Wakatoliki, imekuaje kipindi cha Kwaresma mmefungisha ndoa ya Mrema?

mi niliona picha za GIGY MONEY akiwa ndan ya tinted na macho matatu pembeni mzee wa tLp

hata hawakukaa pozi la kikanisani

utazani wasanii PAPA YA MOBIMBA.

Sizani km ilikuwa ni ndoa ile.

kilaini alifafanue hili
Huku Sasa ni hoja nyingine mkuu🤣
 
Hapo hujadili hoja ila unaleta personal attack........jadili hoja mkuu na Kwa taarifa yako mm siyo mkatoriki ila nimeishi kwenye ukatoriki Kwa miaka kama 6 hivi...... kwahiyo usilete ujuaji sana mkuu
Hujaelewa nini mkuu? Hoja nimeijibu kwa kukwambia kwamba huo ni utaratibu tu ambao unaweza ukawekewa condition kwamba kama kuna jambo la dharula hasa la kiroho hata la kimwili, ndoa inafungwa tu. Mfano, labda wachumba wana safari ya pamoja wiki moja ijayo kwenda masomoni Iraq, na kwa mzingira halisi wangependa watoke wakiwa tayari wameshafunga ndoa, basi Askofu/Paroko akiona kuna logic anatoa kibali. Au kama wawili wamekuwa wakiishi pamoja bila ndoa na mmoja wao ni mgonjwa na asingependa afariki bila ya kufunga ndoa, basi kibali kinaweza kutolewa. Hiyo ni mifano tu, usiniquote!
 
Kwa mtazamo huu sawa mkuu
 
Katika dini za ulimwengu dini ya kikuristo hawanaga misimamo na hawako serious na Imani yao, unakuta mchugaji anahubili kua na ndoa moja huku anafungisha mtu ndoa ya tatu, au yeye mwenyewe ana wake zaidi ya wawili, some time naona kama hiyo dini ni fix tu.
 
Hakuna watu maarufu wanaopewa kipaumbele.

Hata wewe unaweza kufunga ndoa wakati wa Kwaresma kama utakuwa na sababu ya msingi ambayo padre au kiongozi wa Kanisa anayehusika ataona inafaa.

Tusipende kushutumu wakati hatuna maarifa na uelewa wa jambo husika.
 
Ishi maisha yako, Acha kuumiza kichwa kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…