Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 717
- 666
Ulikuepo wakati wake?? Au ulikua unajitambua kama hivi leo??!Mimi naamini yule Mzee wa watu hakuwahi kuwa na tone la damu mikononi mwake, hata kwa kuongea tu hakuwa kumfokea mtu au kujimwambafai, kweli alikuwa na hofu ya Mungu
Ukijibu ntakutajia mambo yaliyotekea wakati wake