[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unachekesha ujue, hakuna wa kumuondoa papa madarakani ni mpaka afe au aamue mwenyewe kujiuzulu, na mwenye kanisa katoliki ni vatican, vatican ikisema imesema, hutaki ondoka. unaijua vatican wewe au unaisikiaga tu.
Wenye kanisa lao wala hawana habari, hawa wadesaji ndo wanakosa usingizi, na kutaka kupindua kauli halali na tekelezi ya wenye kanisa,Labda kwa bara LA giza, ila huko kwingine walaa kanisa katoliki liko vizuri tyuuh.
Wapi kwenye ule waraka wamesema watabariki mashoga?KUBARIKI mashoga ndio kukubali ushoga wenyewé.
Au hujui maana ya kubariki?
Ndio maana nakwambia mshamba ni yule asielewa kama wewe na wale wenzie mnaotetea hizo hali zenu...basi sawa kama mnakubaliana na papa 100% kubariki mashoga, sisi ni akina nani tupinge, mbona ruwaichi kapinga kubariki mashoga lkn, ndo papa akamwambia aache ushamba, halafu hujasikia kuwa utekelezaji wa kubariki mashoga kanisani umeshaanza huko usa, au unijizima data?
I am above this, kuogopa kusema kweli kisa wajinga wa sampuli yako mtanitasiri mnavyotaka, not me!.Wacha ushoga
Unacho takiwa kukijua haya yote yapo kwenye plan.. Yule papa aliye staafu alilazimisha au alistaafishwa kwa lazma ndyo papa ambae alikuwa akipiga ushonga ndani ya kanisa.. Akastaafishwa mkaletewen huyuHuyo Papa anatakiwa kuondolewa madarakani haraka maana kuezi kutetea kitu ambacho hukifanyi!!
Pope ameharibu wapi?Ni kweli Wakatoliki tunapata shida sana kujipambanua na kauli za Pope Francis. Pope amelichafua Kanisa kubwa na kongwe duniani.
Wanaojaribu kumtetea wanazidi kuharibu, Pope AMEVURUNDA Big time. Lakini huyu siyo wa kwanza kuharibu kwa kuwa walikwishatokea wengine karne zilizopita. Huyu Pope Francis ni binadamu naye ana madhaifu yake, ila siyo madhaifu ya kanisa na imani.
Haya yatapita na tutasimama imara tena kama Kanisa Katoliki Takatifu la Mitume.
Tumsifu Yesu Kristu!!
Km unajua kila mtu atahukimiwa pekee yake, kwann uanze kuona mashoga hawafai? Huoni wee unahukumu hapo?Mambo ya ushoga ni ya kulaani kabisa na papa km yy ni shoga asituletee ushoga wake sisi maana yy si mtume wala nabii kutupangia nn wakristo tufanye maana hata siku ya hukumu ni mm peke yangu nitasimama kuhukumiwa.Ila cha ajabu waislam wanacheka sana na kuona sisi wakristo tumepotea ila kumbe ktk watu wanao ongoza kwa ushoga ni wao hata kwa kuwaingilia kinyume na maumbile wake zao.Mifano mizuri ni mikoa ya pwani yote huu upuuzi umejaa sana na kinara wao akiwa mombasa na zanzibar ila wanajifanya kama wao hilo swala haliwahusu wakati ndo washenz no moja.
Sasa km akili hana unadhani anajua nn? Hapo akili yake inawaza kupinga ushoga, anafikia hatua kuropoka visivyo kuwepo, anaishia kudharirika. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] mkuu kwani mbinguni kuna sex hadi kuwe na ushoga. Mengine unataka kuyakuza na kuliangushia jumba bovu kanisa kwa hearsays
Nyie amboa sio wa negativity ndio mmeingizwa kwenye ushoga mchana kweupe. Wazee wa bendera fuata upepo.zee la negativity kama kawa kama dawa 🤣🤣
Kweli gani unayozungumzia wewe bwana mdogo ?I am above this, kuogopa kusema kweli kisa wajinga wa sampuli yako mtanitasiri mnavyotaka, not me!.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Wakaanzishe Dini na kanisa lao, hawajachelewa bado.Wenye kanisa lao wala hawana habari, hawa wadesaji ndo wanakosa usingizi, na kutaka kupindua kauli halali na tekelezi ya wenye kanisa,
mkuu nikuweke sawa, papa sio kiongozi wa wakristo ni kingozi mkuu wa kanisa katoliki, kwa hyo karuhusu ushoga kwa wafuasi wa kanisa katoliki, rekebisha mkuu.Mambo ya ushoga ni ya kulaani kabisa na papa km yy ni shoga asituletee ushoga wake sisi maana yy si mtume wala nabii kutupangia nn wakristo tufanye maana hata siku ya hukumu ni mm peke yangu nitasimama kuhukumiwa.Ila cha ajabu waislam wanacheka sana na kuona sisi wakristo tumepotea ila kumbe ktk watu wanao ongoza kwa ushoga ni wao hata kwa kuwaingilia kinyume na maumbile wake zao.Mifano mizuri ni mikoa ya pwani yote huu upuuzi umejaa sana na kinara wao akiwa mombasa na zanzibar ila wanajifanya kama wao hilo swala haliwahusu wakati ndo washenz no moja.
Tatizo mihemko imejaa sana kwenye fikra za wengi, hawa ni kuwatazama tu naona wanapenda kujiliwaza kwa kutunga uongo dhidi ya Kanisa Katoliki.Comment ya kufungia uzi kabisaaa. [emoji122][emoji122][emoji122]
Hii ndio sababu nakwambia humu kuna wajinga wengi sana.Km unajua kila mtu atahukimiwa pekee yake, kwann uanze kuona mashoga hawafai? Huoni wee unahukumu hapo?
Unajua unacho kiandika lakini?? Mwakaa huu had mkimbie Pope anakataa UNAFIKI.
Kwa hiyo umoja wa maaskofu Malawi, Kenya, Nigeria n.k wote hawajui upuuzi wa papa ila wewe ndio unajua tofauti na wote ?Tatizo mihemko imejaa sana kwenye fikra za wengi, hawa ni kuwatazama tu naona wanapenda kujiliwaza kwa kutunga uongo dhidi ya Kanisa Katoliki.
Kama kanisa likikosea kweli, liambiwe, lakini sio kulazimisha kulifanya lionekane limekosea kwa visababu vya kutunga ilimradi kujifurahisha, hapo lazima litetewe, kunyamaza kimya ni uoga na unafiki wa kijinga.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
we huku nadhani uwe muugwana hutaelewa wala kueleweka kabisa....,
Nyie amboa sio wa negativity ndio mmeingizwa kwenye ushoga mchana kweupe. Wazee wa bendera fuata upepo.
Sasa hujui Africa inaongoza kwa UNAFIKII.Tatizo mihemko imejaa sana kwenye fikra za wengi, hawa ni kuwatazama tu naona wanapenda kujiliwaza kwa kutunga uongo dhidi ya Kanisa Katoliki.
Kama kanisa likikosea kweli, liambiwe, lakini sio kulazimisha kulifanya lionekane limekosea kwa visababu vya kutunga ilimradi kujifurahisha, hapo lazima litetewe, kunyamaza kimya ni uoga na unafiki wa kijinga.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mimi ni Catholic na ajivunia a wala siyumbishwi.Mpaka sasa wasabato 3 - RC 0.
Bado hamjathema