Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

- Wapi umeona kwenye ule waraka wa Vatican pameandikwa Kanisa Katoliki litabariki mashoga? tuwekee hapa tupaone, kisha nami nitakuwekea pale palipoandikwa Kanisa Katoliki litabariki mali za mashoga, sio mashoga kama ulivyopotosha hapa.

Hii ni sawa na kubariki mali za wengine wasiojulikana tabia na matendo yao, hakuna yeyote anayejulikana kama ni mzinzi sababu hufanyia sirini, mwizi hufanyia sirini, kujaribu kuwatenga mashoga kama vile wao pekee ndio wenye dhambi ni unafiki na ubinafsi, Papa hataki huu unafiki.


Mna upeo mdogo sana kifikra, na thinking yenu ni ya kijima sana wakati Kanisa Katoliki lilishatoka huko.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kwani siku za nyuma hawakuwa wakibariki mali za mashoga?
 
Imani inajengwa juu ya yesu kristo siyo mtu we mbumbumbi. Papa ni mtu na silazimiki kufata anachosema. Sema hizi dini zenu za mfukoni za akina mwamposa zimewaharibu sana manadhani kwamba dini ni ya mtu ni si ya yesu. Mmefikia hatua hata kumuabudu mtu as if akifa yeye na kanisa linakufa.kama lilivyo kanisa la tb Joshua kwa Sasa halipo
Pole mkuu najua inaaibisha sana sana 😢
 
It's not clear kwamba Sodom and Gomorrah wameangamizwa kwa sababu ya ushoga...makosa pale ni mengi mostly ikiwa lack of hospitality kwa wageni na mambo ya rape na Nini..ila ma pastor wa siku hizi wanasema ni ushoga ili kupush agenda zao
Ajenda gani hizo tajiri?
 
Kwa hiyo wanavyobariki vitu vya wezi, waongo na wazinzi huwa linabariki uzinzi na wizi?

Nyie bado sana.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hizo ni sababu za kuhalalisha hiyo dhambi. Ni hoja mfu za kutaka na Hilo kundi Kila mtu alitambue. Kama ni haki, wewe kama wewe litambue. Usitake Kila mtu Aishi Kwa uelewa wako wewe. Nimesema Mimi kama Mimi sikubaluani na hilo. Kubaliki vitu vya hao watu ni kuwapa kick. Leo unabariki kesho utakuja na kusema Kwan tukiwafungisha ndoa Kuna shida Gani. Kuishi na mwiz na kumfurahia huyo mwizi, unadhan atajutia kile anachokifanya?

Njian njema ni kua kama ilivyokua zamani. Kila mtu anakua anatambua kua mashoga na wezi, wazinzi n.k wapo. Ila hakuna kuruhusu vyama vyao au asasi zao. Kwa kuruhusu ni kuwatambua.
 
Hizo ni sababu za kuhalalisha hiyo dhambi. Ni hoja mfu za kutaka na Hilo kundi Kila mtu alitambue. Kama ni haki, wewe kama wewe litambue. Usitake Kila mtu Aishi Kwa uelewa wako wewe. Nimesema Mimi kama Mimi sikubaluani na hilo. Kubaliki vitu vya hao watu ni kuwapa kick. Leo unabariki kesho utakuja na kusema Kwan tukiwafungisha ndoa Kuna shida Gani. Kuishi na mwiz na kumfurahia huyo mwizi, unadhan atajutia kile anachokifanya?

Njian njema ni kua kama ilivyokua zamani. Kila mtu anakua anatambua kua mashoga na wezi, wazinzi n.k wapo. Ila hakuna kuruhusu vyama vyao au asasi zao. Kwa kuruhusu ni kuwatambua.
Kwani papa amekushikia bango kwamba lazima tu uwe shoga?
 
Kwa kweli hawa mapapa Mashoga sijui wakatoliki tumewatoa wapi
 
Kanisa Katoliki litabariki Mali za mashoga!!

Kwanini Mali za mashoga?

Kwanini wasitangaze kubariki Mali za wazinzi, wezi , majambazi, wauaji na wakabaji?

Waafrika mna IQ ndogo sana Yani Hadi hapo bado tu hamjui kuwa kanisa Katoliki linaunga mkono ushoga?

Yani wewe unataka Papa aseme Mimi na kanisa langu la Katoliki tunaunga mkono ushoga?
Hawawezi kusema hivyo Kwa sababu wanahitaji uwepo wako na sadaka yako
Nakubaliana na wewe. Kuhalalisha Kubaliki maana yake ni kuwaunga mkono. Kutambua chama Chao maana yake ni kuwaunga mkono.

Na wezi au wazinzi n.k waanzishe vyama vyao wakasajiri basi kama haki ni sawa.
 
Kuwatambua ni kuhalalisha Kwa anaetaka kua shoga. Inarahisisha kuitenda hiyo dhambi bila hofu.
Kuna baadhi ya makabila, mtoto wa kiume ukioa, baba Yako mzazi anaanza kumlala mkeo kwanza. Hiyo sio sawa ila kwao Kwa kua ipo hivyo na wanatambua, baba Yako alitaka kumlala mkeo hakuna atakaemuona kichaa. Ila sio lazima amlale, ni ruhusa kama akitaka. Jamii inatambua Kuna wazazi wa aina hiyo.
 
Sio siri tena tangu Papa na Vatican kutoa miongozo ya kuukumbatia ushoga, kwa sasa wakatoliki wengi wameanza kupoteza furaha, amani, ujasiri na ufahari wa kujivunia ukatoliki.
Binafsi huwa najiuliza kwa nini baadhi ya watu wanaiona dhambi ya ushoga kuwa ni 'maalum', yaani haitakiwi kuzungumzwa wala kujadiliwa. Kama unaweza ukawapokea majambazi kanisani na ukawafanya kuwa kondoo waaminifu, kama unaweza ukawapokea mafisadi kanisani, wazinzi, wasema uongo nk, kwa nini uone kuwapokea mashoga (ambao basically ni wazinzi) kuwa ni kitu cha kuepuka kabisa? Kwamba Mungu anawachukia mashoga kwa kiwango kikubwa ukilinganisha na wezi?

Wengi wanaodhani Wakatoliki wametetereka ni ambao wanasubiri kutafsiriwa habari
 
Umepotosha kwa kiasi kikubwa, unaonekana hujasoma hata ule waraka wa Vatican, ulichofanya ni kuokoteza maneno kwa wengine na kuja kuanzisha huu uzi wako hapa, hujafanya uchunguzi wowote, sasa hiyo aibu aione nani?

- Kama hutaki mashoga wavumiliwe na kutambuliwa ndani ya Kanisa Katoliki, unataka wezi, waongo kama wewe, na wazinzi, wao pekee ndio waendelee kuvumiliwa? Kanisa Katoliki haliishi kwenye misingi ya kinafiki.

- Kwanini hutaki mashoga wapewe sakramenti kama waumini wengine? au wale wanaopewa ni watakatifu? hayupo yeyote miongoni mwao mwenye dhambi? Hapa unaonesha ulivyojaa ubinafsi, Papa yuko above your thinking capacity.

- Wapi umeona kwenye ule waraka wa Vatican pameandikwa Kanisa Katoliki litabariki mashoga? tuwekee hapa tupaone, kisha nami nitakuwekea pale palipoandikwa Kanisa Katoliki litabariki mali za mashoga, sio mashoga kama ulivyopotosha hapa.

Hii ni sawa na kubariki mali za wengine wasiojulikana tabia na matendo yao, hakuna yeyote anayejulikana kama ni mzinzi sababu hufanyia sirini, mwizi hufanyia sirini, kujaribu kuwatenga mashoga kama vile wao pekee ndio wenye dhambi ni unafiki na ubinafsi, Papa hataki huu unafiki.

Papa anajua miongoni mwetu hayupo aliyekamilika, Kanisa Katoliki pia linajua hivyo, tukianza kutazamana usoni na kutengana mwisho wa siku huko kanisani atabaki nani? injili atahubiriwa nani? hujui hata Yesu Kristu alikuja duniani ili kuwahubiria wenye dhambi wapate kuokoka?

Mna upeo mdogo sana kifikra, na thinking yenu ni ya kijima sana wakati Kanisa Katoliki lilishatoka huko.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
20231223_162509.jpg

Aliyepinga huo upuuzi kafukuzwa🤣🤣
 
Imani inajengwa juu ya yesu kristo siyo mtu we mbumbumbi. Papa ni mtu na silazimiki kufata anachosema. Sema hizi dini zenu za mfukoni za akina mwamposa zimewaharibu sana manadhani kwamba dini ni ya mtu ni si ya yesu. Mmefikia hatua hata kumuabudu mtu as if akifa yeye na kanisa linakufa.kama lilivyo kanisa la tb Joshua kwa Sasa halipo
Huyo Yesu ni paka au?
 
Ajenda gani hizo tajiri?
Kukamia watu ambayo hawafanyi dhambi sawa na wewe...Mimi Bora niwe na rafiki shoga ambaye anafanya mambo yake binafsi bila kumuumiza mtu kuliko nimuamini mchungaji ambae ni mwizi, tapeli, fisadi, mzinzi, mbakaji watoto, muongo, mchoyo na msambaza ujinga na propaganda kwa waumini wake...haya mambo yana madhara makubwa kuliko mtu na mpenzi wake kufanyana ila wanajua mnapenda kukamia ujinga so wanapita na huo upepo...
 
Hizo ni sababu za kuhalalisha hiyo dhambi. Ni hoja mfu za kutaka na Hilo kundi Kila mtu alitambue. Kama ni haki, wewe kama wewe litambue. Usitake Kila mtu Aishi Kwa uelewa wako wewe. Nimesema Mimi kama Mimi sikubaluani na hilo. Kubaliki vitu vya hao watu ni kuwapa kick. Leo unabariki kesho utakuja na kusema Kwan tukiwafungisha ndoa Kuna shida Gani. Kuishi na mwiz na kumfurahia huyo mwizi, unadhan atajutia kile anachokifanya?

Njian njema ni kua kama ilivyokua zamani. Kila mtu anakua anatambua kua mashoga na wezi, wazinzi n.k wapo. Ila hakuna kuruhusu vyama vyao au asasi zao. Kwa kuruhusu ni kuwatambua.
Mwizi anakuibia mali ambayo umefanya kazi kupata....
Shoga anakuathiri Nini?
 
Back
Top Bottom