Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

Papa ameharibu, ukizibisha wewe ni SHOGA tu.

Kwani vyombo vya habari vya dunia vinaripoti nini?
Kwa hiyo huwezi kunionesha kosa la Papa unategemea kuambiwa na vyombo vya magharibi?!

Mnaona sifa kushikiwa akili, im not scared na thinking ya wajinga wa sampuli yako.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la akili ndogo, hata mwerevu kwenye kundi la wajinga huonekana mjinga pia.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Huyu papa ni msema kweli, hana unafiki. Tayari hawa watu wapo kwenye jamii, tulikuwa wapi tusiwazuie? Kwa kuwa tuliwaacha basi ni wenzetu na wana haki zote za kibinadamu.
 
Mkatukumeni huwezi elewa mpaka upitie mafundisho [emoji1787]
Hiyo kitu mfanye huko huko cantibary
Mi siyo wa Cantebury sema tu inatakiwa tujue amekosea na kiukweli papa ni kama alikuwa anatuandaa kisaikolojia muda mrefu na haya mambo yake alishaanza kutoa matamko tata muda mrefu
 
Sasa tatizo liko wapiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mzee mbna unachekesha sana. Khaaah
 
Utatesekaaa sanaa na badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu papa ni msema kweli, hana unafiki. Tayari hawa watu wapo kwenye jamii, tulikuwa wapi tusiwazuie? Kwa kuwa tuliwaacha basi ni wenzetu na wana haki zote za kibinadamu.
Pope Francis anakataa na kuvunja UNAFIKIII.
 
Sasa tatizo liko wapiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mzee mbna unachekesha sana. Khaaah
Hiyo comment uliyom quote ipo namba ngapi hata sijaiona, naona anajiliza liza tu hapa badala ya kujibu maswali yangu..

Analazimisha kuonekana yupo sahihi huku akikimbia kujibu maswali anayoulizwa, atakuwa mzee mwenye akili za kitoto sana.

Analazimisha nami niwe na akili kama yake kuwatenga wenye dhambi, tukishawatenga matokeo yake iweje? kwamba sisi wengine ni watakatifu sana? ajabu wakiitwa wanafiki hawaelewi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Wakaristo waumini wa Mwenyezi Mungu mmoja, tunawakaribisha katika Uislam.

Uislam ni mwema sana.
Leo wakatoliki kwa wingi na umoja wao wamesali misa na kutafakari ukuu wa Mungu.Wanasubili kwa hamu kusali vijilia ya noel na kesho krismasi.Hawana haja kujiunga na dini waliyoianzisha wao.
 
Mi siyo wa Cantebury sema tu inatakiwa tujue amekosea na kiukweli papa ni kama alikuwa anatuandaa kisaikolojia muda mrefu na haya mambo yake alishaanza kutoa matamko tata muda mrefu
sawa mkatukumeni
 
ndoa yako na basha wako ni lini?
 
Leo wakatoliki kwa wingi na umoja wao wamesali misa na kutafakari ukuu wa Mungu.Wanasubili kwa hamu kusali vijilia ya noel na kesho krismasi.Hawana haja kujiunga na dini waliyoianzisha wao.
9Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 10 wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi. 11

Huko nyinyi mnafata mafundisho ya kanisa.

Mkristo mwama na anaefata mafundishao ya mwenyezi Mungu ni Muislam.
 

1 Wakoritho 6:9-11
 
Siyo kweli. Kuna Papa alishawahi kufungwa jelly Hugo Ufaransa ila kanisa lilibaki salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…