pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Kwamba aliua nguruwe au?Vipi issue za nguruwe za magomeni? Au ulikuwa mtoto mdogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba aliua nguruwe au?Vipi issue za nguruwe za magomeni? Au ulikuwa mtoto mdogo?
Na mama mwenyewe hii mambo anasema dramaNi watu wa amani sana ila hapa Kuna Genge la wagalatia wanataka kumchafua mama tena walivyo wasengerema wakakatiza maisha ya Mzee wa Kiislamu
Saizi kagundua haikuwa dramaNa mama mwenyewe hii mambo anasema drama
yes wakati wakeKuna mwandishi wa habari anaitwa Stan Katabalo....nadhani aliibua ile kashfa ya Loliondo...sina uhakika sana ni wakati wa mwinyi au mwanzoni mwa mkapa.
Naona ulikuwa mtoto mdogo hata issue ya nguruwe huijui!Kwamba aliua nguruwe au?
Sijui una umri gani lakini wengine wetu tuliokuwepo hadi leo bado tunateseka kwa yaliyotukuta wakati wake. Ngoja tu niachie hapo.Mimi naamini yule Mzee wa watu hakuwahi kuwa na tone la damu mikononi mwake, hata kwa kuongea tu hakuwa kumfokea mtu au kujimwambafai, kweli alikuwa na hofu ya Mungu
Loliondo, ni kikwete mzeeKuna mwandishi wa habari anaitwa Stan Katabalo....nadhani aliibua ile kashfa ya Loliondo...sina uhakika sana ni wakati wa mwinyi au mwanzoni mwa mkapa.
Hujajibu swali badoNaona ulikuwa mtoto mdogo hata issue ya nguruwe huijui!
Duuh! Kumbe Mo naye ukoo wake una masahibu na madhira? Ama kweli hakuna utajiri wa halaliKuna mkemia mkuu wakati wa Mwinyi alikufa akiwa na report ya uchunguzi wa chakula kilichoingizwa na baba ake Mo.
Mkiambiwa ninyi vitoto vya juzi hamjui chochote ndani ya taifa mnakaza shingo. JF utaipenda kwa kutunza kumbukumbu, hebu ingia hapa...Loliondo, ni kikwete mzee
Wewe umechanganyikiwa, nimemjibu huyo kuhusu Babu wa Loliondo .Mkiambiwa ninyi vitoto vya juzi hamjui chochote ndani ya taifa mnakaza shingo. JF utaipenda kwa kutunza kumbukumbu, hebu ingia hapa...
Nani kachanganyikiwa? Uliyemjibu aliandika hivi...Wewe umechanganyikiwa, nimemjibu huyo kuhusu Babu wa Loliondo .
Na wewe ukajibu hivi...Zimmermann said:Kuna mwandishi wa habari anaitwa Stan Katabalo....nadhani aliibua ile kashfa ya Loliondo...sina uhakika sana ni wakati wa mwinyi au mwanzoni mwa mkapa.
Swali, je unaijua historia ya mwandishi Stan Katabalo kwa iliyojulikana kama Kashfa ya Loliondo Gate?Ibn Unuq said:Loliondo, ni kikwete mzee
Sasa tatizo liko wapi , huyo alie reply hakuongeza hyo Gate mwishoni .. kashfa za Loliondo ziko nyingi .Nani kachanganyikiwa? Uliyemjibu aliandika hivi...
Na wewe ukajibu hivi...
Swali, je unaijua historia ya mwandishi Stan Katabalo kwa iliyojulikana kama Kashfa ya Loliondo Gate?
Labda akitekwa prince Abdully ndio itaacha kuwa Drama.Kwangu mimi kutoa kwao matamko kuna nguvu sana, kumbuka mara ya kwanza mama alisema kutekana ni drama, sasa hivi ndiyo anazinduka kutoka usingizini, kwa nini tusiseme anahusika
Sasa Stan Katabalo na Kikwete wapi na wapi. Chutama ndugu yangu ulibugi step!Sasa tatizo liko wapi , huyo alie reply hakuongeza hyo Gate mwishoni .. kashfa za Loliondo ziko nyingi .
😆😆😆Sasa Stan Katabalo na Kikwete wapi na wapi. Chutama ndugu yangu ulibugi step!