Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

sio najionyesha najiepusha na mvua ya matusi hali ya kuwa wanaJF wanajadiliana mambo ya msingi...
Hakuna wa kukutakana, labda unajifanya descent tu ili uonekane bonge la mstaarabu, lakini huna lolote maana ni wa kawaida sana. Ww hata kukutukana ni kukupatia sifa usiyostahili.
 
Yaelekea wewe ni shoga lenye mapembe huko kwenye marinda ushaota sugu...[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa nini Mungu alishindwa kuwavumilia watu wa Sodoma na Gomora?

Kama Mungu ana vumilia ushoga, Kwa nini ali angamiza watu wa Sodoma na Gomora?

Kanisa lenu hilo la Romani, Ni la Mungu gani anaye vumilia ushoga?
- Kwanini hutaki mashoga wapewe sakramenti kama waumini wengine?
Kwa nini mashoga waanze kupewa hizo Sakramenti sasa hivi na sio tangu zamani?

Kwani mashoga wameanza kuwepo leo hii?


 

Akijibu nishtue nione majibu yake [emoji41]
 
Wakatoliki maji yamezidi unga.

Mnakuja na utetezi na ufafanuzi uchwara..[emoji1]

You are trying to redefine the term "Blessing" kwa kupachika pachika viji maneno uchwara.
Hayo ndiyo maneno yao mashoga wote duniani pale unapowainamisha unawala tigo wanavalagiza maneno mbele nyuma nyuma mbele.
Wacha tuwale tigo wanataka wenyewe mbwa hawa!! [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hivi kumbe kuna watu bado wanamtetea papa kwamba tumetafsiri vibaya!!!

Mtu yeyote anayefanya mambo ya kishoga hatakiwi kupewa favor ya namna yeyote huoni mungu aliangamiza sodoma. Mission ya kanisa imeshajulikana ulimwenguni kote hatuhitaji maelezo mengine.
 
Hakuna wa kukutakana, labda unajifanya descent tu ili uonekane bonge la mstaarabu, lakini huna lolote maana ni wa kawaida sana. Ww hata kukutukana ni kukupatia sifa usiyostahili.
nakukibali sana mkuu kwa ungwana wako kwa wasaa huu, aise ubarikiwe sana daima. Pamoja sana katika majadiliano ya hoja kistaarabu..
Tupendane ndugu zangu ila sio kishoga 🤣
 
Ni mjinga pekee anaweza kufananisha ulevi,uzinzi,uongo na wanaume kuingiliana wenyewe kwa wenyewe kupitia njia ya haja kubwa wakati Mungu aliyewaumba aliwawekea kiungo mahususi kwa mwanamke kwa shughuli hiyo.Hizo dhambi haziwezi kulingana kwa namna yoyote ile.Kitendo cha kanisa kujadili hilo ni makosa makubwa kwasababu mikama kumrekebisha Mungu kua alikosea kumuumba mwanamke.
 
Konde ni shamba, sasa unapoambiwa liendee shamba upendavyo maana yake panda mbegu yako utakavyo, yaani ni upande kwa style yeyote ili mradi mbegu iote na matunda yaonekane, sasa nyie endeleeni kufirana tu tuone kama mtazaa

NB
Quran haitafsiriwi tu kama mnavyodanganyana, kuijua Qur'an ni usomeshwe bwashee

Jipige kifua na useme mimi ni mpumbavu
 
Kasome vizuri huo mstari wa Mungu kuangamiza sodoma na gomora uone kama hakuonesha huruma alipoulizwa unataka kuwahukumu wote? katafute uone alijibu nini.

Tatizo lenu mnakariri maandiko pasipo kuyaelewa, mnakurupuka tu.

Kuamini Mungu ana kisirani kama wanadamu ni ujinga usio na mipaka.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkatoliki ninayoijua na kuiamini dini yangu vizuri. Siwezi kuyumbishwa wala kukwazishwa na mtu yeyote hata kama ni pope. Tuko wengi wa aina yangu
 
Vp kuhusu satanic verses?
 
We unajuaje Sodom na Gomorrah ni actual historical event na sio hekaya za wayahudi?
 
We demu wako hajawahi kukunyonya mboo .... hujawahi nyonya matiti ya demu wako...je Mungu aliumba viungo hivyo kutumika hivyo ...acheni unafki..unajudge wenzako kwa dhambi ambazo we hufanyi ila za kwako unasema "afadhali"
 
Anayefirana kwani kakuambia anataka kuzaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…