Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

Mkuu unachekesha ujue, hakuna wa kumuondoa papa madarakani ni mpaka afe au aamue mwenyewe kujiuzulu, na mwenye kanisa katoliki ni vatican, vatican ikisema imesema, hutaki ondoka. unaijua vatican wewe au unaisikiaga tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
basi sawa kama mnakubaliana na papa 100% kubariki mashoga, sisi ni akina nani tupinge, mbona ruwaichi kapinga kubariki mashoga lkn, ndo papa akamwambia aache ushamba, halafu hujasikia kuwa utekelezaji wa kubariki mashoga kanisani umeshaanza huko usa, au unijizima data?
Ndio maana nakwambia mshamba ni yule asielewa kama wewe na wale wenzie mnaotetea hizo hali zenu...

Na kama umemuelewa askofu Ruwaichi basi umemuelewa pia Papa,
maana Ruwaichi ameeleza kinagaubaga anachomaanisha Papa kwa lugha rahisi mno na pia askofu Severine Niwamugizi wa ngara ameeleza alichomaanisha papa kwa lugha rahisi zaid.....

Shida ni kwamba wewe umeelewa walichoeleza BBC na CNN ambao wanapotosha kwa wingi kisha baadae wanakanusha, hukumskiza Papa hata kidogo 🤣

alichosema papa ndicho alichosema askofu Ruwaichi na Severine Niwamugizi. Na ndicho kanisa linasimamia. Full stop
 
Huyo Papa anatakiwa kuondolewa madarakani haraka maana kuezi kutetea kitu ambacho hukifanyi!!
Unacho takiwa kukijua haya yote yapo kwenye plan.. Yule papa aliye staafu alilazimisha au alistaafishwa kwa lazma ndyo papa ambae alikuwa akipiga ushonga ndani ya kanisa.. Akastaafishwa mkaletewen huyu
 
Ni kweli Wakatoliki tunapata shida sana kujipambanua na kauli za Pope Francis. Pope amelichafua Kanisa kubwa na kongwe duniani.

Wanaojaribu kumtetea wanazidi kuharibu, Pope AMEVURUNDA Big time. Lakini huyu siyo wa kwanza kuharibu kwa kuwa walikwishatokea wengine karne zilizopita. Huyu Pope Francis ni binadamu naye ana madhaifu yake, ila siyo madhaifu ya kanisa na imani.

Haya yatapita na tutasimama imara tena kama Kanisa Katoliki Takatifu la Mitume.

Tumsifu Yesu Kristu!!
Pope ameharibu wapi?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya ushoga ni ya kulaani kabisa na papa km yy ni shoga asituletee ushoga wake sisi maana yy si mtume wala nabii kutupangia nn wakristo tufanye maana hata siku ya hukumu ni mm peke yangu nitasimama kuhukumiwa.Ila cha ajabu waislam wanacheka sana na kuona sisi wakristo tumepotea ila kumbe ktk watu wanao ongoza kwa ushoga ni wao hata kwa kuwaingilia kinyume na maumbile wake zao.Mifano mizuri ni mikoa ya pwani yote huu upuuzi umejaa sana na kinara wao akiwa mombasa na zanzibar ila wanajifanya kama wao hilo swala haliwahusu wakati ndo washenz no moja.
Km unajua kila mtu atahukimiwa pekee yake, kwann uanze kuona mashoga hawafai? Huoni wee unahukumu hapo?

Unajua unacho kiandika lakini?? Mwakaa huu had mkimbie Pope anakataa UNAFIKI.
 
😂😂Hivi bado mnabishana kuhusu nani anaijua zaidi dini aliyoletewa na meli... amkeni wanangu
 
[emoji16][emoji16][emoji16] mkuu kwani mbinguni kuna sex hadi kuwe na ushoga. Mengine unataka kuyakuza na kuliangushia jumba bovu kanisa kwa hearsays
Sasa km akili hana unadhani anajua nn? Hapo akili yake inawaza kupinga ushoga, anafikia hatua kuropoka visivyo kuwepo, anaishia kudharirika. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
I am above this, kuogopa kusema kweli kisa wajinga wa sampuli yako mtanitasiri mnavyotaka, not me!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kweli gani unayozungumzia wewe bwana mdogo ?
Screenshot_20231222-004126.jpg
Screenshot_20231222-004921.jpg
 
Wenye kanisa lao wala hawana habari, hawa wadesaji ndo wanakosa usingizi, na kutaka kupindua kauli halali na tekelezi ya wenye kanisa,
Wakaanzishe Dini na kanisa lao, hawajachelewa bado.
Wawaache Dini na kanisa lao waendeshe wanavyotakaa.
 
Mambo ya ushoga ni ya kulaani kabisa na papa km yy ni shoga asituletee ushoga wake sisi maana yy si mtume wala nabii kutupangia nn wakristo tufanye maana hata siku ya hukumu ni mm peke yangu nitasimama kuhukumiwa.Ila cha ajabu waislam wanacheka sana na kuona sisi wakristo tumepotea ila kumbe ktk watu wanao ongoza kwa ushoga ni wao hata kwa kuwaingilia kinyume na maumbile wake zao.Mifano mizuri ni mikoa ya pwani yote huu upuuzi umejaa sana na kinara wao akiwa mombasa na zanzibar ila wanajifanya kama wao hilo swala haliwahusu wakati ndo washenz no moja.
mkuu nikuweke sawa, papa sio kiongozi wa wakristo ni kingozi mkuu wa kanisa katoliki, kwa hyo karuhusu ushoga kwa wafuasi wa kanisa katoliki, rekebisha mkuu.
 
Comment ya kufungia uzi kabisaaa. [emoji122][emoji122][emoji122]
Tatizo mihemko imejaa sana kwenye fikra za wengi, hawa ni kuwatazama tu naona wanapenda kujiliwaza kwa kutunga uongo dhidi ya Kanisa Katoliki.

Kama kanisa likikosea kweli, liambiwe, lakini sio kulazimisha kulifanya lionekane limekosea kwa visababu vya kutunga ilimradi kujifurahisha, hapo lazima litetewe, kunyamaza kimya ni uoga na unafiki wa kijinga.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Km unajua kila mtu atahukimiwa pekee yake, kwann uanze kuona mashoga hawafai? Huoni wee unahukumu hapo?

Unajua unacho kiandika lakini?? Mwakaa huu had mkimbie Pope anakataa UNAFIKI.
Hii ndio sababu nakwambia humu kuna wajinga wengi sana.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Tatizo mihemko imejaa sana kwenye fikra za wengi, hawa ni kuwatazama tu naona wanapenda kujiliwaza kwa kutunga uongo dhidi ya Kanisa Katoliki.

Kama kanisa likikosea kweli, liambiwe, lakini sio kulazimisha kulifanya lionekane limekosea kwa visababu vya kutunga ilimradi kujifurahisha, hapo lazima litetewe, kunyamaza kimya ni uoga na unafiki wa kijinga.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo umoja wa maaskofu Malawi, Kenya, Nigeria n.k wote hawajui upuuzi wa papa ila wewe ndio unajua tofauti na wote ?
Screenshot_20231222-004828.jpg
 
,

Nyie amboa sio wa negativity ndio mmeingizwa kwenye ushoga mchana kweupe. Wazee wa bendera fuata upepo.
we huku nadhani uwe muugwana hutaelewa wala kueleweka kabisa....
Actually sio kwamba utashindwa but kazi yako itakua rahisi zaid ya kule yaani kupinga tu kwa mihemko....

kwenye kuporomosha matusi nahisi ndiko patachafua hali ya hewa
 
Tatizo mihemko imejaa sana kwenye fikra za wengi, hawa ni kuwatazama tu naona wanapenda kujiliwaza kwa kutunga uongo dhidi ya Kanisa Katoliki.

Kama kanisa likikosea kweli, liambiwe, lakini sio kulazimisha kulifanya lionekane limekosea kwa visababu vya kutunga ilimradi kujifurahisha, hapo lazima litetewe, kunyamaza kimya ni uoga na unafiki wa kijinga.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sasa hujui Africa inaongoza kwa UNAFIKII.
ndio kinacho wasumbua hicho tyuuh.
 
Back
Top Bottom