StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Kuhoji ili kutaka kuujua ukweli unaita 'chuki'?U
Upo nje ya mada kabisa, hizi ni chuki za wazi wazi
Tafadhali husika na mada tajwa, sasa na mimi nikiongelea humu kuhusu CCM itakuwa sawa ?K
Kuhoji ili kutaka kuujua ukweli unaita 'chuki'?
Hao wamekuja miaka 600 baadae hakuna kitu wanajua na story za kuunga unga tu.Kule Makha Bikira Maria anajulikana kwa Majina haya👇🏽👇🏽👇🏽
Maryam
مَرْيَم
MaryTitle al-Qānitah (the Woman who submits to God)
al-Sājidah (the Woman who prostrates to God)
al-Rāki’ah (the Woman who bows to God)
al-Ṣa’ima (the Woman who fasts)
al-Ṭāhirah (the Purified)
al-Ṣiddīqah (the Truthful)
al-Mustafia (the Chosen)
Yani bila eucharist hakuna kanisa. Katoliki ndio kanisa la Mungu.kwa bahati nzuri, niujue au nisiujue ukatoliki haiongezi thamani yeyote ya maisha yangu, ila nikiujua ukristo halisi, ule wa Kitabu cha matendo ya mitume (ambao wakatoliki wako mbali nao kabisa) hapo ndio ningefaidika. kwa kukusaidia, mfano wa kukusaidie iwe ni kanisa la kwanza, lile limeandikwa kitabu cha matendo. JIfunze kwa Petro, YOhana, Mathayo, Marko, Paulo, stephano, filipo na wengine. usiangalie jengo, angalia theme ya ukristo wa kwanza ungekuwaje. kwa sababu kama ni jengo najua utakuja na hoja kwamba st.Peter pale vatican ilijengwa na aidha Petro au Paulo kwa hiyo kwa sababu mabaki ya jengo bado yapo basi katoliki ni kanisa la kwanza. mnajidanganya na kujilisha upepo. wakatoliki sio wakristo kabisa, kwa sababu zifuatazo ambazo ndio character halisi ya Mkristo.
1. Wakatoliki (sambamba na wasabato) hawaamini kuokoka. Lakini Yesu alikuja kuleta wokovu. ukisoma MATENDO 2:47 SUV ... wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa. KUMBE, kanisa la kwanza watu walikuwa wakiokolewa, ila wakatoliki hamuokoki, mnaabudu dini.
2. Kanisa la kwanza lilijawa na Nguvu za Roho Mtakatifu. kanisa katoliki wanapinga ujazo wa Roho Mtakatifu. ukisoma Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. ukisoma pia MATENDO 19:3-6 3 Akawauliza, Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani? Wakasema, Kwa ubatizo wa Yohana. 4 Paulo akasema, Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja nyuma yake, yaani, Yesu. 5 Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu. 6 Na Paulo, alipokwisha kuweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao; wakaanza kunena kwa lugha, na kutabiri.
3. WAKATOLIKI wanaomba kwa bikira maria na wafu. Yesu aliseme yeye peke yake ndiye njia kweli na uzima, na tukiomba tupitie JIna lake tu ndio maombi yetu yatafika.
4. Kanisa la kwanza, waliombea wagonjwa na wenye shida wakapona. Kanisa katoliki na hata wasabato, hata pepo tu hawawezi kuombea, kwa sababu hawana Nguvu za Mungu kufukuza pepo. kitu pekee ukiwaletea pepo watatoa sababu nyingi kujitetea na kuonyesha siku hizi sio za maombezi. (ijulikane, maombezi ninayoongelea hapa ni yale ya kitabu cha matendo ya mitume, sio haya maombezi ya manabii wa uongo na wauza maji na mafuta, matapeli wakubwa).
kuna mengi sana ambayo yananifanya niamini katoliki sio wakristo, kwa sababu hawana Kristo. mtu ataitwa Kristo kama akimpokea Kristo.
kwa sababu hizo na nyingi, kumfanya maria ni kitu chochote ni kujilisha upepo na kupoteza muda wakati shetani anakushtukiza akuchinje mwende wote motoni.
Ni kuwaombea tu Neema ya Mungu waifahamu kweli.Haswaa Mimi ni miongoni mwa watu ambao Yesu aliingilia Kati kuning'oa kutoka kwenye huo utumwa. Nafurahia Uhuru ndani ya Kristo lakini kwa upande mwingine nikitafakari namna watu walivyoshikwa 'masikio' furaha inaingia shubiri😭
Aliekudanganya ni nani?Bikra Maria alipalizwa mbinguni akiwa mzima bila kufa.
Ufunuo nje ya neno la Mungu ni shetani.Imani ni ufunuo kwa ajili ya watu fulani
Kama wakatoliki ndo wamefunuliwa hivyo na wewe hujafunuliwa bado hayo , basi yaache
Hata Neema ya ukristo tumefunuliwa wachache na ambao hawajafunuliwa hutuona sisi machizi kwahiyo usikonde
Mariam ni mama wa KRISTO YESU hivyo anaweza kweli kukuombea kwa mwanae amini Amin amin
Upagani.Wakatoliki wanaamini katika kanisa moja lenye muunganiko kiroho wa waliohai duniani, wafu walio toharani na Watakatifu walio mbinguni. Hawa watakatifu huwaombea walio hai na miongoni mwa watakatifu hao, Bikira Maria/Mariamu ni mwenye daraja ya juu. Maria alikufa kifo cha kawaida ila wanaamini hakuoza mwili kaburini, bali alipalizwa mbinguni. Fundisho la Maria kuwaombea watu limetokana na kisa katika Biblia ambapo Maria na Yesu walipokuwa katika harusi huko Kana, Maria aliwaombea watu divai na kwa kumtii mamaye Yesu alifanya muujiza wa kugeuza maji kuwa divai (Yohana 2: 1-25).
Kimsingi haya ni mambo ya kiimani hayambani mtu hasa asiye Mkatoliki. Kiimani, kama 'mtu' ambaye ni Mchungaji au Askofu anaweza 'kuombea' watu; sembuse Mama wa Yesu?
Ya Wakatoliki tuwaachie Wakatoliki.
Safi kwa swali zuri muda nitafafanua vyema ila nenda google kapate kidogo concept ya MARIOLOGY..Siku zote nimekuwa nikiwasikia wakatoliki katika sara zao wakimuomba bikra Maria, mama yake Yesu, awaombee. Hata katika nyimbo nyingi wanazotunga, wanamtaja bikra Maria na kumsihi awaombee kwa Yesu. Je, kwani huyu mama bado yu hai? Je, imani ya dini yao haihuruhusu muumini kumuomba Yesu moja kwa moja bila kupitia kwa mama yake?
View: https://www.youtube.com/watch?v=V9C1rqOJfxcHili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu bila majibu lakini nikaona leo nilete hili swali mbele ya wanazuoni wa masuala ya dini mliojaa hapa JF mnisaidie kutegua hiki kitendawili. Mtu yeyote anayefahamu hili suala kinagaubaga naomba anifahamishe nipate kuelewa.
Kwa uelewa wangu mdogo, nafahamu kuwa mtu pekee aliyekufa na kufufuka ni Yesu tu. Sasa huyu bikra Maria ina maana yeye hakufa? Kama bado yu hai yupo wapi? Tunaambiwa Yesu baada ya kufufuka alipaa mbinguni na ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Je, Maria yeye yu wapi? Au yeye ndiye ameketi mkono wa kushoto?
Maswali ni mengi lakini kwa kuwa humu JF kuna watu wenye uelewa mkubwa wa masuala ya dini, wakiwemo mapdre na maaskofu wa kanisa Katoliki mliomo humu, naomba mnifafanulie kuhusu hili jambo nipate kufunguka macho.
Asanteni sana.
Mungu ni mdhihaki wa kwanza wa imani za kishetani,Watu wa dini mnapaswa kutambua kitu kimoja usidhihaki imani ya mtu mwingine Mungu hapendi na hajakutuma kufanya hivyo.Mimi siwezi kumdhihaki maombi ya walokole najua kuna watu wameombewa na wachungaji wa kilokole na wakapona,hivyo hivyo kwa Lutheran,Sabato na mengineyo. Maria ni mtumishi wa Mungu na Mungu alimchagua kwa kusudi hilo ,Mungu hajakuita wewe kudharau watumishi wake,au kuwahukumu kwa namna yeyote ile,hata kwa wenzetu waislamu Mungu hajakutuma wewe kuwadhika au kuwasema .Sababu Mungu ni Mungu wa watu wote
Eti Yesu hakuwai kuita Mama, kwa Mama yake ? ulicho andika hapo ni pumba tuWaroman hawana majibu ya kimaandiko.
Maana maisha mazima ya uroman ni upagani.
Na waumini wanaburuzwa wakiangamuzwa kwakukosa maarifa.
MARIAMU si bikira tenaa baada ya kumzaa yesu, tena alizaa na mtoto mwingine kama yohana.
Mariamu ilimbidi akafunge nakuomba moaka siku ya pentekost ili apokee roho mtakatifu. Laa hata kuwepo mbinguni.
Mariamu hakutoa chembe yoyote ile kwenye utungaji wa mimba ya yesu
YESU kamwe hakuwahi kumuita mariamu mama maisha yake yote,alimuita mwanamke kwisha.
Biblia inasema hakuna wakukuombea utapeleka maombi yako mwenyewe mbele za Munguu.
Na ndio sababu ya pazia la hekalu kupasuka alipokata roho
Roman inaibada za kishetani za mapapa waliokufa,wakiisujudu mifupa yao nakuomba wawaombee
Mariamu yupo akisubiri ufufuo wa wafu siku ya mwisho.
Unaomba mtu ambae amelala kwa tumaini tu.
Wao wamemtoa roho mtakatifu wakaweka mariamu nafasi yake
Hivi unaombaje mariamu badala ya kuomba Mungu moja kwa moja.
Yesu alisema ombeni lolote kwa jina langu sio la mariamu
Kasome biblia yako ukiiona ilete hapa.Eti Yesu hakuwai kuita Mama, kwa Mama yake ? ulicho andika hapo ni pumba tu
Ulivyokuwa hujui kitu kwanza hujui Biblia ni nini, pili eti nisome kwa kingereza pia kana kwamba ndiyo lugha iliyoandikwa kwenye hivyo vitabuKasome biblia yako ukiiona ilete hapa.
Ninukuu.
Hutaipata na kabla hujaileta isome kingereza.
Mliitafsiri mkampa mariamu hadhi ambayo hastahili.
o aUlivyokuwa hujui kitu kwanza hujui Biblia ni nini, pili eti nisome kwa kingereza pia kana kwamba ndiyo lugha iliyoandikwa kwenye hivyo vitabu
Yesu aliwaajibu mama na ndugu zangu ni wanaolishika neno langu.Yesu alipokuwa anatufundisha namna ya kuomba hakutaja neno bikira Maria bali alisema ombeni lolote kwa jina langu na baba yangu wa mbinguni atafanya. Yesu ndiye daraja la kumuendea Mungu baba na wala sio bikira maria bali bikira Maria alipata neema ya kubeba mimba tu alitumika kama kibebeo. Kazi yake iliishia hapo. Kinachofanyika kwa wakatoliki ni mapokezi ya wanadamu yaani bikira Maria wanamfanya kama mungu mke wa kipindi kile kule Efeso aliyeitwa Aterm
Hii mambo ya lete andiko mnalitoa wapi, unafikiri tunafana Mimi na Wewe?Lete ilo andiko ambapo yesu amemuita mariamu mama.
Punguza maneno
o a