passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Sio kweli unachokisema.Kwangu miki wakatoliki wanapewa urais kwa sababu wao ndio waliosoma zaido hapa Tanzania kuliko madhehebu mengine. Miaka ya 50-60 shule za ukweli zilikuwa za wakatoliki hadi Mwl aliwanyang'anya mashule yao. Wakayoliki walinyang'nywa nyingi kwa sababu walikiwa nazo nyingi sana kila kona ya nchi. Uankuta wengi walisoma seminafi na mbeleni kubadilika. Nakumbuka hata jk alislma seminary. Na hata sasa kanisa linatoa huduma bora za elimu na afya kilankona ya nchi
Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji106]Kimsingi Ukristu ni ukatoliki. Hawa wengine waliona masharti magumu wskajitoa, wakawa wanaitwa " waprotestant" kama ingekuwa kwenye Uislam wangeitwa " murtad" hivyo wanafanya mambo mengi ambayo ni kinyume na ukristu na lawama zinakuja kwenye ukristu kumbe walishajitenga siku nyingi na kuanzisha taratibu zao ambazo Zina utofauti na Kanisa la mwanzo
SunniNa akiwa muislamu awe wa dhehebu gani!? Maana waislamu nao Wana madhehebu yao
Jibu ni rahisi sana. Elimu elimu elimu! Angalia mtandao wa chuo kikuu cha SAUT. Chuo kipo strategically ktk kila kanda ya Tanzania hii! Saut ipo Dar, Saut ipo Mwanza, Saut ipo Tabora, Saut ipo Iringa, Saut ipo Mtwara! Hivi mnawasikiaga hawa jamaa na yale majimbo makuu yao yapo wapi na wapi?Moja kwa moja kwenye mada,,,,Tangu tupate Uhuru linapokuja swala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki,,,Je,Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza!?
Najiuliza,je kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Wanaoweka viongozi wa juu kama Rais ni usalama wa Taifa.Moja kwa moja kwenye mada,,,,Tangu tupate Uhuru linapokuja swala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki,,,Je,Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza!?
Najiuliza,je kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Hapa sijaelewaMarais 5 wa Tanzania walikuwa wakatoliki kindakindaki.
1. Nyerere
2. Mwinyi
3. Mkapa
4. Kikwete
5. Magufuli the great
Huyu wasasa siyo.
Hutakiwi kuelewa ili udumishe amani.Hapa sijaelewa
Unatafuta uhalisia upi? Wakatoliki wako single unit wakiwa na well defined chain of command, waprotestants wako wengi huku kila upande ukiwa kivyake hivyo ni ngumu kuwa na nguvu ya pamoja vs RC. hujaelewa tena hapo?Mfano wako hauna uhalisia.
Au wale masalia waliotoka kwenda Iraq bila passport kuhubiri injiliA
Hahahaha kwamba rais atawashawishi wtz wasile ili wafe wakamuone yesu
Una uhakika Roma wameachiwa shule mkuuWanatazama uwiano wa kura sababu linawafuasi wengi ila imetosha zamu ya KKKT ama Anglican sasa
Marais wakatoliki wamekuwa wanalibeba sana dhehebu lao
Wanalipa maeneo makubwa ya ardhi kwa lazima
Ukiwa waziri wa ardhi wewe bishana nao kwenye ardhi huchukui muda utatoka
Pia wamekuwa wanawasapoti kwa vitu vingi mfano kwanini roma shule zake za seminari na vyuo aliachiwa?
Makanisa mengine mpaka leo hayajarudishiwa?
anglican walihangaika wee wakajikuta wanaambulia tu mazengo ambayo sasa ni St johns university
Ila chuo cha ualimu korogwe hosptal ya muhimbili msalato navingne serikali imegoma
Ni kwasababu madhehebu mengine hawajielewi elewi. Anaweza kuingia mfuasi wa Gwajima akaleta mambo yake ya misukule au mfuasi wa McKenzie akaambia watu wafunge mpaka kufa wakakutane na Yesu.Moja kwa moja kwenye mada,,,,Tangu tupate Uhuru linapokuja swala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki,,,Je,Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza!?
Najiuliza,je kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Coincidence tu !Pigia mstari na hakuna wa kuingilia
Nani alikwambia Wakatoliki ni Wakristo? Ndio maana Waislamu na Wakatoliki hawatofautiani. Mkatoliki hana madhara kwa Muislamu na kinyume chake. Hii pia ni MAAGANO ya wale Wachawi 5 (wakiiongozwa na Forojo Ganzel Master) waliotumwa na yule babu wa 1 wa hii nchi kule Bagamoyo waliokubaliana hizo dini 2 tu ndio ziongoze TZ. Lakini wanamaombi wanashughulika nazo punde itabadilikaRais akiwa mkristo ni lazma awe mkatoliki japo haipo kwenye katiba.
Mara mnasemaga kule wamejazwa mauvccm !! Sasa tuamini kipi ??!!Wanaoweka viongozi wa juu kama Rais ni usalama wa Taifa.
Baadhi ya usalama wa Taifa ni mapadre na wamo humo kwa kazi maalum.Maana hili kanisa lina mambo mengi mno yasiyo ya kikanisa.
Sasa fikiria kama wao ndio wanaweka Rais,akigombea mwingine wanao uwezo wa kumtengenezea scandal akachafuka na asikubaliwe.
Muhimbili palianzishwa na mvaa kobazi,get your facts rightWanatazama uwiano wa kura sababu linawafuasi wengi ila imetosha zamu ya KKKT ama Anglican sasa
Marais wakatoliki wamekuwa wanalibeba sana dhehebu lao
Wanalipa maeneo makubwa ya ardhi kwa lazima
Ukiwa waziri wa ardhi wewe bishana nao kwenye ardhi huchukui muda utatoka
Pia wamekuwa wanawasapoti kwa vitu vingi mfano kwanini roma shule zake za seminari na vyuo aliachiwa?
Makanisa mengine mpaka leo hayajarudishiwa?
anglican walihangaika wee wakajikuta wanaambulia tu mazengo ambayo sasa ni St johns university
Ila chuo cha ualimu korogwe hosptal ya muhimbili msalato navingne serikali imegoma
SijakuelewaNimemsomea mzee m1 hapa comment yako amepingana nawe na kusema kitu ambacho kina ukweli...
Mfano sisi yulipo shule nyingi za msingi zilikuwa za Katoliki, kwa huku utakuta kanisa Katoliki lilipo pembeni Kuna shule ya msingi, ila walinyang'anywa.
Shule ya Sekondari Weruweru haijarudishwa, Tosamaganga, nk