Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Maraisi huwa hawahusiki, ni basi tu watu huwahusisha.Alisema anayetaka kula nguruwe ale, na asiyetaka aache, ingawa kuna vitu vingine Rais hahusiki moja kwa moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maraisi huwa hawahusiki, ni basi tu watu huwahusisha.Alisema anayetaka kula nguruwe ale, na asiyetaka aache, ingawa kuna vitu vingine Rais hahusiki moja kwa moja
Kwangu mimi kutoa kwao matamko kuna nguvu sana, kumbuka mara ya kwanza mama alisema kutekana ni drama, sasa hivi ndiyo anazinduka kutoka usingizini, kwa nini tusiseme anahusikaMaraisi huwa hawahusiki, ni basi tu watu huwahusisha.
unategemea ukiteka na kuuwa ndiyo utaogopwa, kama unaendesha inchi sivyo?Walitukana mkunga na uzazi ungalipo
Stupidity at it's height,hujui hata unataka kusema nini.Mara hii mshabadili gia. Maana mwanzoni mlikua na wimbo wa wanaoingia masjid ni watu wa haki hawauwi ovyo wala kuteka leo mshaanza kutaja majina na kujitenganisha kiutawala aiseee
Utaishi milele ndugu yetuKile KIBWAGIZO CHENU UCHWARA cha MAMA ANAUPIGA MWINGI kimeishia wapi?
Ati MAMA ANAUPIGA MWINGI mpaka unatoboka, tulieni hapo hapo dawa iwaingie.
"Mama yuko kazini", acheni awapasue ugoko.
Stupidity at it's height,hujui hata unataka kusema nini.
Ignoramus baboon. Nyoko
Sikumbuki, ila kulikuwa na namna yake. Usimsahau kijana James Mbatiya, wakati huo Year 2 BSc Engineering BAVICHA, alimtukana Mwinyi matusi ya nguoni kamuunganisha na familia yake (Mzee wetu Mwinyi alikuwa na Wake wawili), walimchora vibaya ukutani chooni na Nkrumah Hall. Wala hawakujificha, walipojingeza walifukuzwa wote. Tangu pale Mbatiya ana laana ya Marehemu kila aendako hatulii. Miaka yake ya mwishomwisho, Rais Kikwete alimteua Mbunge (si kawaida, lakini hiyo ndiyo CCM, huyo ndiyo Kikwete): huko nako akavulunda wenziye wakamfukuzilia mbali siku karudi home CHADEMA ila hana hili wala lile. Ni laana ya wazee badala ya kutekwa lakini kweli ni kuwa asiyefunzwa na Babaye hufunzwa na ulimwengu.Jamani sina mengi sana nimemkumbuka Rais wangu Ally Hassan Mwinyi, Mungu amjalie pepo ya filidausi, kweli sisi sote ni mashahidi wake na amani iwe juu yake mpaka siku ya kufufuliwa kwake
Nimekutekea nani huko tena?unategemea ukiteka na kuuwa ndiyo utaogopwa, kama unaendesha inchi sivyo?
Ilikua mwaka 1993 kipindi cha Mwinyi.Kuna mwandishi wa habari anaitwa Stan Katabalo....nadhani aliibua ile kashfa ya Loliondo...sina uhakika sana ni wakati wa mwinyi au mwanzoni mwa mkapa.
Ni watu wa amani sana ila hapa Kuna Genge la wagalatia wanataka kumchafua mama tena walivyo wasengerema wakakatiza maisha ya Mzee wa KiislamuMara hii mshabadili gia. Maana mwanzoni mlikua na wimbo wa wanaoingia masjid ni watu wa haki hawauwi ovyo wala kuteka leo mshaanza kutaja majina na kujitenganisha kiutawala aiseee
Ni watu wa amani sana ila hapa Kuna Genge la wagalatia wanataka kumchafua mama tena walivyo wasengerema wakakatiza maisha ya Mzee wa Kiislamu
Kuna mauaji ya wakata miwa wa Kilombero. Kama ulikuwapo na huyajui basi kagua afya ya akili yako kwa daktariJamani sina mengi sana nimemkumbuka Rais wangu Ally Hassan Mwinyi, Mungu amjalie pepo ya filidausi, kweli sisi sote ni mashahidi wake na amani iwe juu yake mpaka siku ya kufufuliwa kwake
Dr Fupi nafikiriKuna mkemia mkuu wakati wa Mwinyi alikufa akiwa na report ya uchunguzi wa chakula kilichoingizwa na baba ake Mo.
Stan Katabalo- HIV AIDSStani katabalo
Mkemia mkuu
Gilman rutihinda
Ni James Mbatia na siyo Mbatiya.Halafu,alikuwa NCCR-Mageuzi na si CHADEMA.Sikumbuki, ila kulikuwa na namna yake. Usimsahau kijana James Mbatiya, wakati huo Year 2 BSc Engineering BAVICHA, alimtukana Mwinyi matusi ya nguoni kamuunganisha na familia yake (Mzee wetu Mwinyi alikuwa na Wake wawili), walimchora vibaya ukutani chooni na Nkrumah Hall. Wala hawakujificha, walipojingeza walifukuzwa wote. Tangu pale Mbatiya ana laana ya Marehemu kila aendako hatulii. Miaka yake ya mwishomwisho, Rais Kikwete alimteua Mbunge (si kawaida, lakini hiyo ndiyo CCM, huyo ndiyo Kikwete): huko nako akavulunda wenziye wakamfukuzilia mbali siku karudi home CHADEMA ila hana hili wala lile. Ni laana ya wazee badala ya kutekwa lakini kweli ni kuwa asiyefunzwa na Babaye hufunzwa na ulimwengu.
Jifunze kutofautisha: NCHI NA INCHI.unategemea ukiteka na kuuwa ndiyo utaogopwa, kama unaendesha inchi sivyo?