Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umeelewa alichokiandika?Na unaielewa katiba ya sasa inavyompa mamlaka makubwa Rais aliyepo madarakani kama hana akili kama "mimi ni dola"?Awe mbaguzi kwani atakuwa raisi kwa ajili ya kuongoza wasabato au watz?
Kwa akili zile atasema jmosi watu wasifanye kazi ni sabatoAwe mbaguzi kwani atakuwa raisi kwa ajili ya kuongoza wasabato au watz?
Muhimbili ni mali ya Anglican?Wanatazama uwiano wa kura sababu linawafuasi wengi ila imetosha zamu ya KKKT ama Anglican sasa
Marais wakatoliki wamekuwa wanalibeba sana dhehebu lao
Wanalipa maeneo makubwa ya ardhi kwa lazima
Ukiwa waziri wa ardhi wewe bishana nao kwenye ardhi huchukui muda utatoka
Pia wamekuwa wanawasapoti kwa vitu vingi mfano kwanini roma shule zake za seminari na vyuo aliachiwa?
Makanisa mengine mpaka leo hayajarudishiwa?
anglican walihangaika wee wakajikuta wanaambulia tu mazengo ambayo sasa ni St johns university
Ila chuo cha ualimu korogwe hosptal ya muhimbili msalato navingne serikali imegoma
Soma tena uelewe mkuuMaza ni mkatoriki ?
Msiwaseme kwa ubaya.Wana mazuri mengi tu.Kama kuimba kwaya kwa sauti nyororo.Hilo ni moja.Ongezea mkuu!πKweli kabisa..wasabato wanapenda kutukana wa dini nyingine.. wapuuzi Sana..
Uraisi ni taasisi yenye heshima yake.[emoji2][emoji2][emoji2] uko sahihi wakatoliki Wana mifumo straightforward na sio design za makanisa ya kina gwajima au mwamposa
Ni kweli na amewaharibia na wengine maana ikitokea mkkkt mwingne watu watajua ajenda yao ni ile ileNakumbuka lowasa wakati wa kampeni aliingia kanisani akadiriki kusema "na sisi wa kkkt ni zamu yetu" nikajisemea moyoni hapo kajimaliza mwenyewe
Mfano wako hauna uhalisia.Kitendo Cha kuwa protestants tu kinawapa udhaifu, yaani wapinzani wanatumia muda Mwingi kukilalamikia chama tawala kuliko kuimarisha chama chao, alafu wao wako makundi mengi, ACT, CUF CHADEMA, CHAUMA nk, the same kwa KKT, ANGLICAN, GWAJIBOY, UPAKO, MACKENZIE, nk
Utasikia wametuletea kwaya maalumu ya Ikulu kutoka usabatoniMsiwaseme kwa ubaya.Wana mazuri mengi tu.Kama kuimba kwaya kwa sauti nyororo.Hilo ni moja.Ongezea mkuu!π
Ulaya ya magharibi au iliyoendelea ukipenda asilimia kubwa ni protestants... na u protestant ndo ulikua chachu ya mabadiliko makubwa huko ulaya.Sasa inakuwaje dhehebu lao linachechemea duniani halina ushawishi kama Katoliki!?
BaotistKwani dhehebu dominant Marekani ni dhehebu gani!?
BakwataNa akiwa muislamu awe wa dhehebu gani!? Maana waislamu nao Wana madhehebu yao
Ni mibaraka sana kuwa na ndugu hao.ππUtasikia wametuletea kwaya maalumu ya Ikulu kutoka usabatoni
Hahahaha kwamba rais atawashawishi wtz wasile ili wafe wakamuone yesuUraisi ni taasisi yenye heshima yake.
Sasa umkute Raisi anasali kwenye makanisa ya mazingaumbwe ,mara wajifanye wanafufua watu, mara wanagawa sijui mafuta ya upako wanasali kwenye makanisa ya mabanzi na yaliozungishiwa uzio wa mabati au mapagara ya magorofa ambayo hayajaisha, si utamkuta raisi nae yupo kwenye mkumbo wa kufanya hadi kufa ili kumwona Mungu na kwa kuwa ni Raisi atawashawishi na watanzania wote? Makanisa yanamilikiwa na mume na mke?
Bwakwata si dhehebuBakwata