata pambana nae kule mhimili alio kuwa ana usimamia uliko poka haki za watu.
Mfano kesi ya Sugu, kesi ya kubumba ya Mbowe, kesi ya Lema etc...
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
Jiwe
Ndugai
Ibrahim Juma
Biswalo Mganga

Hawa moto wao kuzimu umewashwa tayari, madhalimu wakubwa hawa
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
Tukubali hakuna hakimu/haki mtanzania anayeweza kutoa haki kwa uadilifu mbele ya pesa
 
Unamlaumu bure Professor Juma. Muda wa kazi wa Professor Assad ulikuwa umekwisha. CAG ni ajira tu, nzuri na muhimu lakini ni ajira tu. Siyo muhimili. Assad alisahau miiko ya Wahasibu kutimbadmouth Client wako, alijitakia mwenyewe. La Mbowe ni bahati kubwa (kwa Mbowe), angenyongwa. Mtu wa tigopesa alithibitisha mbowe kawalipa makomandoo. Afande Urio katoa ishahidivl ilikuwa waje kumuua ole Sabaya na kuleta taharuki nchini kwa kulipua sheli za Temeke na Oysterbay. Ingekuwa siyo Kamanda Jumanne na Afande Kingai kuwakamata makomando wakinywa mbege na machangudoa, wangemuua ole Sabaya na wangenyongwa na aliyewatuma angenyingwa. Ni msahama tu wa Mama ndiyo umemwokoa mbowe na magaidi wenziye kumbuka Judge alikuwa ametoa initial ruling ya CASE TO ANSWER. Hii yote inamhusuje Professor Juma hadi unamtukana nayo bila utafiti. Hayo msjengo unsysona majengo kwa sababu hijui tulikotoka. Njii hii tulishinda vita vya Kagera kwa kuongozwa na Police Marines kuvuka myo Kagera. Nenda kaine nyumba za Polisi wakati huo linganisha na leo. Angalia mahakama zilivyokuwa zamani li ganisha na leo. Wewe ni Kafiri, asiyeshukuru ni kafiri.
Umempa ukweli mchungu kumeza!
 
Nchi hii salute yangu ni moja tu kwa wote waliowahi kuwa CJ,nayo ni kwa CJ Nyalali, huyu CJ he walk the talk, na mazingira kipindi kile yalikua magumu sana,mfumo wa Chama kimoja cha kisiasa, ila CJ Nyalali alihakikisha anasimamia haki na mahakama zili EARN RESPECT, huyu wa sasa ndio hopeless kabisa mlilia tumbo mkubwa, please go as sooner as possible
 
Jaji mkuu wa kwanza kuwa na kinga yakutoshtakiwa.ili halo mhimili anaoongoza ukiwategemeo la wananchi kupata haki.kinga ya Nini?!
 
Jaji mkuu +Buswalo +Bashite +Ndungai +Sabaya =Iddy Amin wa Chato
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
Wapinzani wengi walikuwa wanakutana na kisingizio cha "Hakimu/jaji yupo likizo"
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.

Bila katiba mpya wa aina ya akina Juma bado wapo wapo sana
 
Niliwahi kushauri humu, apart from whistleblowing, tusituhumu jambo lolote bila ushahidi, ili tusichafue bure watu!.

Kama udhaifu na uduni wa katiba yetu ulikuwepo wakati wote, kosa la Magufuli ni nini?. Kwani ndie aliyesababisha katiba duni?.

Ni lini tutaacha kumsema vibaya marehemu?. Lini tutamuacha Magufuli apumzike kwa amani?. Jee wajua saw hizi yuko peponi kwa baba yake?.
P
Kuna muda Unafanya watu tukose cha kujujibu zaidi ya kukutukana!.Unataka ushahidi wa CJ kuwa stooge na kibaraka wa JIWE?.
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
Jpm alihakikisha haki haiuzwi wala hainunuliwi mahakamani. Fisafi waliyozoea kudhulumu kwa kua wana uwezo kununua haki ndio saa hizi chini ya mama wamepata ujasiri kunyanyua vinywa vyao kusema walinyang'anywa mali zao.
Kwa upande mwingine wapo wale wanasheria na mahakimu na majaji walikua kwenye biashara ya kuuza haki. Ndio sasa chini ya mama nao wamepata ujasiri hadi kumuita jpm mwizi kwa kuwafilisi kile walichoiba kwa umma na kukirudisha kwa umma wa wananchi.
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
Unasungumzia mahakama zipi? Tanzania ata iwe awamu hipi huwezi kuwa na kesi na serikali tena kesi serious ukaishinda serikali! Hapo chini ni wamasai waloliondo waliondokewa majuzi tu hapa kwa nguvu kisa mwarabu na wametoka hapo kinyume na sheria kabisa na wakafungua kesi wameshindwa.

Bado kuna kesi ya Mbatia huko Court, Samia hamtaki Mbatia awe m/k wa NCCR japo njia iliyotumika kumuondoa ni haram ila kesi ilo mahakaman inapigwa danadana tu! Kwaiyo ukiingia kwenye mgogoro na serikali uo mgogoro Rais aujue vizur hushindi katika taifa ili.
_125410324_p0cdzsqc.jpg
310161318_5761924280538185_536315737567832811_n (1).jpg
 
Jpm alihakikisha haki haiuzwi wala hainunuliwi mahakamani. Fisafi waliyozoea kudhulumu kwa kua wana uwezo kununua haki ndio saa hizi chini ya mama wamepata ujasiri kunyanyua vinywa vyao kusema walinyang'anywa mali zao.
Kwa upande mwingine wapo wale wanasheria na mahakimu na majaji walikua kwenye biashara ya kuuza haki. Ndio sasa chini ya mama nao wamepata ujasiri hadi kumuita jpm mwizi kwa kuwafilisi kile walichoiba kwa umma na kukirudisha kwa umma wa wananchi.
Uongo
 
 
Hivi kweli kwa hekima na akili yako, Rais anayejua utawala anaweza kumteua mtu kuwa Kiongozi wa Utumishi Serikalini "Civil Service yote" bila kuwa mtumishi wa serikali kabla na akawa mkuu wa Makatibu Wakuu wote na mshauri mkuu wa Rais kwa mambo ya Serikali!? Wabunifu wangeweka mchezo wa kuigiza wa Serikali hiyo vizazi vya baadaye hawangeamini kuwa jambo hilo linawezekana kwa nchi ya watu wa karne hii. Lakini imetokea na bado kuna watu hawaoni ni kichekesho cha kutupwa wanaandika kusifu 'hekima hiyo ya utawala'!!

So deep sea wote ni mapoyoyo?

Ni ww ndio unajua Hilo jambo na unaakili zaidi ya kujua mambo kuliko team ya deep sea wote?

Mambo mengine uwe unawaza mara mbilimbili
 
Back
Top Bottom