cumbamalema
JF-Expert Member
- Sep 4, 2024
- 366
- 820
Jamani sina mengi sana nimemkumbuka Rais wangu Ally Hassan Mwinyi, Mungu amjalie pepo ya filidausi, kweli sisi sote ni mashahidi wake na amani iwe juu yake mpaka siku ya kufufuliwa kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara hii mshabadili gia. Maana mwanzoni mlikua na wimbo wa wanaoingia masjid ni watu wa haki hawauwi ovyo wala kuteka leo mshaanza kutaja majina na kujitenganisha kiutawala aiseee
Kuna mwandishi wa habari anaitwa Stan Katabalo....nadhani aliibua ile kashfa ya Loliondo...sina uhakika sana ni wakati wa mwinyi au mwanzoni mwa mkapa.Jamani sina mengi sana nimemkumbuka Rais wangu Ally Hassan Mwinyi, Mungu amjalie pepo ya filidausi, kweli sisi sote ni mashahidi wake na amani iwe juu yake mpaka siku ya kufufuliwa kwake
Kuna muandishi wa habari Stan Katabaro, na mkemia wa kupima vyakula kama vinafaa au havifai Kwa matumizi ya BinadamuJamani sina mengi sana nimemkumbuka Rais wangu Ally Hassan Mwinyi, Mungu amjalie pepo ya filidausi, kweli sisi sote ni mashahidi wake na amani iwe juu yake mpaka siku ya kufufuliwa kwake
Kuna mkemia mkuu wakati wa Mwinyi alikufa akiwa na report ya uchunguzi wa chakula kilichoingizwa na baba ake Mo.Jamani sina mengi sana nimemkumbuka Rais wangu Ally Hassan Mwinyi, Mungu amjalie pepo ya filidausi, kweli sisi sote ni mashahidi wake na amani iwe juu yake mpaka siku ya kufufuliwa kwake
Hakuna awamu ambayo ipo bila mishe mishe zake.Kuna mkemia mkuu wakati wa Mwinyi alikufa akiwa na report ya uchunguzi wa chakula kilichoingizwa na baba ake Mo.
Sisi tunafata haki, atuangalii Dini ya mtu, kwani hakuna Dini inayoruhusu kuuwa mtuMara hii mshabadili gia. Maana mwanzoni mlikua na wimbo wa wanaoingia masjid ni watu wa haki hawauwi ovyo wala kuteka leo mshaanza kutaja majina na kujitenganisha kiutawala aiseee
Vipi issue za nguruwe za magomeni? Au ulikuwa mtoto mdogo?Mimi naamini yule Mzee wa watu hakuwahi kuwa na tone la damu mikononi mwake, hata kwa kuongea tu hakuwa kumfokea mtu au kujimwambafai, kweli alikuwa na hofu ya Mungu
Kwa kweli kwa Mzee Mwinyi hapana,anahistoria ya kutukukaUsijidanganye wote wale wale tu.
Mfumo haufi Kama wanavyokufa watu.Kwa kweli kwa Mzee Mwinyi hapana,anahistoria ya kutukuka
Una point ila uovu wa mtu haupimwi machoni wala kile anaongea. Hata mchawi huwa anakaa siti za mbele kanisani na mstari wa mbele msikitiniMimi naamini yule Mzee wa watu hakuwahi kuwa na tone la damu mikononi mwake, hata kwa kuongea tu hakuwa kumfokea mtu au kujimwambafai, kweli alikuwa na hofu ya Mungu
Kawaulize msikiti wa Magomeni issue ya nguruwe!Kwa kweli kwa Mzee Mwinyi hapana,anahistoria ya kutukuka
Alisema anayetaka kula nguruwe ale, na asiyetaka aache, ingawa kuna vitu vingine Rais hahusiki moja kwa mojaVipi issue za nguruwe za magomeni? Au ulikuwa mtoto mdogo?
Kama kuhusika sijui, Ila kama matukio ya watu kutekwa na kuuliwa basi yalikuwepo mengi tu mfano ni Stan katabalo na yule mkemiaKwa kweli kwa Mzee Mwinyi hapana,anahistoria ya kutukuka
Walitukana mkunga na uzazi ungalipoMara hii mshabadili gia. Maana mwanzoni mlikua na wimbo wa wanaoingia masjid ni watu wa haki hawauwi ovyo wala kuteka leo mshaanza kutaja majina na kujitenganisha kiutawala aiseee