Maombi bila kazi, ni uchawi, hutapata kitu zaidi ya msongo tu,
Mchina hafanyi maombi, mchina anatumia vitu ambavyo tayari"Mungu"ameishawapa wanadamu,
Kwenye tekinilojia ya magari ya, umeme, Mchina kwenye soko anamiriki asilimia 60!, kijeshi, tekinilojia, anawatisha USA, na, umoja, wa, ulaya, China hakuna "tumsifu yesu kristo,wala bwana asifiwe,china wanatenda kama mfsno wa, Mungu!!
Kama huko Dar angalia utitiri wa makanisa na wachungaji, kila Kona wanahubiri kututatulia matatizo(tena ya kiuchumi)!
Vitendo ndio huleta tija,sio kuomba tu, cha ajabu unakuta jumapili wanawake kibao wapo kwa mwamposa ni kusali tu, kunywa maji,kupaka mafuta,kulamba chumvi!
Jtatu wapo kwa mchina wanatsfuta riziki, mchina mwenyewe,mwenye kiwanda, hamtaji Yesu! Ila anamuomba Mungu! Kwa vitendo, maana tayari kila kitu kipo!