Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usishangae ndio akili za Lumumba hizo kakaWaondoke CUF masikini wawe CDM? Akili ya kuvukia barabara hii
Ukute na wewe ulipewa mkopo
Hata ivo ushasikia mbunge wa chadema kafika dau kwl?Chadema kufa sio leo wala kesho chadema ni taasisi nyuma yake tuko wengi ZAIDI ya asilimia 70% ya wa Tanzania.
Sajilini mkimaliza mseme.
Hela zenu Kwao zimefuata nini??Hivi hela zinazotumika ni zetu au za CCM?
Ukiangalia yanayotokea katika siasa za Tanzania utadhani yanayofanyika ni comedy. Hii nchi inaweza kuwa ni yakwanza Duniani kwa haya yanayotokea
Akigombea tena CCM ataishia kwenye Kura Za maoniTaarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.
Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.
Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.
Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.
Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli
View attachment 643078
Kabisa! Mimi mwaka 2010 nilipogombea ubunge hiyo ilikuwapo. Kwamba mtu aliyetoka ccm akaenda upinzani kisha ajarudi kata jina hata kama atashinda kura za maoni. Nsijua hiyo siri...Akigombea tena CCM ataishia kwenye Kura Za maoni
Jipe faraja nyuma ya keyboard yako ya tecno y3 mtaelewa tu.Chadema kufa sio leo wala kesho chadema ni taasisi nyuma yake tuko wengi ZAIDI ya asilimia 70% ya wa Tanzania.
Sajilini mkimaliza mseme.
Ni kweli, CCM wameshawagonga Cuf, Chadema wakifanikiwa kukwepa dhoruba hii basi wataibuka wakiwa wapya na wenye nguvu zaidi.upinzani upo njiapanda
..hivi ukiwa nyuma ya keyboard ya computer yako zile nobs za keyboard nazo huwa unaziona kuwa ni wananchama wenzako? Pole wajameni.Chadema kufa sio leo wala kesho chadema ni taasisi nyuma yake tuko wengi ZAIDI ya asilimia 70% ya wa Tanzania.
Sajilini mkimaliza mseme.
Kuishi bongo ni kwasababu hatuna pa kwenda
Ifikie mahali wananchi tupewe meno ya kuwaburuza mahakamani watu ambao wanaliingiza Taifa kwenye upotevu wa fedha bila uchungu wakati wapo watoto wanakosa huduma muhimu kwa ukosefu wa fedha hambozo zinapelekwa kwenye marudio ya uchaguzi!
ukifuatilia mienendo ya vyama vya upinzani utagundua kuwa kila chama cha upinzani kikifika kwenye peak hushuka kwa kasi ya ajabu mfanoChadema kufa sio leo wala kesho chadema ni taasisi nyuma yake tuko wengi ZAIDI ya asilimia 70% ya wa Tanzania.
Sajilini mkimaliza mseme.