LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Nikikumbuka ujenzi uwanja wa ndege wa chato uzalendo wa jpm naupa 0 .00%. Jk na waliomtangulia hawakuwahi fanta ule ufisadi kamwe.bora hata kumpa kura rungwe.Rais ni John Pombe Joseph Magufuli. Huyu ni Mzalendo namba moja, mzaliwa wa Chato. Yule mwingine wakala wa beberu, mwenyeji wa Ubelgiji.
Naaa Asitufokeeeeee.Bro usituingilie katika maamuzi, jambo la tarehe 28 ni moja Tanzania nzima.
Wewe endelea kujidanganya kila kukicha hakuna wa kuibadilisha akili yako.
Watanzania pamoja na juhudi kubwa za tugawanya zinazofanywa na baadhi ya watu,Kama kaskazini hawata mpa,na kule Kanda ya ziwa hats wanadaresalamu ni Watanzani ajiulize kwanini wote watake kumwadhibu yeye .Watanzania tuna Jambo letu muhimu.Oct,28.Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1.SGR(Railway)
2.Mbezi Stand
3.Ubungo FlyOver
4.Kinyerezi
5.The Port
6.Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Kura yangu ni kwa Lissu
Uhuru haki na maendeleo yawatu ndio muarubainiWana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1.SGR(Railway)
2.Mbezi Stand
3.Ubungo FlyOver
4.Kinyerezi
5.The Port
6.Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Tanzania nzima ipi mkuu.Bro usituingilie katika maamuzi, jambo la tarehe 28 ni moja Tanzania nzima.
Uzembe wako Mkuu ndo umasikini wako.Uhuru haki na maendeleo yawatu ndio muarubaini
Utakuwa umesahau istoria inatukumbusha mkoloni alikuwa amejenga reli.bandari navingine kama shule nk lakini alitunyima uhuru watu waliishi nyumba duni mavazi hovyo tulimtoa sasa nambo yote yanyofanana nahayo ni ukoloni tu
kivpMiradi hiyo yote siyo yake isipokuwa SGR tu. Ni miradi ya JK. Hana chake Dar.
Dar inataka haki, uhuru na maendeleo pia.
Wewe ni mmoja wa wachache wasiojitambua wa mkoa wetu wa Kagera.Bukoba tunajitambua hatuwezi kumchagua huyo mjinga aliyemuuaa Akwilina
Uzuri ni kuwa maisha hayasubiri mtu.Ni kweli usibadili akili yangu, maana haya mambo yako wazi sana.
Maelezo kibao lakn yapo I relevant na ukubwa wa elimu unayoizungumzia, very poor understandingMkuu zile pesa ndio lilikuwa lengo lake?
Alafu si vizuri kuwaongelea wakazi wa Dar wote kuwa tutampigia kura jiwe wakati hapa ndio kitovu cha wasomi, waelewa wa mambo yanavyoenda. Kingine ukisema hivyo manaake ni kuwa wanaDar wote tunakubaliana na uminywaji wa uhuru na haki za binadamu, kwamba tulifurahia makonda alivyoingia na askari wa usalama wa taifa pale Clouds Tv wakiwa na silaha za kivita, tunakubaliana na kupotea kwa Ben Saanane na vile viroba vya maiti kwenye fukwe za bahari ya Hindi Dar..
Wanadar hawadanganyiki na uboreshwaji wa miundombinu kwasababu huo ni wajibu wa serikali maana inatumia pesa zetu. Tar 28 ni siku nzito na kila mtu ana jambo lake
I relevant ndio nini? Even to type an english word is a problem to you, how then can you argue with me? Show how irrelevant they are fella. Yaonekana you're very simple minded person mpaka kushindwa kuanalyse hayo unayosema mengi, sasa mimi na wewe nani ana poor understanding capacity.?Maelezo kibao lakn yapo I relevant na ukubwa wa elimu unayoizungumzia, very poor understanding
Tanzania nzima ipi mkuu.
Magufuli 5 tena. Na hilo halina ubishi.
Tuna jambo letu 28.10.2020 tuache kabisa...Nyumba zetu zilibomolewa lakini kadi zetu za kupiga kura zikasalimika. Walitufukuza kazi kwa vyeti feki lakini wakatuachia kadi za kupiga kura ...Wakatudhulumu mafao yetu ya kuacha kazi wakatuachia kadi zetu za kupiga kuraWana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Katika mikoa iliyoathirika na serikali ya awamu ya tano ni Dar es salaam. Kuhamisha makao makuu ya nchi kwenda Dodoma ni pigo la historia kwa wakazi wa Dar es salaam. Balozi zote zitaamua Dodoma,ikulu Dodoma,wizara zote Dodoma, mashirika ya kimataifa Dodoma, mashirika ya umma Dodoma,wafanyakazi wote Dodoma,uwanja wa ndege wa msalato Dodoma. Sasa akawadanganya kuondoa foleni dar kwa kujenga flyover,sio kweli kwanza foleni dar haitakuwepo kwani serikali inaondoka kwenda Dodoma. Kwa mantiki hiyo uchumi wa dar ikifika mwaka 2025 wananchi wengi watakuwa omba omba kwani miradi yao mingi itakuwa imekufa au haipo tena.Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?