Pre GE2025 Wakati wowote Godbless Lemma atatangaza na kuchukua fomu ya kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA ili kumkabili Hezekiah Wenje ambae ameshatangaza

Pre GE2025 Wakati wowote Godbless Lemma atatangaza na kuchukua fomu ya kugombea Makamu Mwenyekiti CHADEMA ili kumkabili Hezekiah Wenje ambae ameshatangaza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa afya ya demokrasia ni vyema kwa DALALI kupata mpinzani..Zama za kupita pasipo kushindana zimepitwa na Wakati..labda huko Chama Chakavu
 
Lema amesema mara nyingi kuwa baada yakachana uwenyekiti wa Kanda atabaki kuwa mwanachama wa kawaida tu
 
hivi Lema tangu aache kazi ya malori, halafu akaanza kuhubiri na baadae kutumbukia na kua addicted na kubeti, anaweza kufanya kazi nyingine kweli?

maana amepigika haswa sasahivi :pulpTRAVOLTA:
Wewe mzee wa kibaraka vp huyu yeye umepe jina gani?
 
Wajumbe kazi kwenu ni ama dalali ama mchungaji wa Mungu.
IMG-20241231-WA0200.jpg
Changamoto ilianzia hapa

1735661111501.jpeg
 
Hivi hakuna wanawake chadema wa kugombea uenyekiti na makamu mwenyekiti?
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Hivi hakuna wanawake chadema wa kugombea uenyekiti na makamu mwenyekiti?
hakuna ndiyo maana hakuna alie chukua fomu.

Devota Minja pekee nadhani ndie mwanamke pekee ambae ni mwenyekiti wa kanda ya kati mteule, alieshinda kwa kishindo uchaguzi wa ndani chadema mbele ya Lisu :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom