Wakati wa Usajili Yanga ni kipindi cha kutengeneza Pesa kwa wajanja wachache

Wakati wa Usajili Yanga ni kipindi cha kutengeneza Pesa kwa wajanja wachache

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Club yangu ya Yanga nmekuwa nikiipenda toka mwaka 1980s wengi wakiwa wadogo ama hawajazaliwa.

Nikiwa mwanachama halali mpaka leo hii zaidi ya miaka 40. Naifahamu Yanga kiasi fulani ambacho kinanipa nafasi ya kusimamia ninachoamini pasipo kuyumba.

Nimekuwa mara nyingi nikisema Uhuni ambao unafanywa na baadhi ya viongozi wa GSM pasipo woga au kutetereka. Elimu yangu na kazi vinanisaidia niishi maisha ya kujiamini pasipo woga au kujipendekeza.

Ukweli ni kuwa wakati wa Usajili Yanga Hersi na Watu wake ni kipindi cha kutengeneza pesa sana na baadhi ya waandishi na wachambuzi hiki ni kipindi ambacho hupewa pesa sana kuandika habari za uzushi/ uongo kwa faida ya Yanga.

Tumeshuhudia misimu miwili sasa Yanga ikikaribia kuvunja team kila msimu unapoanza. Na maneno mengi ya kupamba toka kwa waandishi, wachambuzi kuisifia lakini uwanjani ligi inapoanza hamna kitu

Team bora huboresha kikosi chake kitaalamu na si kila mwaka kuanza na kipya. Mbaya zaidi ni uongo uongo unaofanyika kupitia vyombo vya habari. Tunajua kwa kununua wachezaji kuna asilimia kadhaa watu fulani hupata kama Udalali.

Miaka ya nyuma Simba akina Kaborou na Aveva walikuwa wanafanya hivi. Sasa imebaki Yanga kuendelea na ghilba kwa wanachama na wapenzi wa Yanga.

GSM nawashauri muendeshe team kisasa kwa ukweli na uwazi.
 
Angalau wewe umeshtuka mkuu

Ukweli yanga timu yangu inaishi kizaman sana na wanachama wake nao s watu wa fikra pevu

Mchezaji hajawahi kumuona kaka gazeti utasikia HUYO SARPONG NI HATARI

FISTON ABDURAZAK MTAMBO WA MAGOLI WATUA

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tunaomba atoke GSM uingie wewe tafadhali
Ikiwa umesimama kwa muda mrefu halafu mwanaume akakwambia akupakate upumzike kidogo ukakubali ukiwa umepakatwa akaanza kukuingizia kitu sehemu zako za nyuma.na wewe ukanyamaza tu kwa kuwa amekusaidia kukupakata utakuwa mpumbavu na unapenda kufanywa hivyo. Usizoee sana hayo mambo.
 
Angalau wewe umeshtuka mkuu

Ukweli yanga timu yangu inaishi kizaman Sana na wanachama wake nao s watu wa fikra pevu

Mchezaji hajawah kumuona kakn gazeti utasikia HUYO SARPONG NI HATARI

FISTON ABDURAZAK MTAMBO WA MAGOLI WATUA



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Afu watani zangu mmenishangaza sana. Mnamwachaje golikipa mahari kama Shikalo?
 
Kwa level iliyopo Yanga sasa hivi, inachokifanya ni sahihi.

Watanzania lazima tuanze kuuelewa mpira wa biashara.
 
Huyo kaburu na aveva sasa hv wananyea debe
 
GSM wenyewe ni wajasiriamali, wako Yanga kutengeneza pesa huku wakiwa wameshawalipa watangazaji uchwara wa blogs na radio kuwasifia kwa kila utapeli watakaoufanya.

Timu gani inasajili karibia nusu ya kikosi cha kwanza kila msimu? mashabiki hata hawajiulizi, wao wanashangilia tu.
 
Ikiwa umesimama kwa muda mrefu halafu mwanaume akakwambia akupakate upumzike kidogo ukakubali ukiwa umepakatwa akaanza kukuingizia kitu sehemu zako za nyuma.na wewe ukanyamaza tu kwa kuwa amekusaidia kukupakata utakuwa mpumbavu na unapenda kufanywa hivyo. Usizoee sana hayo mambo.
Watu dhaifu daima hawajibu hoja
 
GSM wenyewe ni wajasiriamali, wako Yanga kutengeneza pesa huku wakiwa wameshawalipa watangazaji uchwara wa blogs na radio kuwasifia kwa kila utapeli watakaoufanya.

Timu gani inasajili karibia nusu ya kikosi cha kwanza kila msimu? mashabiki hata hawajiulizi, wao wanashangilia tu.
Kwa Yanga hii, washindani wetu ni akina Ahly, Zamaleki na level za Mamelody.
 
Metacha alikuwa wa kwanza kupewa barua ya mkataba kuisha.
Ndio maana niliona ingekuwa busara huyo mgeni angeungana na Shikalo...

Anyway nimevamia mambo ambayo hayanihusu...
.
Kila la kheri watani...
 
Afu watani zangu mmenishangaza sana. Mnamwachaje golikipa mahari kama Shikalo?
Ana makosa mengi ya kiufundi hasa mipira ya krosi,angekua local player sawa ila ni wa nje na kocha kampoint yule mmali ikawa haina jinsi,kama unafuatilia ligi yetu kiwango cha shikalo ni sawa na makipa wetu wa ndani
 
Wanachama wa Yanga wa muda mrefu kama wewe ndo wanazijua hizi timu zetu kubwa vizuri,ila hiki kizazi cha dot com awajui kitu,ubishi tu.
 
Back
Top Bottom