Huyu ametawaliwa na ushabiki na mihemko, na hiyo ndio iliyomsukuma kuanzisha huu uzi wake, niko hapa namsubiri aje kujibu maswali yangu, hana dakika nyingi nitamuacha mtupu.Huwezi kunielewa ,coz dini kwako ni kama ushabiki wa Simba na yanga,huelewi chochote brother
Kwa hiyo huwezi kunionesha kosa la Papa unategemea kuambiwa na vyombo vya magharibi?!Papa ameharibu, ukizibisha wewe ni SHOGA tu.
Kwani vyombo vya habari vya dunia vinaripoti nini?
Tatizo la akili ndogo, hata mwerevu kwenye kundi la wajinga huonekana mjinga pia.We na wewe huna point unajua kuandika vitu ambavyo havina mantiki ,ukiyaangalia maswali ambayo umeyaambatanisha kwenye thread Yako ni vitu ambavyo vinapingana
So Kwahiyo unaona sawa kubariki Mali za mashoga ni? Kwenye vitabu vyako ni wapi umeona kumeandikwa na (tukabariki vitu vyao ? Acha kupelekeshwa
Na kuolewa piaHuyo Papa anatakiwa kuondolewa madarakani haraka maana kuezi kutetea kitu ambacho hukifanyi!!
Papa akisema ni Roma imesema, kwahiyo Roma wote ni wafirajiHuyo Papa anatakiwa kuondolewa madarakani haraka maana kuezi kutetea kitu ambacho hukifanyi!!
Mi siyo wa Cantebury sema tu inatakiwa tujue amekosea na kiukweli papa ni kama alikuwa anatuandaa kisaikolojia muda mrefu na haya mambo yake alishaanza kutoa matamko tata muda mrefuMkatukumeni huwezi elewa mpaka upitie mafundisho [emoji1787]
Hiyo kitu mfanye huko huko cantibary
Sasa tatizo liko wapiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana denoo JG
Naona mada yangu imekuumiza sana, nisamehe bure, sikukulenga wewe binafsi au yoyote mwenye msimamo kama wako.
Mada yangu ilikuwa ni kuleta taarifa kuhusu maumivu wanayopitia wakatoliki wengi walioisikia kauli ya Papa na Vatican kutumia mwamvuli wa kanisa Katoliki kuwavuta mashoga kuwa sehemu kamili ya wakatoliki. Haijarishi utakiri hadharani au utapinga hadharani, ukweli ni kuwa kauli ya Papa kiujumla amewanyima furaha wakatoliki na kuwapa nguvu mashoga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hatariii.[emoji23]anawapa mda yupo patient
Utatesekaaa sanaa na badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona unachanganya mambo.
Issue hapa ni kuhusu aibu na fedheha ambayo wakatoliki wanaipata baada ya Papa kuonyesha mwelekeo halisi wa kuwabeba mashoga kwa mgongo wa kanisa Katoliki. Hatupo hapa kujadili uzinzi wa Muhamad, na uzinzi wa Muhamad haiwezi kuwa jibu la hichi alichokifanya Papa.
Kuhusu Yesu na kukaa na waovu haihusiani kabisa na hichi cha Papa. Yesu aliwaendea waovu wote ili watubu na kuacha uovu wao na sio kwenda kuhalalisha uovu wao.
Pope Francis anakataa na kuvunja UNAFIKIII.Huyu papa ni msema kweli, hana unafiki. Tayari hawa watu wapo kwenye jamii, tulikuwa wapi tusiwazuie? Kwa kuwa tuliwaacha basi ni wenzetu na wana haki zote za kibinadamu.
Hiyo comment uliyom quote ipo namba ngapi hata sijaiona, naona anajiliza liza tu hapa badala ya kujibu maswali yangu..Sasa tatizo liko wapiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mzee mbna unachekesha sana. Khaaah
Leo wakatoliki kwa wingi na umoja wao wamesali misa na kutafakari ukuu wa Mungu.Wanasubili kwa hamu kusali vijilia ya noel na kesho krismasi.Hawana haja kujiunga na dini waliyoianzisha wao.Wakaristo waumini wa Mwenyezi Mungu mmoja, tunawakaribisha katika Uislam.
Uislam ni mwema sana.
😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hatariii.
sawa mkatukumeniMi siyo wa Cantebury sema tu inatakiwa tujue amekosea na kiukweli papa ni kama alikuwa anatuandaa kisaikolojia muda mrefu na haya mambo yake alishaanza kutoa matamko tata muda mrefu
ndoa yako na basha wako ni lini?Wavaa makobazi kwanza warekebishe kitabu Chao Cha Qurani 33:37 ambapo Mtume Muhammad anamsingizia Mungu kuwa alimruhusu kuoa mke wa mtu Zainabu, pia wavaa makobazi warekebishe Quran 33:50 ambapo Mtume Muhammad anamsingizia Mungu kuwa alimruhusu kuzini na wanawake wote wa Kiislamu wanaojitoa Bure kwake. Wakirekebisha hayo, ndio wake ya Papa Paulo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
9Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 10 wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi. 11Leo wakatoliki kwa wingi na umoja wao wamesali misa na kutafakari ukuu wa Mungu.Wanasubili kwa hamu kusali vijilia ya noel na kesho krismasi.Hawana haja kujiunga na dini waliyoianzisha wao.
9Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 10 wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi. 11
Huko nyinyi mnafata mafundisho ya kanisa.
Mkristo mwama na anaefata mafundishao ya mwenyezi Mungu ni Muislam.
Siyo kweli. Kuna Papa alishawahi kufungwa jelly Hugo Ufaransa ila kanisa lilibaki salama.Nadhani wewe ni mkatoliki mchanga sana. Bado hufahamu chochote kuhusu muundo wa kimamlaka wa kikatoliki.
Kwa kifupi sana kuweza kukusaidia, Papa ndio msingi na mhimili wa kanisa Katoliki. Hakosolewi wala hapingwi, kauli yake ndio mwanzo na mwisho katika ukatoliki. Kwanini? Kikatoliki, Papa ndio aliyekabidhiwa 'funguo' za mbinguni na duniani, atakachokisema au kuamua ndio kinakuwa kimefungwa mbinguni na duniani!
Ukatoliki una mambo.